Wanawake wa kizazi hiki mbona hawana hofu ya Mungu jamani?

Wanawake wa kizazi hiki mbona hawana hofu ya Mungu jamani?

Aaaah man, hawa majanake ya siku hizi hakuna asiyetobolewa na wengine ati kwamba ni mali yako peke yako boss!!

Vumilia, na kila siku jipange kwa drama zao maana ndio kawaida yao tu!!
Na watoboaji si ndiyo nyinyi munaokimbia huku na kule? Mkuki kwa nguruwe lakini kwa binadamu mchungu
 
Nisikuchoshe ndugu yangu, ngoja nizame mazima kwenye mada kuna mwananmke nilikua nampenda sana (ndiyo kabla ya jana alikuwa kila kitu kwangu) anaitwa G, tulikuwa kwenye mahusiano mazito tangu 2019 mpaka jana tulipoweka nukta.

Kilichonichosha mpaka nikaandika uzi huu ni kuwa, jana aliniomba tutoke kwa mlo wa usiku maana amekumbuka sana kuku wa sekela wa wapemba. Basi nikamwambia poa akitoka kazini atulie skan kwake ntampitia saa mbili, maana mimi ni mzee wa mitikasi 'born town' ile misheni Town, halafu kwenye mahusiano huwa sina kupaniki.
Kwahiyo nikajisemea akiwa tayari sawa asipokuwa tayari poa, sasa nimerudi home mida ya 12 nikamtext "Baby get prepared mi naangusha kidogo ukiwa tayari holla up", akajibu "Poa lovie" ikaisha hivyo. Mimi kwenye kujiandaa huwa sichukui zaidi ya dk. tano, napiga maji waa shwaa, najilipua wese la Nivea afu namaliza na deodarant langu la roller la bellagio mchezo umeisha.

Basi nikalala kimtindo nikaja shituka ngoma moja unusu, nikajiandaa nikawa nimekaa tu sebleni namsikilizia. Ilivyofika ngoma mbili kimya, nikaona nimvutie waya, piga kama mara tano hivi mchumba haokoti, nikaona siyo kesi nikamtwanga text, "Lovie whatsapp, are u on it?au umehairisha?" Kimya!
Nikasikilizia baada ya nusu saa, nikavuta tena waya haokoti, nikamtext "Don't bother plan changed, naenda kijiji kusip na wana." Kimya! Nikaona siyo kesi labda mchumba kachoka job kalala.

Nikawasha chuma nafika kijiji, nikashusha Guinness smooth 3 kiroho safi, hapo kumbuka ni saa nne ndiyo nashangaa text inatinga "Baby are u vexed?" mwanaume najiandaa kujibu ikatinga ya pili, "Sorry lovie kichwa kinaniuma sitaweza, sorry my boo."

Mara paap nikavutiwa waya, excuses nyingi mi nikamwambia sijamind wala nini na augue pole ntamletea masapta baadaye. Akasema don't bother hajisikii kula ntamuona kesho, basi ikawa imeisha hiyo. Nikaona siyo tabu nikavuta pisi moja inaitwa Queen halafu nikamkumbuka mwanangu Kevoo aje tumonde naye.
Akanipanga anaumwa, nikajisemea leo wakaribu yangu spana mkononi basi nikavunga. Mida mida text ikaingia "Baby utakua hapo kijiji au utahama?" Mi nikarespond kiutani "Mgonjwa usiniambie umemiss mjulubeng mara hii hahhhaa, sina vibe nikitoka hapa mazima home." Nikajibiwa "Emoji la cheko, nope baby just take care usilewe sana", kiukweli sikuhisi kitu nikajua tu labda mawivu yake nikavunga.

Basi tumepiga vitu na Queen tukahimia Diamond, napo tukasip ilivyofika ngoma nane tukahamia The Dream. Sasa pale The Dream parking ipo sehemu ya lodge, yaani unapaki lodge ndiyo unajivuta lounge kupiga masanga.

Kilichonistua ni ile napark nikakuta gari la mchumba, moyo ukapiga paa! Aisee niliduwaa asikwambie mtu, manusura niparue Vnane la wadosi fulani. Mtu mzima nikapaki bado sielewi, Queen akaniuliza vipi? Nokamwambia mood tu imekata we chukua boda usepe mi napumzika kidogo narudi home.Manzi akataka kunipeti nikamkata dry, akaona hii kali bora asepe. Akaniambia mi nasepa, nikamwambia poa nikamchapa 30 ya boda afu nikavunga.

