Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Ukiingia kwenye ndoa hakuna mimi kuna SISI,Wakristo si huwa mnasema mwili mmoja?unakuwaje mwili mmoja nusu inafuraha na nusu inahuzuni?Wewe huna mume and with that attitude you wont have a husband,utazalia nyumbani!

Tumia akili kujibu hoja sio hisia mkuu nimejibu hoja ya ke wasisome sio alichojibu huyo mama kwa familia yake
 
Single BABA na single MAMA hawatoisha nasema...Mke kama huyo wanini aseeee? Akienda kwa wazazi wake akirudi atakuta nshahama na watoto npo sehemu ingine Ndo ajue mimi mwanaume au mwanamke na sitomwambia.

Akipiga simu namjibu simple and clear..Anza life kivyako Vitu vya kuanzia maisha hivyo hapo (maana sitobeba hata kijiko) Ndo atajua...wakati mwingine Upele humwota asie na kucha.
 
Hawa watu tunafahamiana tu kwa ukaribu, shida ipo kwa mwanamke,anadai wakati jamaa yupo chuo,hela yake ilitumika sana kwenye mambo ya familia na mwanaume alichangia kidogo sana,basi mwanaume ndo ana miezi 2 tangu atoke chuo,na tangu jamaa ametoka chuo,mwanamke kama ameacha ile hali ya kuisimamia familia ingawa anajua fika kuwa mumewe ana hali mbaya ya kiuchumi,yaani anaona hela yake kuendelea kutumika na mwanaume yupo
 
Duh! Si kwa hasira hizo
 
Sasa kumbe mwanamke alichangia sana familia kuliko mke ila hapa baadhi ya wanaume washaanza kutoka mapovu.

Na ubaya wa wanaume ukiwazoesha kulea familia ndiyo inakua kimoja wanarelax.

Ni bora kila mtu akabaki na majukumu yake.
 

Na ndohichi wanachotakiwa kukifanya me wote sasa kama hawawezi simamia misimamo yao wenyewe dharau ndoinayofata maana mpk mke anaondoka nyumbani bila kuaga anatoa tu taarifa inaonyesha wazi hakuna maeleeano ndani ya nyumba na me hayupo kwenye nafasi yake kama kichwa cha familia
 
Brother unawajua wanawake kuliko waooo...... Umewastudy sana asee
 
Kila nikiingia jamii forum ndoto zangu za kuoa mwakani lazima ziyeyuke kwa asilimia kubwa sana .. Eeeh mungu tusaidie na hawa wanawake
Siyo lazima sana kuoa mkuu. Mbona unaweza ishi peke yako na maisha yakawa murua..
 
Huyo mkaka ni Nani yako na Umejuaje kuhusu jambo la ndani ya familia yake? Tuanzie hapo kwanza.

Kama sijakosea naww Ni miongoni mwa wanaokula hela za huyo mkaka... Ndo maana mkewe hataki kufanya chochote maana Anajua kuna mtu anapewaga hela...

NB:
Ile kauli ya yule mdada ya kwamba FANYENI MPANGO NA WANAO MPATE KULA... Alimaanisha watoto na mume waje kwako.. We muulize vzur
 
Niko neutral

Sasa kama uko neutral itabidi uchague mwanamke ambaye utaweza kuishi nae kineutral neutral tu.. maana kuna muda utahitaji kumagufuli na pia kuna muda unahitaji kwenda kidiplomasia na huyo mwanandani wako!

Tena nakushauri umdake huyu dada wakujiita Ladyred mtawezana sana.
 
Jaribu kujibu Kwa mujibu wa uzi ulivyo...

Sasa mleta uzi si ndio kasema ameambiwa na jamaa haya yote? Ukitaka uweke kabisa namna unavyotaka watu wachangie uzi wako.

Uzi unasema tena kwa kunukuu, jamaa amemuuliza mkewe.."..mbona umetuacha bila kitu?.." Nakujibu kwa kadri uzi ulivyo, hiyo ni kauli dhaifu sana kutolewa na mme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…