Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa: Mambo

Mie: poa

Jamaa: Uko poa?

Mie: yeah sijambo

Jamaa: Mambo yanaendaje lakini.

Mie: Yanaenda vizuri nashukuru

Jamaa: Niambie

Mie: Nipo tu sina mpya

Jamaa: Umevaa nini?

Mie: [emoji849] suruali na t-shirt

Jamaa: kwani kuna baridi? Natamani nije nikuvue

Mie: [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]

***Kiukweli wengi ni pumba tu hawana la maana kila siku maswali hayo hayo , salamu inajirudia mara mia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh...!

Toka uwashangilie Watford sikupendiiiii.

Loh!hiyo 'sikupendiiiiii' i felt it aseee!
Kimsingi team yoyote inayoifunga Liver naishangilia,najua unajua hii

Halafu mie nachojua sisi liver We Never Walk Alone kwa hiyo hata kama hunipendiiiii i'll never let you walk alone....nitakuganda hadi ubingwani
 
Jamaa: Mambo

Mie: poa

Jamaa: Uko poa?

Mie: yeah sijambo

Jamaa: Mambo yanaendaje lakini.

Mie: Yanaenda vizuri nashukuru

Jamaa: Niambie

Mie: Nipo tu sina mpya

Jamaa: Umevaa nini?

Mie: [emoji849] suruali na t-shirt

Jamaa: kwani kuna baridi? Natamani nije nikuvue

Mie: [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]

***Kiukweli wengi ni pumba tu hawana la maana kila siku maswali hayo hayo , salamu inajirudia mara mia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikua na nyege sana huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtani uzee ndiyo unaniangusha mimi.

Maana sisi tumeshazoea kupeana salamu kwanza, kuulizana umeamkaje, majirani, ndugu, kuulizana hali ya hewa, bei za mazao na mifugo, mnada uliopita ilikuwaje nk

And then ndiyo swala la msingi lifate, sasa inaonekana hamtaki hizo mambo.
You are something else Don.
 
Jamaa: Mambo

Mie: poa

Jamaa: Uko poa?

Mie: yeah sijambo

Jamaa: Mambo yanaendaje lakini.

Mie: Yanaenda vizuri nashukuru

Jamaa: Niambie

Mie: Nipo tu sina mpya

Jamaa: Umevaa nini?

Mie: [emoji849] suruali na t-shirt

Jamaa: kwani kuna baridi? Natamani nije nikuvue

Mie: [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]

***Kiukweli wengi ni pumba tu hawana la maana kila siku maswali hayo hayo , salamu inajirudia mara mia.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hahahahah siku jaribu kuchat na Hazard CFC

Hutajuta 😂😂😂
 
Loh!hiyo 'sikupendiiiiii' i felt it aseee!
Kimsingi team yoyote inayoifunga Liver naishangilia,najua unajua hii

Halafu mie nachojua sisi liver We Never Walk Alone kwa hiyo hata kama hunipendiiiii i'll never let you walk alone....nitakuganda hadi ubingwani

Hiyo sikupendiii unajua siyo ya kweli, ni ya kimpira tu.

Ila siku ile ilikuwa noma sana, halafu nilikuwa chimbo ambalo mimi ndo kiongozi wa washabiki wa Liver, nimeenda na matokeo mfukoni.
 
Jamaa: Mambo

Mie: poa

Jamaa: Uko poa?

Mie: yeah sijambo

Jamaa: Mambo yanaendaje lakini.

Mie: Yanaenda vizuri nashukuru

Jamaa: Niambie

Mie: Nipo tu sina mpya

Jamaa: Umevaa nini?

Mie: [emoji849] suruali na t-shirt

Jamaa: kwani kuna baridi? Natamani nije nikuvue

Mie: [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]

***Kiukweli wengi ni pumba tu hawana la maana kila siku maswali hayo hayo , salamu inajirudia mara mia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna maswali nachukia kama 'umeshapanda kitandani'? 'Umevaa nini'? Hata shemeji yako maswali haya huwa simjibu (hilo la umevaa nini)sembuse we stranger wa Jf [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Historia ya humu inaonyesha mkianza kwa ugomvi mnaishia kua wapenzi...jitahidi kugombana nae mkuu lazima mtakua na mwisho mzuriii

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu aliwahi nijia PM kwa swagg moja ya kimafia,
Nika plan nimvuruge mpaka anyooke yaani aliniboa mpaka nikajiuliza kanionaje huyu!??

Guess how that turns out to be!!? Ni mwaka umetimu mpaka sasa kila tukikumbuka huwa tunacheka sana!!
 
Tushawajua mbinu zenu sasa. 😅 Hivyo komaeni kufanya fujo kwa marefa na Tiefuefu mupate ubingwa. Huku kungine hatutaki. 😎

Ubingwa ni wetu kwa miaka kadhaa mfululizo.

Nyinyi endeleeni kulia lia tu, na mlipe mishahara maana wanakimbia njaa huko.
 
Back
Top Bottom