Nimekaa parking kama dk 20 mlinzi akanifuata bro vipi, ikabidi nimwambie kuna manzi namsikilizia nilivyoona ananiletea kiwingu nikamkata 10 basi poti akafurahi hadi akaniambia, "Bro hata ukisepa ntahahakikisha hata nzi hagusi huu mchuma", nikasema poa.

Moyoni nikasema sisepi hadi nione itakuwaje leo, roho ikawa kama inanitema dizaini kama kuna dude limenikaba kooni, nikasema sikubali nikamvutia mchumba waya, ikaita wee, deshi nikavuta ya pili ikaaita wee ndiyo ikapokelewa. Nikamuuliza "Ulikuwa hujalala mama?" "Kichwa kinaniuma hata usingizi sipati, nipo kitandani tu nachezea simu", nikasema poa, nikaminya red, nanda ikakata.

Halafu moyoni nikajisema au nisepe? Itakua gari kamuazima shosti ila upande wa pili ukakataa nikasema sisepi hadi nihahakishe....

......Inaendelea Down......

Wewe mzinzi sijui mu asherati una hodfu ya Mungu?
 
Nimeona hapo juu, umesema hauna plans za ndoa na mademu zako wote wanajua. Sasa why so serious?

Huyo demu anajua relationship yenu sio serious, na anaitreat hivyo. You should do the same!
hawa ni wale walevi wanaojiita "wanywaji"

Mwanaume hataki ndoa ila anataka ku-do, maana yake ameamua kuwa malaya malaya. ...m.ke nae kaenda kuangukia kwa mume wa mke mwenzie!
so huu uzi wa kimalaya malaya.
 
Sasa kilichonishangaza zaidi leo kanitext eti "mpenzi nimekosa nn mbona hupokei simu zangu"
I see hakika ulikuwa na changu. Mpaka hapo hajui kosa na hawezi kuomba msamaha.

Ni Mungu kakuonyesha, usigeuke nyuma
 
Nasubiri wa Mikoani waje kuzungumzia khs Wanaume wa Dar

Sawa maelezo yako umezungumzia matumizi ya hela, labda unashow mbovu mkuu
 
Kiukweli mimi kwasasa demu nampenda pale ninapomtongoza na akanikubali yaan siku hyo nakuwa nampenda balaa ila baada ya hapo naanza kumchukulia kawaida tu,hata siku ya kumgegeda nitaendelea kumuona wa kawaida tu

Tupende pesa yetu na sio kitu kingine
 
Wewe mwenyewe ulikua unaenda kuchepuka, tulia mkuu haya mambo hayataki hasira.
 
Wewe ndio mwenye tatizo!! Kwanini sasa ulihama kule ulikokua nwanzo? Ona sasa umeshuhudia ambavyo havikuhusu.

Siku nyingine upunguze kiherehere.
[emoji23][emoji23]
 
Ndugu yangu, Chura pole sana mazee. Ila, as a man YOU HAVE TO PROPERLY VET THESE WOMEN. Ni mwiko kabisa kuanza kutumia rasilimali zako kwa mtu ambaye hawezi kukuongezea kitu kwenye maisha yako kama huyu uliyemtaja hapa. Umempa FREE ATTENTION, FREE VALIDATION and FREE-TIME ilhali ukute huyo mwana KEVOO hakuhangaika kama wewe. Angalia mwenyewe hapo LODGE wameenda kwa kutumia gari ya manzi wako, kitu kinachoonesha kwamba manzi wako ndiyo alileta shobo kwa KEVOO.

Wanawake KIASILIA NI WACHOYO na WAGUMU KUTOA VYAO HATA KAMA WANAVYO. Ukiona hadi mwanamke kachoma mafuta yake na kutumia gari lake kumfuata mwanaume, basi fahamu fika kwamba anamkubali huyo mwanaume. Wewe ulipanga kwenda kumfuata na gari lako, lakini KEVOO alifuatwa na gari la mwanamke. Mazee siku nyingine usifanye hivi ulivyofanya kwa mwanamke mpaka umejiridhisha vya kutosha kuhusu yeye.

KUHUSU KUTUMA TEXT: Lakini iko hivi, ni mara chache sana kwa mtoto wa kike kuchelewa kujibu TEXT kwasababu mara kibao hawa wenzetu hukaa na simu zao 24/7. Ukituma TEXT halafu ukute hajajibu, siyo kama anakuwa hajaiona sema anakuwa anafanya mishe zange nyingine ambazo anahisi ni muhimu kwake wakati huo. Hivyo siku ingine, tume TEXT mara moja tu, akiwa na akili timamu ataiona....

