Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

😁😁😁🥱🤣🙌
 
🥱🥱🥱🤣
 
Mwanamke anayejielewa anaplan future yake iweje na mumewe awe mtu wa type gani. Siyo kila anayekuja ili mradi ana uume basi akubaliwe kuwa mume.
Kuwa makini na expectations zako shauri yako
 
Sio demu wangu huyu wa kilimanjaro?
 
Psychological set up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
Acha wivu ata wewe utakuwa ulikutana na hii hali.Pesa haiwezi kuwa mbadala wa ndoa vinginevyo hukumwelewa mtoa hoja.Ayo ya pesa ni maisha tofauti ndo maana mnaishia kubaka vijana wadogo ili kutuliza mizuka ya nyeg,,e
 
Tukiwaomba mbususu mtupe

Tukionyesha nia ya kuwawowa mkubali haraka

Msichague na kubagua
Aaaaaaaah bwana bwana![emoji23][emoji23][emoji23]

Mkionesha nia ya kutuoa tutakubali ,mbususu MSAHAU.
 
Umesema nn,?[emoji23][emoji23][emoji23] Sijakuelewa ngoja nikiona mwezi leo nitakuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…