ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kwamba huko PM mnasumbuliwa hadi mnaona bora kuzifunga?Sio wote sema mbugilambugila kama sie tunajua hatuna issue ya kufanya mtu akutafute huko pm so bora kuirestisha in peace tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba huko PM mnasumbuliwa hadi mnaona bora kuzifunga?Sio wote sema mbugilambugila kama sie tunajua hatuna issue ya kufanya mtu akutafute huko pm so bora kuirestisha in peace tu!
😂😂😂😂.. Mungu niepusha kutongoza Id feki. Sitorudia.
Mimi kila manzi naemtongoza JF simpati sijui ni gundu Mshana Jr niagueSaluti nyingi sana kwenu wanetu mnaopata mademu kwa kutumia hizi fake IDs? Mna ushujaa mkubwa sana hakika nyie ni miamba [emoji119]
Mwambie Mwachiluwi kawa mganga naeMimi kila manzi naemtongoza JF simpati sijui ni gundu Mshana Jr niague
Usimtokee mchuchu yule yule...
Dah nisifike huko, nikubalie basi mtoto mzuriiMwambie Mwachiluwi kawa mganga nae
Labda huna hobby ya kwenda chumbani...Miaka yote nimekuwa humu ila hizi streets kila siku zinanikumbusha sio mwenyeji kama nilivyodhani.
Me nishawahiwaDah nisifike huko, nikubalie basi mtoto mzurii
Wewe chepuka tu jamaa hatajua tutafanya siriMe nishawahiwa
Atapita ataonaWewe chepuka tu jamaa hatajua tutafanya siri
Njoo PM hawezi onaAtapita ataona
Tutajie ID basi. Ina maana manzi wangu binti kiziwi ulitaka kumchapa mjulubeng dahSema nini uzoefu wangu wa kuzama Pm Kabla ya kukutana na binti Kiziwi akanituliza. Wadada wengi maneno mengi humu ni sura za baba zao na shape za mwakaleli🏃🏃🏃. Yaani ukikutana nao utakimbia.
Wadada wazuri wanajijua na huwezi kuwakuta Wana vurugu humu jamvini. Chukueni hii kutoka kwangu. Ni Legend kwa kiasi chake.
😆😆😆😆Sema nini uzoefu wangu wa kuzama Pm Kabla ya kukutana na binti Kiziwi akanituliza. Wadada wengi maneno mengi humu ni sura za baba zao na shape za mwakaleli🏃🏃🏃. Yaani ukikutana nao utakimbia.
Wadada wazuri wanajijua na huwezi kuwakuta Wana vurugu humu jamvini. Chukueni hii kutoka kwangu. Ni Legend kwa kiasi chake.
Nimezipokea pongezi.Saluti nyingi sana kwenu wanetu mnaopata mademu kwa kutumia hizi fake IDs? Mna ushujaa mkubwa sana hakika nyie ni miamba [emoji119]
AhahahahaaaLa Quica please hebu toa ID yangu hapo, sijawahi badili ID since 2014 nilipojiunga JF.
Sitakaa nibadili, sina sababu ya kufanya hivyo. Miaka kadhaa hapo kati nilikuwa nikisoma, bila ya kucomment.
Hii isikufanye uone ni ID mpya.
Kaka yangu Pendaelli Ngalikihinja mkuje kunisaidia huku, nyie mnanijua vizuri je nimebadili?
La Quica unaniharibia kwa my man... muone kwanza bichwa lako ☻
Haha..!!
Usiwaamini hao wanaojifanya wanashangaa, hao ndiyo walimu wakuu wa kula wenzao..!!
Baba, Mac Alpho