Asipoonyesha ushirikiano, JUST CUT HER OFF, kamwe usiruhusu Drama kama hizi kutoka kwa mtoto wa kike. Saikolojia ya wanawake ni ya ajabu sana, kadiri unavyozidi kumtumia TEXT ndiyo wanazidi kukudharau na kukuona wewe fala. Binafsi nikiwa kwenye mahusiano na mtu, huwa sipendi anutumie TEXT na CALLING kila saa kujua nafanya nini au naendeleaje as if she's my therapist. Hili hata mimi silipendi.....

KUHUSU DATES AND LEASURE: Jingine braza Chura, ni kwamba wanaume wanaoumizwa na wanawake ni wale ambao huwapa wanawake kipaumbele. Kwenye maisha haya mtu wa kwanza kumpa kipaumbele ni WEWE MWENYEWE siyo MWANAMKE. Miaka ya nyuma ndiyo nilikuwa naenda DATE/OUT na mwanamke na nataka kwenda naye hoteli nzuri ili afurahie, lakini nilivyogonga 30's nikaanza kwenda OUT mwenyewe na wana AND TRULLY I HAVE ENJOYED EVERY MOMENT OF IT. Napanga ratiba yangu mapema kabisa ya mimi kwenda OUT, yeye anakuwa mgeni MWALIKWA TU.

Asipokuja ndiyo nafurahi zaidi kwasababu IT'LL BE A DRAMA FREE NIGHT, yale mambo ya Mood-Swings na kuanza kubembelezana hayatakuwepo kabisa. Kiukweli I have grown to enjoy my ME TIME. Usijifunza kufurahia muda wake mwenyewe madhara ndiyo haya sasa, utatafuta hadi wanawake wajinga kisa tu YOU'RE IN A DESPERATE NEED OF COMPANIONSHIP.

Jingine nililojifunza kuhusu hawa wanawake wengi wa siku hizi ni kwamba hata nikienda nao OUT/DATE zaidi ya kutegemea NGONO hawana kitu kingine cha ziada wanaweza kunipa. Wengi wao ARE INTELLECTUALLY SHALLOW, BORING WITH POOR SOCIAL SKILLS. Siwezi kukaa naye hata nusu saa tukafanya mazungumzo ya maana, zaidi zaidi ataanza kunisimulia mambo ya kazini kwao, nyumbani kwao au maisha ya watu. Hivyo ni heri nikae na wana viwanja tupige stori au nikae mwenyewe nifurahie muda wangu, kuliko kupotezewa muda wangu na mtu ambaye haniongezei chochote.

MWISHO KABISA: Braza Chura , labda hii story yako iwe ni CHAI. Ila nachofahamu mimi ni kwamba mwanaume yoyote mwenye fedha za kuweza kuwa na usafiri binafsi, kazi yake nzuri na a good place to stay, hawezi kuhangaishwa na mwanamke mmoja. Hivi unakuwaje na fedha halafu unasumbuliwa na mwanamke mmoja ambaye hakupi hata ushirikiano wowote ule ? You have lots of options when it comes to women, so explore them. Siku hizi hata niwe nimetoka na mwanamke jana halafu kesho namkuta na mtu mwingine wala sistuki kabisa.......
 
Ndugu yangu, Chura pole sana mazee. Ila, as a man YOU HAVE TO PROPERLY VET THESE WOMEN. Ni mwiko kabisa kuanza kutumia rasilimali zako kwa mtu ambaye hawezi kukuongezea kitu kwenye maisha yako kama huyu uliyemtaja hapa. Umempa FREE ATTENTION, FREE VALIDATION and FREE-TIME ilhali ukute huyo mwana KEVOO hakuhangaika kama wewe. Angalia mwenyewe hapo LODGE wameenda kwa kutumia gari ya manzi wako, kitu kinachoonesha kwamba manzi wako ndiyo alileta shobo kwa KEVOO.

Wanawake KIASILIA NI WACHOYO na WAGUMU KUTOA VYAO HATA KAMA WANAVYO. Ukiona hadi mwanamke kachoma mafuta yake na kutumia gari lake kumfuata mwanaume, basi fahamu fika kwamba anamkubali huyo mwanaume. Wewe ulipanga kwenda kumfuata na gari lako, lakini KEVOO alifuatwa na gari la mwanamke. Mazee siku nyingine usifanye hivi ulivyofanya kwa mwanamke mpaka umejiridhisha vya kutosha kuhusu yeye.

