The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huyo anataka umwite Baby au honey.Mkuu si neno lenye Mamlaka si bora kuliko nikuite mengine ambayo pengine si maanishi Upendo.
Muendelezo mkuu.Kuna ka dada kalikua na frem karibu na hotel nayo penda kula kakiniona tu naenda hotelini na kenyewe hako kakifika kakute nakula basi kanakuja mezani pale kanadokoa mara soda Nayo kunywa nako kanakunywa nikajua tu haka kamekwama nilichukua simu yake nikaweka no yangu ....π€£π€£kalikua kanatuma sms za mahaba acha .
Hata Mimi tulishawahi kugombana humu jukwaani kuna member akaingilia kati ππMfanano wa Genta na mimi ni kua,mtu akiingia anga zangu na kashfa au lugha chafu hua simuachi,nampokea kama alivyokuja,watu wa aina hiyo ukisema uwapotezee hua wanajiona wameshinda au wamepata mnyonge wao,sasa mimi hua napinga mbu kwa nyundo ili ajue kua amegongana na Treni la mizigo.
π
Kugombana na nani?Hata Mimi tulishawahi kugombana humu jukwaani kuna member akaingilia kati ππ
Mengine kama yapi hayo yasiyobeba upendo?Mkuu si neno lenye Mamlaka si bora kuliko nikuite mengine ambayo pengine si maanishi Upendo.
Ulikula?Kuna ka dada kalikua na frem karibu na hotel nayo penda kula kakiniona tu naenda hotelini na kenyewe hako kakifika kakute nakula basi kanakuja mezani pale kanadokoa mara soda Nayo kunywa nako kanakunywa nikajua tu haka kamekwama nilichukua simu yake nikaweka no yangu ....π€£π€£kalikua kanatuma sms za mahaba acha .
Mi nimekulia Arusha hayo makitu huku hamna ππHuyo anataka umwite Baby au honey.
π π
Fisi tena aache π€£π€£Ulikula?
Chakula cha hotelini
Mfano nikuite baby serious wewe ni mtoto si dharau πππMengine kama yapi hayo yasiyobeba upendo?
saaafi alafu ukamuacha πFisi tena aache π€£π€£
Mimi na wewe tuliwahi kugombana ni mda kama miaka 3Kugombana na nani?
Kwani lipo hilo tu ? πMfano nikuite baby serious wewe ni mtoto si dharau πππ
π unataka kusema nini na mwamba kashatia niaMimi na wewe tuliwahi kugombana ni mda kama miaka 3
Sijakuelewa,kugombana kivipi?Mimi na wewe tuliwahi kugombana ni mda kama miaka 3
πππKwani lipo hilo tu ? π
Anaonekana ni mtu mwenye nongwa sana!π unataka kusema nini na mwamba kashatia nia
ππππ
Hapana tuliwahi gombana ilibaki kidogo damu imwagike siku ile ππππ unataka kusema nini na mwamba kashatia nia
Kwahiyo nikimkubalia nijipange au nimkazie tu?πAnaonekana ni mtu mwenye nongwa sana!
Eti 3 years back anakumbuka mpaka leo! kuna watu wanaichukulia JF serious aisee,sikuwahi kujua hilo.
π π