Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Wanajua kujipodoa.
Ni wasafi.
Ila Sasa ni wepesi kutoa Tigo
Ni wasafi.
Ila Sasa ni wepesi kutoa Tigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona rahisi sana...na hakuna ubaya kuwa in new diniUkibadili dini jioni nitakuwa Dr mwaka wako
Wewe njoo maneno ya niniMbona rahisi sana...na hakuna ubaya kuwa in new dini
Kwenda wapi tenaWewe njoo maneno ya nini
Kwa Dokta mwakaKwenda wapi tena
Nakubaliana na weweWasalaam JF
Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.
Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.
Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.
Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.
🙏🙏🙏
Wadiz
Mbona mi Sina shida ya uzazi Wala ndoa mkuuKwa Dokta mwaka
ila kupigwa deki kama kawaida au sio? I hate doind to a woman that even a woman can do better for her,Mbona mi Sina shida ya uzazi Wala ndoa mkuu
Hatimaye tumekumbukwa
Kitu gan ikoila kupigwa deki kama kawaida au sio? I hate doind to a woman that even a woman can do better for her,
Sio wote. Nilikuwa na Fatuma mmoja wa kuvaa ninja kabisa ila demu lilikuwa jeuri lile sijapata ona. Halafu lilikuwa liongo, linapost mabwana zake ukiliuliza linakwambia binamu.
Ila kitandani lilikuwa tamu balaa.
Mwenyewe nahisi ni kweli.Wasalaam JF
Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.
Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.
Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.
Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.
🙏🙏🙏
Wadiz
Ndio mkuu nimeolewaUmeshaolewa?
🤪😁😁Ila wewe aisee dah 😂
Mkuu hili swali usiulize tena kma unataka kula kimasiharaUmeshaolewa?