Wanawake wa Shinyanga hatari tupu, Kajala, mke wa Masanja na mke wa Haji Manara wote kwao Shinyanga

Wanawake wa Shinyanga hatari tupu, Kajala, mke wa Masanja na mke wa Haji Manara wote kwao Shinyanga

Mi nimeoa Mnyaki ndugu yangu na tangu nizaliwe sijawahi kula mbususu ya binti wa Kisukuma maana walikuwa wagumu sana enzi zangu za ujana kabla sijazeeka.

Kwa hili sina comment ila wakati mwingine tatizo pia linaweza kuwa la wanaume. Hao wote (Masanja na Manara) ni kama wanastahili tu kuchapiwa! [emoji16][emoji16][emoji16]

Ni hayo tu kwa sasa!
 
Ni kweli. Kuna jamaa yangu mmoja namfahamu, yeye na mke wake ni kama wako kwenye ''open relationship''. Mke akipa nafasi anachepuka, mume naye akipata chance anajibu mapigo. Wakiishi wote kwa mwezi mmoja, mwezi wa pili wanatengana, baada ya mwezi tena wanarudiana. Ila watoto wanazaa pamoja.
Unyamwezi mwingi sana hapa 😆🤣😂
 
Hiyo minyatuzu ya kike ina dharau sana na roho ngumu
Juzi nikiwa mwanza kuna moja nililipa kazi yangu flani nikampatia advance then baada ya siku 3 nikampatia hela yote iliyobaki kwani mwanae aliumwa....baada ya malipo hakumaliza ile kazi na akapotea....nilimdharauuuu kwakweli.
 
Back
Top Bottom