Wanawake wa kizazi hiki mbona hawana hofu ya Mungu jamani?

Wanawake wa kizazi hiki mbona hawana hofu ya Mungu jamani?

Bro umeeleza hadi nimepata vitu lakini mwishoni umepuyanga, hisia we ziache zilivyo unaweza ukawa cassanova haswa lakini ukaja naswa kwa manzi wa ajabu hadi kila mtu akashangaa....hujawahi kuona mtu ana hela anakuja pelekeshwa na kabinti kauswahilini ambako hata hakajali...Hisia ni kitu kingine huezi control....Unaweza kuamua kuwa wanawake tofauti ila kiukweli huezi penda wanawake tofauti tofauti
Kwani Chura unadhani wewe ni mtu wa kwanza kukutwa na haya ndugu yangu ? Hivi ndivyo dunia ilivyo, hivyo kama mtoto wa kiume ni lazima ujifunze kuwa STOIC, yanaumiza lakini ni lazima maisha yaende. Hapa siyo suala la hisia, ni suala la uhai wako.

Ukweli mchungu ambao ni lazima ukubaliane nao ni kwamba huwezi kumwamini mwanadamu yoyote kwa asilimia 100%, hivyo ni lazima ukae naye ukitegemea kwamba kuna siku atazingua tu. Ukishakubaliana na huu ukweli, siku yakikukuta hutasituka sana kwasababu ulishajiandaa kisaikolojia.

Unadhani hili wewe ndiyo wa kwanza kukutwa mazee ? Juzi hapa kuna mshikaji wangu yamemkuta mazito kuliko haya yako, lakini alichofanya nikasema, eeh huyu sasa amekomaa akili na somo tulilokuwa tunamfundisha ameanza kulielewa.

Chris Brown alishaimba "They Ain't Loyal" hivyo Quit Putting These Women on a Pedestal......
Saa hizi nafahamu huwezi kunielewa, lakini utakaa siku utanishukuru......
 
mpenzi nimekosa nn mbona hupokei simu zangu"
Watu wa namna hii ni wabaya sana,wanakosea afu wanajifanya hawajakosea then wanataka ujielezee wewe uliyekosewa.Devils
 
Wanawake wa sasa ni tatizo sana yan manzi anamegwa na mshikaji wake wa karibu ivyoo
 
Tena umalaya Pro, mm nimeshangaa tu alivyonitext utadhani hamna kilichotokea
Pesa siyo kigezo cha kuwa na mwanamke mzuri. Wanawake ni watu wa ajabu sana, unaweza kumtimizia kila kitu ila anampenda bodaboda
Tafuta pesa ili ukidhi mahitaji yako na siyo kuwa na mwanamke mzuri.
 
Nisikuchoshe ndugu yangu, ngoja nizame mazima kwenye mada kuna mwananmke nilikua nampenda sana (ndiyo kabla ya jana alikuwa kila kitu kwangu) anaitwa G, tulikuwa kwenye mahusiano mazito tangu 2019 mpaka jana tulipoweka nukta.

Kilichonichosha mpaka nikaandika uzi huu ni kuwa, jana aliniomba tutoke kwa mlo wa usiku maana amekumbuka sana kuku wa sekela wa wapemba. Basi nikamwambia poa akitoka kazini atulie skan kwake ntampitia saa mbili, maana mimi ni mzee wa mitikasi 'born town' ile misheni Town, halafu kwenye mahusiano huwa sina kupaniki.
Kwahiyo nikajisemea akiwa tayari sawa asipokuwa tayari poa, sasa nimerudi home mida ya 12 nikamtext "Baby get prepared mi naangusha kidogo ukiwa tayari holla up", akajibu "Poa lovie" ikaisha hivyo. Mimi kwenye kujiandaa huwa sichukui zaidi ya dk. tano, napiga maji waa shwaa, najilipua wese la Nivea afu namaliza na deodarant langu la roller la bellagio mchezo umeisha.

Basi nikalala kimtindo nikaja shituka ngoma moja unusu, nikajiandaa nikawa nimekaa tu sebleni namsikilizia. Ilivyofika ngoma mbili kimya, nikaona nimvutie waya, piga kama mara tano hivi mchumba haokoti, nikaona siyo kesi nikamtwanga text, "Lovie whatsapp, are u on it?au umehairisha?" Kimya!
Nikasikilizia baada ya nusu saa, nikavuta tena waya haokoti, nikamtext "Don't bother plan changed, naenda kijiji kusip na wana." Kimya! Nikaona siyo kesi labda mchumba kachoka job kalala.

Nikawasha chuma nafika kijiji, nikashusha Guinness smooth 3 kiroho safi, hapo kumbuka ni saa nne ndiyo nashangaa text inatinga "Baby are u vexed?" mwanaume najiandaa kujibu ikatinga ya pili, "Sorry lovie kichwa kinaniuma sitaweza, sorry my boo."

