Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Sio mimi mkuu, sijawahi kukutana na mdada yeyote wa humu Jf na wala sijawahi kujua MP ilipo wala button sijui inakaa wapi...🙄Ni wewe au nimesahau, uligonganisha crown mbili kwa wakati mmoja?🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mimi mkuu, sijawahi kukutana na mdada yeyote wa humu Jf na wala sijawahi kujua MP ilipo wala button sijui inakaa wapi...🙄Ni wewe au nimesahau, uligonganisha crown mbili kwa wakati mmoja?🤣🤣
Umemsingizia mtumishi wa Mungu aroooooMkuu wewe ulikuwa na visanga vingi miaka ile, hukukulana kweli?🤣
Kuna wakati uliichangamsha sana MMU, siku hizi umepoa sana mkuu!Sio mimi mkuu, sijawahi kukutana na mdada yeyote wa humu Jf na wala sijawahi kujua MP ilipo wala button sijui inakaa wapi...🙄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umemsingizia mtumishi wa Mungu arooooo
Tumechakata sanaSaluti nyingi sana kwenu wanetu mnaopata mademu kwa kutumia hizi fake IDs? Mna ushujaa mkubwa sana hakika nyie ni miamba [emoji119]
Raha ya siri umwambie mtu na umkanye asimwambie mtu mwingine🏃🏃🏃🏃asa hiki nacho ni kitu cha kutambia 😃
Hivi kwan mtu huez pewa kitu ukakaa kimya 😃😃
Umri chief, pia majukumu yameongezeka lakini bado niendelee kusisitiza kwamba sinto kuja kubadili ID. Bora nitongezee hihi wanikatae tu...😂😂Kuna wakati uliichangamsha sana MMU, siku hizi umepoa sana mkuu!
Kwa hiyo bado unatongoza?🤣Umri chief, pia majukumu yameongezeka lakini bado niendelee kusisitiza kwamba sinto kuja kubadili ID. Bora nitongezee hihi wanikatae tu...😂😂
Nimefuta mkuu na nakiri kuwa nilikuwa nimekunukuu vibaya😊😊😊😊😊Kutokana na malalamiko na nyuzi mbarembareee Nimetolea mfano tu mkuu sijamsema mtu aiseeehhh!!! Futa hio kauli mkuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Wabheja sana ✌️✌️✌️✌️✌️!Nimefuta mkuu na nakiri kuwa nilikuwa nimekunukuu vibaya😊😊😊😊😊
Sawa, Ila hapo umenikwaza maana mimi ni balozi wa nyumba kumi( Ten Cell leader) na mjumbe sasa hiyo alama siipendi kabisaWabheja sana ✌️✌️✌️✌️✌️!
Kumbe na wewe ni team bazazi na husemiNgoja nikufundishe mbinu ya kibazazi siku moja uje unishukuru kaka yako...
Ukiona pisi yenye ID kali unaitumia PM, si lazima ajibu...
Hata akibadili ID mara mia, bazazi unakuwa na nyaraka ya siri tayari...
Maendeleo hayana chama mkuu! NotedSawa, Ila hapo umenikwaza maana mimi ni balozi wa nyumba kumi( Ten Cell leader) na mjumbe sasa hiyo alama siipendi kabisa
Dooh vijana wa sasa ni wakuokoteza bora ubakie kwa wakubwa wenzio tumetuliaMwenyewe nna mpango wa kubadili soon, nahitaji boifrendi mpya kijana namba DZ
Shukrani sanaMaendeleo hayana chama mkuu! Noted
Usibadili bana ili waliokutongozaga wasipate tabuSasa umeni'mention bila kujua ID yangu ya mwanzo Mkuu?
Huoni kama umenikosea?
FYI: Mimi nilibadili ID August 2021, from Makiseo to Makiwendo.. Na hakukuwa na sababu yoyote.. Ni vile nilitamani tu kubadili..
Na nadhani soon nitabadili tena kwa mara ya tatu[emoji2]
[emoji38][emoji28][emoji38]Akaaa nyie kina carina siwataki mguu njiani mguu gereji , japo na mie ni carina iliyochangamka [emoji16]
Una utani mwingiiiKwanini mkuu?
PM yangu haina mitongozo[emoji2]Usibadili bana ili waliokutongozaga wasipate tabu