Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Wengi wao hawana 🤣No, sio wote kabisa.
Hili kabila mnalionea sana, vingine mnawasingizia jmn
🤣🤣🤣 unataka nianze kusema hapa km wapo humu wanijueKumbe mnaonyeshana...daah
Kwa hiyo bloangu kwenye lile lango kuu lao kile kitasa kimeshachomolewa?Sema antenna ndio hawana ila wazuri maua yao wapewe tyu
Ndio dadaangu wamekitoa kile kisimbuziKwa hiyo bloangu kwenye lile lango kuu lao kile kitasa kimeshachomolewa?
Arusha, Dodoma, Singida, Mara...yes wanakatwa...but katikati yao kuna familia zilielimika mapema, so wasichana wao hawakukatwa...hivyo hata Wairaq baadhi yao wana antena zaoWengi wao hawana 🤣
DuhHao weny mchanganyiko na waarabu ni wazuri kwa sura na rangi angalau waoo vizuir ukianza Manyara,singida ,kondoa ,Tanga, Tabora.
Halafu kuna wachaga,wapare wana mchanganyiko na wazungu ni wazuri ila miguu kama mikono ya ndoo.
Nimeishi ishi nao kiainaDuuuh wewe ndiyo unawajua sasa umeishi huko au???
Wanazeeka mapema Sana tumbo linatepeta kweli
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mwenzako anaweza kuwa anajiona mzuri, haki yake kuringa [emoji2][emoji2]Amna kitu inaboa kama ukutane na girl wa kawaida sanaa halafu nae anaringa eti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Vipi akiwa mbaya kwa macho yako na bado akawa anaringa??Mwanamke akiwa mzuri asiporinga nu takataka tuu. Yaani hajitambui na bila Shaka hajiamini
Raha ya Mwanamke aringe, ajishebedue,
Matokeo ya Mwanamke kutokuringa na kuwa na mazoea na kila Mwanaume huitwa Malaya.
Sisi wengine tunapenda Wanawake wanaoringa haswa. Hata kama tutakuwa tunazinguana nao lakini moyoni tuna- appreciate
[emoji23][emoji23][emoji23] Vipi akiwa mbaya kwa macho yako na bado akawa anaringa??
Nimekuelewa vizuri sana.Mwanamke akishakuwa anaringa lazima atakuwa anajipenda, anavaa vizuri, anamadoido na mapozi, na swaga za kike.
Jambo ambalo hata kama atakuwa sio mzuri lakini atakuwa anavutia.
Kuna wengine ni Wazuri lakini hawavutii. .
Sasa kama namuona Mbaya yaani sio mzuri na bado havutii hapo nitashangaa kweli
Nadhani utakuwa umenielewa
Nimekuelewa vizuri sana.
Ukikaa mbulu na karatu watakuua kabisa wewe , kuwa makini huko kisonono ni nje nje.Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
🤣🤣😅😅 umenikumbusha Nyumbani yani Ana anaitwa Anaaa, Asha, anaitwa Ashaaa, baba mdogo utsikia bamdogoo nishakaa Babati na GallapoDaah..
Alafu sauti zao wanavyoongea sasa.
Dirisha = drisha