Mara paap nikavutiwa waya, excuses nyingi mi nikamwambia sijamind wala nini na augue pole ntamletea masapta baadaye. Akasema don't bother hajisikii kula ntamuona kesho, basi ikawa imeisha hiyo. Nikaona siyo tabu nikavuta pisi moja inaitwa Queen halafu nikamkumbuka mwanangu Kevoo aje tumonde naye.
Akanipanga anaumwa, nikajisemea leo wakaribu yangu spana mkononi basi nikavunga. Mida mida text ikaingia "Baby utakua hapo kijiji au utahama?" Mi nikarespond kiutani "Mgonjwa usiniambie umemiss mjulubeng mara hii hahhhaa, sina vibe nikitoka hapa mazima home." Nikajibiwa "Emoji la cheko, nope baby just take care usilewe sana", kiukweli sikuhisi kitu nikajua tu labda mawivu yake nikavunga.

Basi tumepiga vitu na Queen tukahimia Diamond, napo tukasip ilivyofika ngoma nane tukahamia The Dream. Sasa pale The Dream parking ipo sehemu ya lodge, yaani unapaki lodge ndiyo unajivuta lounge kupiga masanga.

Kilichonistua ni ile napark nikakuta gari la mchumba, moyo ukapiga paa! Aisee niliduwaa asikwambie mtu, manusura niparue Vnane la wadosi fulani. Mtu mzima nikapaki bado sielewi, Queen akaniuliza vipi? Nokamwambia mood tu imekata we chukua boda usepe mi napumzika kidogo narudi home.Manzi akataka kunipeti nikamkata dry, akaona hii kali bora asepe. Akaniambia mi nasepa, nikamwambia poa nikamchapa 30 ya boda afu nikavunga.

Nimekaa parking kama dk 20 mlinzi akanifuata bro vipi, ikabidi nimwambie kuna manzi namsikilizia nilivyoona ananiletea kiwingu nikamkata 10 basi poti akafurahi hadi akaniambia, "Bro hata ukisepa ntahahakikisha hata nzi hagusi huu mchuma", nikasema poa.

Moyoni nikasema sisepi hadi nione itakuwaje leo, roho ikawa kama inanitema dizaini kama kuna dude limenikaba kooni, nikasema sikubali nikamvutia mchumba waya, ikaita wee, deshi nikavuta ya pili ikaaita wee ndiyo ikapokelewa. Nikamuuliza "Ulikuwa hujalala mama?" "Kichwa kinaniuma hata usingizi sipati, nipo kitandani tu nachezea simu", nikasema poa, nikaminya red, nanda ikakata.

Halafu moyoni nikajisema au nisepe? Itakua gari kamuazima shosti ila upande wa pili ukakataa nikasema sisepi hadi nihahakishe....

......Inaendelea Down......
Jamaa mhuni sana wewe🤣🤣
 
Kwani Chura unadhani wewe ni mtu wa kwanza kukutwa na haya ndugu yangu ? Hivi ndivyo dunia ilivyo, hivyo kama mtoto wa kiume ni lazima ujifunze kuwa STOIC, yanaumiza lakini ni lazima maisha yaende. Hapa siyo suala la hisia, ni suala la uhai wako.

Ukweli mchungu ambao ni lazima ukubaliane nao ni kwamba huwezi kumwamini mwanadamu yoyote kwa asilimia 100%, hivyo ni lazima ukae naye ukitegemea kwamba kuna siku atazingua tu. Ukishakubaliana na huu ukweli, siku yakikukuta hutasituka sana kwasababu ulishajiandaa kisaikolojia.

Unadhani hili wewe ndiyo wa kwanza kukutwa mazee ? Juzi hapa kuna mshikaji wangu yamemkuta mazito kuliko haya yako, lakini alichofanya nikasema, eeh huyu sasa amekomaa akili na somo tulilokuwa tunamfundisha ameanza kulielewa.

Chris Brown alishaimba "They Ain't Loyal" hivyo Quit Putting These Women on a Pedestal......
Saa hizi nafahamu huwezi kunielewa, lakini utakaa siku utanishukuru......
Bro umemalza kila kitu yani. Haf hisia sio involuntary ni just voluntary thing unaweza icontrol vizuri tu. The best fact of being matured enough is to be able to control your emotions rightly.
 
Yani nimekaa mwanza mwaka wa 3 huu sipajui THE DREAM ....
 
Nisikuchoshe ndugu yangu, ngoja nizame mazima kwenye mada kuna mwananmke nilikua nampenda sana (ndiyo kabla ya jana alikuwa kila kitu kwangu) anaitwa G, tulikuwa kwenye mahusiano mazito tangu 2019 mpaka jana tulipoweka nukta.

