Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza

Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza

Sema nini uzoefu wangu wa kuzama Pm Kabla ya kukutana na binti Kiziwi akanituliza. Wadada wengi maneno mengi humu ni sura za baba zao na shape za mwakaleli🏃🏃🏃. Yaani ukikutana nao utakimbia.
Wadada wazuri wanajijua na huwezi kuwakuta Wana vurugu humu jamvini. Chukueni hii kutoka kwangu. Ni Legend kwa kiasi chake.
 
Sema nini uzoefu wangu wa kuzama Pm Kabla ya kukutana na binti Kiziwi akanituliza. Wadada wengi maneno mengi humu ni sura za baba zao na shape za mwakaleli🏃🏃🏃. Yaani ukikutana nao utakimbia.
Wadada wazuri wanajijua na huwezi kuwakuta Wana vurugu humu jamvini. Chukueni hii kutoka kwangu. Ni Legend kwa kiasi chake.
Tutajie ID basi. Ina maana manzi wangu binti kiziwi ulitaka kumchapa mjulubeng dah
 
Sema nini uzoefu wangu wa kuzama Pm Kabla ya kukutana na binti Kiziwi akanituliza. Wadada wengi maneno mengi humu ni sura za baba zao na shape za mwakaleli🏃🏃🏃. Yaani ukikutana nao utakimbia.
Wadada wazuri wanajijua na huwezi kuwakuta Wana vurugu humu jamvini. Chukueni hii kutoka kwangu. Ni Legend kwa kiasi chake.
😆😆😆😆
 
La Quica please hebu toa ID yangu hapo, sijawahi badili ID since 2014 nilipojiunga JF.
Sitakaa nibadili, sina sababu ya kufanya hivyo. Miaka kadhaa hapo kati nilikuwa nikisoma, bila ya kucomment.

Hii isikufanye uone ni ID mpya.
Kaka yangu Pendaelli Ngalikihinja mkuje kunisaidia huku, nyie mnanijua vizuri je nimebadili?
La Quica unaniharibia kwa my man... muone kwanza bichwa lako ☻
Ahahahahaaa
 
Back
Top Bottom