Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,379
- 1,069
Nilijua umetupia kapicha hata kamoja🙃
MAGUFULI4LIFE.
MAGUFULI4LIFE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weupe na vishepu vizuri ila miguu yao sasaAliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Ni kipi hapo hujaelewa mjinga mkubwaMkuu wewe ni mfanyakazi ??!! Hata R na L huwezi tofautisha
Mbona jazba sasa?Ni kipi hapo hujaelewa mjinga mkubwa
Hivi hao wanapatikana wapi?maana nimekaa Babati kikazi week nzima ila sijawaona.weupe na vishepu vizuri ila miguu yao sasa
Vizuri sana, tuletee shemeji asiyeringa, wanasema "kizuri...??"Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Ni mapenzi ndio yako Tanga sio uzuri.Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Usisahau pia ni wakarimu balaaa hawajui kukataaAliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Wengi wa huko Manyara kwa sasa hawafanyi ukeketaji. Nilishangaa kuona baadhi ya maeneo wameru na wachaga wanakeketa na wala sio miaka ya zamani ni juzi tu 2021 nilikuwa na NGO tunafanya project huko sikutegemea kabisa hilo swala kuwepo huko.Arusha, Dodoma, Singida, Mara...yes wanakatwa...but katikati yao kuna familia zilielimika mapema, so wasichana wao hawakukatwa...hivyo hata Wairaq baadhi yao wana antena zao
Kwa hiyo Uarabuni ndo kuna rangi nzuri ya wanawake...self hate at its core!Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Kuna mmoja nilimpeleka beach.... Kavua nguo kuogelea... Ana Chale balaa na ule weupe zimejichora. Watu walikuwa wanashangaa sister duu kajaa Chale. Stimu zilikatika kwa kweliEndeleeni nao lakini wanatumia ndumba sana hawa viumbe. Wana msemo kwamba ukifika Babati lazima upigwe msumari wa bati na kweli wanaume kadhaa wametelekeza familia.
Weeeeeh usitwambie hivyo lakini siwamekeketwa hawo🤣Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Naskia wanamsemo wao nimepewa bure nitoe bure😀Wenyewe sio wachoyo wa K.
Akikuahidi ni saa Tisa mchana.
Ikitokea umebanwa na hujamtafuta.
Yeye mwenyewe anakutafuta huo muda kukukumbusha kua muda umefika ,umeshandaa mazingira ? Anataka kuja.