Kilichonichosha mpaka nikaandika uzi huu ni kuwa, jana aliniomba tutoke kwa mlo wa usiku maana amekumbuka sana kuku wa sekela wa wapemba. Basi nikamwambia poa akitoka kazini atulie skan kwake ntampitia saa mbili, maana mimi ni mzee wa mitikasi 'born town' ile misheni Town, halafu kwenye mahusiano huwa sina kupaniki.
Kwahiyo nikajisemea akiwa tayari sawa asipokuwa tayari poa, sasa nimerudi home mida ya 12 nikamtext "Baby get prepared mi naangusha kidogo ukiwa tayari holla up", akajibu "Poa lovie" ikaisha hivyo. Mimi kwenye kujiandaa huwa sichukui zaidi ya dk. tano, napiga maji waa shwaa, najilipua wese la Nivea afu namaliza na deodarant langu la roller la bellagio mchezo umeisha.

Basi nikalala kimtindo nikaja shituka ngoma moja unusu, nikajiandaa nikawa nimekaa tu sebleni namsikilizia. Ilivyofika ngoma mbili kimya, nikaona nimvutie waya, piga kama mara tano hivi mchumba haokoti, nikaona siyo kesi nikamtwanga text, "Lovie whatsapp, are u on it?au umehairisha?" Kimya!
Nikasikilizia baada ya nusu saa, nikavuta tena waya haokoti, nikamtext "Don't bother plan changed, naenda kijiji kusip na wana." Kimya! Nikaona siyo kesi labda mchumba kachoka job kalala.

Nikawasha chuma nafika kijiji, nikashusha Guinness smooth 3 kiroho safi, hapo kumbuka ni saa nne ndiyo nashangaa text inatinga "Baby are u vexed?" mwanaume najiandaa kujibu ikatinga ya pili, "Sorry lovie kichwa kinaniuma sitaweza, sorry my boo."

Mara paap nikavutiwa waya, excuses nyingi mi nikamwambia sijamind wala nini na augue pole ntamletea masapta baadaye. Akasema don't bother hajisikii kula ntamuona kesho, basi ikawa imeisha hiyo. Nikaona siyo tabu nikavuta pisi moja inaitwa Queen halafu nikamkumbuka mwanangu Kevoo aje tumonde naye.
Akanipanga anaumwa, nikajisemea leo wakaribu yangu spana mkononi basi nikavunga. Mida mida text ikaingia "Baby utakua hapo kijiji au utahama?" Mi nikarespond kiutani "Mgonjwa usiniambie umemiss mjulubeng mara hii hahhhaa, sina vibe nikitoka hapa mazima home." Nikajibiwa "Emoji la cheko, nope baby just take care usilewe sana", kiukweli sikuhisi kitu nikajua tu labda mawivu yake nikavunga.

Basi tumepiga vitu na Queen tukahimia Diamond, napo tukasip ilivyofika ngoma nane tukahamia The Dream. Sasa pale The Dream parking ipo sehemu ya lodge, yaani unapaki lodge ndiyo unajivuta lounge kupiga masanga.

Kilichonistua ni ile napark nikakuta gari la mchumba, moyo ukapiga paa! Aisee niliduwaa asikwambie mtu, manusura niparue Vnane la wadosi fulani. Mtu mzima nikapaki bado sielewi, Queen akaniuliza vipi? Nokamwambia mood tu imekata we chukua boda usepe mi napumzika kidogo narudi home.Manzi akataka kunipeti nikamkata dry, akaona hii kali bora asepe. Akaniambia mi nasepa, nikamwambia poa nikamchapa 30 ya boda afu nikavunga.

Nimekaa parking kama dk 20 mlinzi akanifuata bro vipi, ikabidi nimwambie kuna manzi namsikilizia nilivyoona ananiletea kiwingu nikamkata 10 basi poti akafurahi hadi akaniambia, "Bro hata ukisepa ntahahakikisha hata nzi hagusi huu mchuma", nikasema poa.

Moyoni nikasema sisepi hadi nione itakuwaje leo, roho ikawa kama inanitema dizaini kama kuna dude limenikaba kooni, nikasema sikubali nikamvutia mchumba waya, ikaita wee, deshi nikavuta ya pili ikaaita wee ndiyo ikapokelewa. Nikamuuliza "Ulikuwa hujalala mama?" "Kichwa kinaniuma hata usingizi sipati, nipo kitandani tu nachezea simu", nikasema poa, nikaminya red, nanda ikakata.

Halafu moyoni nikajisema au nisepe? Itakua gari kamuazima shosti ila upande wa pili ukakataa nikasema sisepi hadi nihahakishe....

......Inaendelea Down......
Aaaah y
 
Back
Top Bottom