Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

weupe na vishepu vizuri ila miguu yao sasa
 
Vizuri sana, tuletee shemeji asiyeringa, wanasema "kizuri...??"
 
Ni mapenzi ndio yako Tanga sio uzuri.
Unaweza kukuta mdigo mweusi ti lakini vimbwanga vyake mkiingia chumbani, utaisajau Manyara.
Hapo Manyara wanajua kumpeleka mwanaume chooni na kumtawaza na maji ya Moto.?
TANGA habari nyingine Kaka.
 
Kama mguu haujanyooka kama fimbo basi kuna namna umepinda tu🤔
 
Tatizo mabinti wa hilo kabila wanakuwaga na mabinamu wengi kumbe ndo michepuko yao. Ukioa tegemea ugeni wa mabinamu wengi ambao watakuwa wanakugongea mkeo hapo kwako.
 
Usisahau pia ni wakarimu balaaa hawajui kukataa
 
Arusha, Dodoma, Singida, Mara...yes wanakatwa...but katikati yao kuna familia zilielimika mapema, so wasichana wao hawakukatwa...hivyo hata Wairaq baadhi yao wana antena zao
Wengi wa huko Manyara kwa sasa hawafanyi ukeketaji. Nilishangaa kuona baadhi ya maeneo wameru na wachaga wanakeketa na wala sio miaka ya zamani ni juzi tu 2021 nilikuwa na NGO tunafanya project huko sikutegemea kabisa hilo swala kuwepo huko.
 
Kwa hiyo Uarabuni ndo kuna rangi nzuri ya wanawake...self hate at its core!
 
Endeleeni nao lakini wanatumia ndumba sana hawa viumbe. Wana msemo kwamba ukifika Babati lazima upigwe msumari wa bati na kweli wanaume kadhaa wametelekeza familia.
Kuna mmoja nilimpeleka beach.... Kavua nguo kuogelea... Ana Chale balaa na ule weupe zimejichora. Watu walikuwa wanashangaa sister duu kajaa Chale. Stimu zilikatika kwa kweli
 
Weeeeeh usitwambie hivyo lakini siwamekeketwa hawo🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…