Mlolongo kachalii kadogo alimtongozaga wangari mathai ikatiki wakakubaliana wakutane Dar sehem flan. Dogo kasafir kutoka Arusha hadi. Kamngojea weee wangari hakutokezea akamuacha dogo kwenye mataa.Kumbe humu kuna watu baadae wanakuja kujuana mpaka kulana!
Ndo wewe dinazadze?ππππ poleni wanaume
Cc makaveli10Sio kulana tu ni mpaka kuoana
Ni yeye! [emoji16][emoji16]Ni wewe au nimesahau, uligonganisha crown mbili kwa wakati mmoja?[emoji1787][emoji1787]
Na Kuna mtu ameshalalamika humu, nimeomba maelezo, naona mpaka mda huu hayajafika mezaniLakini mheshimiwa unapenda kunivurugia mambo!! ona sasa ona! And why huwa haunimention? π
Pisi humu ni za kumwaga sana usisage kunguni bwana!
Uliniambia utakuja PM nimekusubiri sana.Twende basi kule kwenye miti na kikaptula
Nichek WhatsApp [emoji1787][emoji1787]Tulia [emoji23]
Usiwaze mama nakuaminiBabe wangu! huyu jamaa mfitini!!! huoni hajanimention?
huyu hapa uyuuuππππ poleni wanaume
Sema babe umenifungia PM hata siwezi kukuambia mambo mazuriBabe wangu! huyu jamaa mfitini!!! huoni hajanimention?
πππ Ntaweza kutoa maelezo kweli? Tena na kingereza chako kilivyo kigumu ntaweza kukushawishi kweli?Hili la kutoa ID siwezi but yumo mmoja hapa ana bonge la avator Ila ukimuona daaπππ.
Ila hili la Binti Kiziwi kuwa Manzi wako namtaka alitolee maeleza haraka hapa