KUHUSU KUTUMA TEXT: Lakini iko hivi, ni mara chache sana kwa mtoto wa kike kuchelewa kujibu TEXT kwasababu mara kibao hawa wenzetu hukaa na simu zao 24/7. Ukituma TEXT halafu ukute hajajibu, siyo kama anakuwa hajaiona sema anakuwa anafanya mishe zange nyingine ambazo anahisi ni muhimu kwake wakati huo. Hivyo siku ingine, tume TEXT mara moja tu, akiwa na akili timamu ataiona....

Asipoonyesha ushirikiano, JUST CUT HER OFF, kamwe usiruhusu Drama kama hizi kutoka kwa mtoto wa kike. Saikolojia ya wanawake ni ya ajabu sana, kadiri unavyozidi kumtumia TEXT ndiyo wanazidi kukudharau na kukuona wewe fala. Binafsi nikiwa kwenye mahusiano na mtu, huwa sipendi anutumie TEXT na CALLING kila saa kujua nafanya nini au naendeleaje as if she's my therapist. Hili hata mimi silipendi.....

KUHUSU DATES AND LEASURE: Jingine braza Chura, ni kwamba wanaume wanaoumizwa na wanawake ni wale ambao huwapa wanawake kipaumbele. Kwenye maisha haya mtu wa kwanza kumpa kipaumbele ni WEWE MWENYEWE siyo MWANAMKE. Miaka ya nyuma ndiyo nilikuwa naenda DATE/OUT na mwanamke na nataka kwenda naye hoteli nzuri ili afurahie, lakini nilivyogonga 30's nikaanza kwenda OUT mwenyewe na wana AND TRULLY I HAVE ENJOYED EVERY MOMENT OF IT. Napanga ratiba yangu mapema kabisa ya mimi kwenda OUT, yeye anakuwa mgeni MWALIKWA TU.

Asipokuja ndiyo nafurahi zaidi kwasababu IT'LL BE A DRAMA FREE NIGHT, yale mambo ya Mood-Swings na kuanza kubembelezana hayatakuwepo kabisa. Kiukweli I have grown to enjoy my ME TIME. Usijifunza kufurahia muda wake mwenyewe madhara ndiyo haya sasa, utatafuta hadi wanawake wajinga kisa tu YOU'RE IN A DESPERATE NEED OF COMPANIONSHIP.

Jingine nililojifunza kuhusu hawa wanawake wengi wa siku hizi ni kwamba hata nikienda nao OUT/DATE zaidi ya kutegemea NGONO hawana kitu kingine cha ziada wanaweza kunipa. Wengi wao ARE INTELLECTUALLY SHALLOW, BORING WITH POOR SOCIAL SKILLS. Siwezi kukaa naye hata nusu saa tukafanya mazungumzo ya maana, zaidi zaidi ataanza kunisimulia mambo ya kazini kwao, nyumbani kwao au maisha ya watu. Hivyo ni heri nikae na wana viwanja tupige stori au nikae mwenyewe nifurahie muda wangu, kuliko kupotezewa muda wangu na mtu ambaye haniongezei chochote.

MWISHO KABISA: Braza Chura , labda hii story yako iwe ni CHAI. Ila nachofahamu mimi ni kwamba mwanaume yoyote mwenye fedha za kuweza kuwa na usafiri binafsi, kazi yake nzuri na a good place to stay, hawezi kuhangaishwa na mwanamke mmoja. Hivi unakuwaje na fedha halafu unasumbuliwa na mwanamke mmoja ambaye hakupi hata ushirikiano wowote ule ? You have lots of options when it comes to women, so explore them. Siku hizi hata niwe nimetoka na mwanamke jana halafu kesho namkuta na mtu mwingine wala sistuki kabisa.......
Bro umeeleza hadi nimepata vitu lakini mwishoni umepuyanga, hisia we ziache zilivyo unaweza ukawa cassanova haswa lakini ukaja naswa kwa manzi wa ajabu hadi kila mtu akashangaa....hujawahi kuona mtu ana hela anakuja pelekeshwa na kabinti kauswahilini ambako hata hakajali...Hisia ni kitu kingine huezi control....Unaweza kuamua kuwa wanawake tofauti ila kiukweli huezi penda wanawake tofauti tofauti
 
hawa ni wale walevi wanaojiita "wanywaji"

Mwanaume hataki ndoa ila anataka ku-do, maana yake ameamua kuwa malaya malaya. ...m.ke nae kaenda kuangukia kwa mume wa mke mwenzie!
so huu uzi wa kimalaya malaya.
Hivi mm kutokutaka kuooa ndo justification....ya yeye kuliwa na mshkaji wangu wa damu?
 
Back
Top Bottom