Wanawake waislam wanaheshimu sana wapenzi wao

Nakubaliana na wewe
 
Kuna siku nilishuhudia mume amemfumania mke wake na kibenten pale kisiwandui zanzibar nilishtuka kwasababu mwanamke yule namjua huwa anashinda na majuba. Nika uliza nikaambiwa mbona huku znz ishazoeleka, wanaoongoza kwa uzinzi ni wake za watu kwasababu mume ana wake wanne, mke anapata muda wa kwenda kupuyanga.

Basi mtoa mada sina budi kusema uko sahihi, hawa tunaowaona huku znz wanachepuka na wanashinda kufanya ujinga ni wanawake waki kristo wanaojivika majuba tu.
 
Mwenyewe nahisi ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…