Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza

Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza

Kutokana na malalamiko na nyuzi mbarembareee Nimetolea mfano tu mkuu sijamsema mtu aiseeehhh!!! Futa hio kauli mkuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Nimefuta mkuu na nakiri kuwa nilikuwa nimekunukuu vibaya😊😊😊😊😊
 
Ngoja nikufundishe mbinu ya kibazazi siku moja uje unishukuru kaka yako...

Ukiona pisi yenye ID kali unaitumia PM, si lazima ajibu...

Hata akibadili ID mara mia, bazazi unakuwa na nyaraka ya siri tayari...
Kumbe na wewe ni team bazazi na husemi
 
Sasa umeni'mention bila kujua ID yangu ya mwanzo Mkuu?

Huoni kama umenikosea?

FYI: Mimi nilibadili ID August 2021, from Makiseo to Makiwendo.. Na hakukuwa na sababu yoyote.. Ni vile nilitamani tu kubadili..
Na nadhani soon nitabadili tena kwa mara ya tatu[emoji2]
Usibadili bana ili waliokutongozaga wasipate tabu
 
Back
Top Bottom