Wanawake wa hivi ni wa kula tu, usioe

Wanawake wa hivi ni wa kula tu, usioe

Manzi mwenye anapenda kupiga kelele na maugomvi ni heri ujifiche juu ya pembe ya paa kuliko kuleta mazoea naye.
 
Mwanamke ambaye sioi:

-Mwenye mashosti na kupenda ku cling na circle ya mashosti.
-Social media Queen kujipost kila afanyalo through the day ingewezekana ata akinya kujipost angeweza.
-Kikuku na tatoo za ugoko au shingoni, mgongoni is disqualified.
-Njaa oriented, mwanamke wa kuomba omba 24/7 matatizo ya dunia kama anayamiliki yeye tu Mungu aniepushie hilo balaa tu.
-Much know na ubishi wa kijinga.
 
Hapa hakuna chuki, tunatoa maelekezo kwa vijana wanaotafuta wake.

Wanawake wa namna hii ishia kula tu, usidhubutu kuoa.

1. Wanaovaa vikuku. Kama unabisha mpeleke kwa mama yako akiwa na kikuku.

2. Waliotoboa pua.

3. Wanaovaa suruali za kubana na vimini. Kama unabisha mpeleke kwa baba yako akiwa na mini.

4. Wanaopenda club na pombe kwa wingi.

5. Waliojichubua,anakuwa kama kapanya kamepakwa unga.

6. Wanaotoa kinyume na maumbile.

7. Wanaopanda vyeo kisiasa sababu ya kuwa karibu na wazee wa chama,wakati mweupe.

8. Mwanamke asiye na akili.

9. Mwanamke mwenye tatoo

10. Mwanamke anayetumia tako kama msingi wa biashara

11. Mwanamke msela kujimiksi na wavulana ni laana.

Ongeza na wewe bila chuki
Mwanamke mwenye mtoto (single mother) hawa huwa mapenzi yapo kwa watoto wao tu
 
Back
Top Bottom