Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Tumefikwa hatimaye. 🙏🙏🙏
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji470]Kwa hiyo wanawake wote wakiislamu wana ugumu wa maisha na wanaogopa uke wenza mkuu tumia ubongo wako kama kiumbe hai
Sio vzuri vitabu vya dini haviafiki hilo sualaWatumishi sio vibaya kula kondoo
Alibadili tu dini yule ndo maana ameshindwa kuendana na waliozaliwa kwenye uislamu.Hivi yule wa Dr. MWAKA ni Dini gani hadi ametuondolea Shehe wetu wa Mkoa ?
Uko sahihi kabisa... mie mkristo ila napendezwa sana na wanawake wa kiislamu.Wasalaam JF
Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.
Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.
Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.
Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.
🙏🙏🙏
Wadiz
Sidhani kwa kiasi hicho. Mwanamke wa kiislam, aliye lelewa na kukuzwa kiislam. Akaishika dini ndiyo wanawake best. Wanaadabu, wanajua kumbembeleza mume, wanyenyekevu, wasafi wa mwili hata roho pia, wanajua kuandaa mazingira ya mapenzi. Wanajua kupika, wanajua kuongea kwa ustaarabu na kuvutia.Wengi wao ni malaaaayyyaaaaa mbwaaaaaaa..hawajuagi kukataa!
Yanii maji mara moja ni kugusa tu!Sidhani kwa kiasi hicho. Mwanamke wa kiislam, aliye lelewa na kukuzwa kiislam. Akaishika dini ndiyo wanawake best. Wanaadabu, wanajua kumbembeleza mume, wanyenyekevu, wasafi wa mwili hata roho pia, wanajua kuandaa mazingira ya mapenzi. Wanajua kupika, wanajua kuongea kwa ustaarabu na kuvutia.
Wanamapozi fulani hivi. Na wanajua kudeka kiasi chake.
Mwanamke wa kiislam si wasumbufu, hawana tamaa, na akipenda anapenda haswa labda tu iwe vingine. Wanayajua mapenzi. Hawana tamaa zisizokuwa na msingi. Hawana masuala ya feminism sijui mwanamke sawa na mwanaume.
Mimi mkristo lkn nimekuwa na mahusiano ya wadada wa kiislam, ni tofauti kabisa na upande wa pili hasa Wadada wa Kikristo. Yaani hawa wakristo wenzangu ni shida, balaa, ugomvi hauishi ndani, hakuna heshima kwa mume. Wao wanahitaji haki sawa. Ni wepesi wa kuvunja ndoa.
Mashekhe, Maalim, na hata wazazi wa kiislam walio katika imani ya Mtume SAW, Mwenyenzi Mungu akupeni kheri, mnajua kulea na kufunza, pia kuadabisha.
Lakini pia hawa wadada wa kiislam kwakua wanajua kujitunza uwa ni watamu. Na wanajua kujisitiri. Si midada ya kikristo inadhani kuacha mapaja wazi ndo kuonwa uzuri wao. Uwa najisikia kichefuchefu.