Wanawake tunaolewa na walio tayari kwa ndoa

Wanawake tunaolewa na walio tayari kwa ndoa

Nashangaa kbsaa eti hatujaumbiwaa kupendaa sio kwelii tena tukipendaa ni watulivu mno tunakuwa hot kbsaa na very romantic..hatuna papara wala visirani
Mkuu, ok..
Je, tutajuaje mwanamke mkweli?
 
Nimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao.

Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi .anatokea mwingine anatangaza ndoa inabidi ukubali .muda nao haucheleweshi matokeo
Ndoa inakuwa ndoana maana hakuna feelings wala nidhamu.

Ni ngumu mwanamke kusex na mtu asiempenda,ni ngumu kumuheshimu mwanaume usiempenda.

Mbaya zaidi itokee huyo mwanaume alipendewa fedha na fedha imeisha ,basi hyo ndoa ni inakuwa jehanum kabisa
Daaah, ulicho kiandika ni kweli, acha nikupe story mbili,
Wiki hii iliyo isha leo, kuna dogo alitoa mahari hapa jirani ndoa ikatangazwa kanisani, ikawa send off ya binti , dogo hakutokea, wamepiga simu wajuavyo dogo hapokei, ikabidi waende kuuliza kwa wazazi wazazi nao hawafahamu dogo aliko enda, Rafiki mtu kuulizwa akasema dogo yupo Dar na ameondoka jana yake kwa basi asubuhi mapema,
Basi watu waliochanga michango yao wamekwazika na ndoa haikufungwa mpaka leo, taarifa za chini chini
dogo yupo na kademu anakokapenda sana huko Dar, na amesema asitaftwe kwa maana hakuwa amemkubali huyo alotaka kumuoa ila alijilazimisha tu,

story ya pili,
Mtoto wa mchungaji alikuwa fundi nguo akapewa mimba na mvulana fundi nguo mwenzake wakati alikuwa ameshalipiwa na posa kabisa na kijana mwingine,
Ndoa imefungwa watu hawajui kama binti anamimba ya miezi 4 jamaa akakabidhiwa mke baada ya ndoa zimepita siku chache mke anaanza onyesha mabadirika maana mabinti wengine mimba zinajificha kwenye matiti, mama mkwe kumuuliza mtoto wake vip ulimpa mimba ndipo ukamuoa jamaa akasema sikuwahi kulala naye hata siku moja,
Alipo banwa binti akasema ukweli kuwa mimba ni ya fundi mwenzake, fundi kupigiwa simu na wazee akakili kuwa mimba ni yake maana binti alikuwa anampenda sana na hata alipo mkatalia kuwa ameshatolewa posa inabidi atulie yeye alizidi kumsumbua kuwa anampenda sana, akawa anamfuata Getto,
Ndoa imesha vunjwa mpaka sasa
 
Duuh!
Huo ndo utapeli sasa.. Unafikiri wewe ni mume wa mtu wako wa ndoa, kumbe kiuhalisia wewe ni mchepuko wake!
Ndioo yaan hapo nimetoaa fact kabisaa wanawake linapofikiaa suala la kuolewaaa wengi wanaingiaa ..labda kwa sababu ya pesa..muda umekwendaa nk..lkn waahanga wa kupretend ndoaa kwa kiasi kikubwaa ni wanawake..Na mwisho wa siku feelings zipo kwa mwinginee kabisaaaa..Nimepata kushirikishwaaa hii ishuuu na wanawake zaidi ya wannee
 
Mbona kuna ndoa kama 4 hivi ambazo binafsi wanandoa nawafahamu, ni ndugu na jirani zangu, mwanamke hakumpenda mumewe, lakini wamedumu miaka 40+ hizo mnazizungumziaje, mm ni shuhuda wa hayo.. hata mama yake Kikwete alimfahamu mumewe siku ya harusi, aliletewa mume, aliambiwa mume huyo hapo, na walidumu miaka 60 hadi kifo kiliwatenganisha, Kikwete aliongea hayo alivofanyiwa interview na salama Miss Natafuta Mzigua90 to yeye
Viliivana vidude
 
aise ya sex na mtu anayekupenda au mnaependana mkongo na viagra zikasome upya,hii kitu ilinikuta mahali binti wa watu kanielewa kinyama first time tu kuniona akavunja torati na kanuni zote za babylon nikawa natunikiwa medani zote muda wote we that moment nikikumbuka nacheka ila bahati mbaya kwake ckuwa muoaji dah!
 
Wanaopenda ni Wanaume ndo maana wanatongoza wanawake mnajifunza kupenda

Tofauti na hapo na nyie wanawake muanze kutongoza na kutoa mahari kama wanaume

Mwanaume ndo anauwezo wa kumpata mwanamke amtakaye sababu kapew uthubutu wa kutongoza na sio mwanamke

Mwanamke anashawishiwa a.k.a kutongozwa
Shida ni kwamba huyo mwanamke kwenye kushawishika akakubali, anakua ameshawishika na vitu vingi mfano upendo wa kweli au fedha na marupurupu mengine ambayo yakipotea ndoa inaweza kwenda mrama,, hii ni tamaa ya fedha.

Lakini pia mwanaume huyuhuyu aliependa anakuja kupenda tena mwanamke mwingine na kusahau kuwa alishapenda mtu hapo mwanzo, anatelekeza nyumba na hata kama alizaa vitoto anakua Hana habari navyo.

Hapo ndipo nliposema kuwa uwezo mdogo wa kudhibiti tamaa. Ni jukumu la Kila mmoja kutunza mahusiano yake yawe mazuri.
 
Bahati nzuri nipo single,wanawake wenye uthubutu wapo japokuwa siku hizi mnajiendekeza kwani mnapenda sana kuiga,mpaka mnashindwa kutofautisha lilipi ni hitaji lako la msingi na lipi ni luxury.
Kuwa single ni raha sometimes so hongera na wakati ukifika jitahidi kufanya machaguzi sahihi na usisahau kutimiza majukumu Yako kama baba
 
Mnatamani sana ndoa lakini kuzitunza hamjui. Makahaba wanawapiga Sana gap ya kuwachulieni sababu wanajua mume anataka nini.
 
Unapokuwa na fedha ni ngumu kweli kumtambua mwanamke anayekupenda ni ngumu kweli mwanamke akupendaye ni yule tu mliyetoka naye mbali yaani toka ulipokuwa kapuku, wanaodandia baada ya mafanikio siyo all that are same to sexworker! Na hata ndoa hakuna hapo, mfungulie duka anaua, NAZUNGUMZA KWA HASIRA KWELI, NO MORE BETTER BE ALONE, niwe nawaokota tu for just a leisure!
 
Kwa wale walio wa katoliki, mnachoita ndoa au harusi.... wale wanasema "kubariki ndoa"

Kumaanisha ndoa ni pale mbususu inaporaruliwa. Hayo mengine ni siasa.

Mi naona ndoa ni vizuri kuifunga pale, mshakula chumvi ya ku shato. Maanake mshavuka kwote uko, mnakaribia kustaafu.
 
Kwa wale walio wa katoliki, mnachoita ndoa au harusi.... wale wanasema "kubariki ndoa"

Kumaanisha ndoa ni pale mbususu inaporaruliwa. Hayo mengine ni siasa.

Mi naona ndoa ni vizuri kuifunga pale, mshakula chumvi ya ku shato. Maanake mshavuka kwote uko, mnakaribia kustaafu.
Hii kubariki ndoa
 
Back
Top Bottom