Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Kila mmoja huwa na Sababu zake binafsi
upande wangu mie ni Uvivu wakujibu mtu
unakuta ukiacha Pm wazi ndani ya masaa Unakuta full sms
Unamjibu huyu
Mwingine anauliza lile
Kiukweli nikazi
 
Kila mmoja huwa na Sababu zake binafsi
upande wangu mie ni Uvivu wakujibu mtu
unakuta ukiacha Pm wazi ndani ya masaa Unakuta full sms
Unamjibu huyu
Mwingine anauliza lile
Kiukweli nikazi
Mbona sababu zako ni dhaifu flan ivi?

Fanya ufungie bhana PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…