Sasa mtu ni beach boy..si unataka kusuzwa rungu tu akutoe nyege? Au anategemea nn au kwakuwa yuko jamaica? Ana bahati angekatwa ringi.Rafiki yangu alikwenda holiday Jamaica, alimpenda beach boy. Kabla likizo haijaisha aligundua beach boy alikua na wanawake wanne na anakinga pesa kote.
Nani kakuambia, kuna wasichana wa miaka 20 lakini wamechezewa kuliko hao wa zaidi ya 30. Kizazi hiki ni balaaKuanzia umri wa 30 and above mashavu ya k yanaanza kutelepweta kwakuwa uchi unakuwa umechezewa sn
wewe mie siwezi kukuchoka, ulivyo mrembo nikionaga macho yako tuu mlimbwende nalegea....ebwana eeh kwanza siku kuu lini nije kula biriani?
Ukiona mwanamke ana miaka 27 kachoka huyo ni wa kuonea huruma aisee, akifika 35 si atakuwa mzee. Ila wanawake wa Afrika tunajizeesha aisee, tunakula bila mpangilio, mazoezi ziro, vitambi, wowowo utaacha kuzeeka. Wengine tuko 42 lakini utajua bado wasichana. No tumbo, ziwa kama vile hujanyonyesha. Natural face , no artificial hair . Tunafanya kazi na wazungu, boss wetu yuko 65 lakini ukimuona tumbo flat na akivaa nguo utapenda. Kuja kwa wabongo sasa, yaani utadhani kila siku wajawazito loh.Miaka 30 mingi sana kwa mwanamke. Mwanamke akishafika miaka 27 tu amejichokea na mbaya zaidi ukute umri huo hajapata hata mwanaume aliyeonesha nia ya kumuoa ndo anapagwa zaidi.
Uanaume raha sana yaani age ya 30 hadi 45 huko bado unaonekana unalipa kabisa na unaweza kutafuna vibinti hata vya 18 years lakini ukaonekana ni size yako.
Unatafuta nini huku[emoji1787][emoji848]Mpambe kazini mzee wa kuchochea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji848]!
[emoji1787]Ah miaka thrity hiyo mbususu sii walishaipiga mpka imelegea
Kuna gari ni za 2019 lakini zimechoka kuliko za 2002. Inategemea na matumizi aisee. Usikariri[emoji1787]
I like this. A man has spoken...Sawa. Ila kwa upande wangu haikuwa hivi. Hata leo ukinipa binti wa miaka 20 hatonipa alichonipa mke wangu akiwa na miaka 35. Niliridhika na mwili wake, nikaridhika na IQ yake, nikaridhika na uwezo wake wa kuwa mama na mke. Sasa hivi tushakuwa watu wazima sana na sijuti kufanya yale maamuzi miaka ya nyuma. Nikirudi nyuma, nitamtongoza yeye kwa mara nyingine tuzae tena.
Tulia nitakupa ratiba baadaewewe mie siwezi kukuchoka, ulivyo mrembo nikionaga macho yako tuu mlimbwende nalegea....ebwana eeh kwanza siku kuu lini nije kula biriani?
Umeona eeh,Kuna gari ni za 2019 lakini zimechoka kuliko za 2002. Inategemea na matumizi aisee. Usikariri
Unakuta mwanamke anakula viporo kama mchimba visima. Na mkoa unaoongoza Kwa wanawake wenye bad lifestyle ni DarUkiona mwanamke ana miaka 27 kachoka huyo ni wa kuonea huruma aisee, akifika 35 si atakuwa mzee. Ila wanawake wa Afrika tunajizeesha aisee, tunakula bila mpangilio, mazoezi ziro, vitambi, wowowo utaacha kuzeeka. Wengine tuko 42 lakini utajua bado wasichana. No tumbo, ziwa kama vile hujanyonyesha. Natural face , no artificial hair . Tunafanya kazi na wazungu, boss wetu yuko 65 lakini ukimuona tumbo flat na akivaa nguo utapenda. Kuja kwa wabongo sasa, yaani utadhani kila siku wajawazito loh.
Nimeshuhudia mara 2, ya kwanza ana miaka 40 kaolewa tena ndoa ya kanisani Kwa mara ya kwanza, Hana mtoto ata 1.Wanawake wanaolewa mpaka 35. Mm nimeshuhudia. Wengine wanaachwa na watoto leo kesho posa mpya inapelekwa na ndoa mpya inafungwa. Maisha hayapo fixed, kila mwanamke ni unique kwa namna yake. Tusihitimishe, exceptional zipo tena za kutosha. Hao vilizi wa ndoa mnao kutana nao kila sehemu wanatakiwa kubadili fikra.
Binafsi nilikutana na mama watoto akiwa katika pilika za kukuza kipato na alikuwa mtu mzima tayari, above 30 na mm nikiwa na siasa zangu za maisha, leo tuna mitoto mikubwa na ndoa ipo imara hatuna tatizo.
Hapo nilikuwa namchora tu mimi nshaoa huwa sina maneno mengi katika utongozaji,neno moja tu nataka nkuoe nkiona huna direction ya maisha najua hapa hachomoi hata iweje kisha napiga nasepa,kwa wengine miamala ndio inafanya kazi masuala ya ufundi katika text kwa wadangaji huwa sinaga kabisa..We mwenyewe texting game hujui, SMV imeshuka ila bado anapower over you[emoji16]
Hongera Sana. Na Mungu aendelee kuwabarikiSawa. Ila kwa upande wangu haikuwa hivi. Hata leo ukinipa binti wa miaka 20 hatonipa alichonipa mke wangu akiwa na miaka 35. Niliridhika na mwili wake, nikaridhika na IQ yake, nikaridhika na uwezo wake wa kuwa mama na mke. Sasa hivi tushakuwa watu wazima sana na sijuti kufanya yale maamuzi miaka ya nyuma. Nikirudi nyuma, nitamtongoza yeye kwa mara nyingine tuzae tena.
Kwa wale waliojifanya wa level za juu na kukataa wliowapenda! Ukiona unakuchoma jua kuwa nawewe ni mmoja wa walengwa.Uzi unachoma huu, ila muhimu uhai[emoji849]
Jilishe upepoKuna gari ni za 2019 lakini zimechoka kuliko za 2002. Inategemea na matumizi aisee. Usikariri
Ni kweli, Kila mtu ana upekee wake katika hii dunia. Lolote linatokea kwa yoyote.Nimeshuhudia mara 2, ya kwanza ana miaka 40 kaolewa tena ndoa ya kanisani Kwa mara ya kwanza, Hana mtoto ata 1.
Mara ya 2 ndoa ni mwaka huu mwez wa 10, mwanamke ana miaka 33 Ila ana mtoto mmoja. Haya mambo hayatabiriki bhn lkn kutwa kukaa na kuwasema wanawake kuwa walipoteza bahati
Je wale ambao wanavumiliwa Toka hawana kitu, mpaka anakuja kuwa na kitu, alafu akishainuka anakuja kuolewa mtu mwengine, yule aliyevumilia tabu na shida anaonekana mchafu ananuka, Hana thamani tena. Lkn hili wanaume hawaliongelei kbs. Unamsubiri Mtu 5 to 6 yrs unavumilia shda zote lkn siku akipata mafanikio unastukia anaolewa mwenzio, tumeshuhudia sn tu izi mambo lkn si wanaume wote Wana hizi tabia.
Wanawake wengine mnawasingizia tu kuwa eti alikuacha kisa huna kitu, je? Hao wote mlikuwa na Nia ya kuwaoa jamani?, Sio mwsho wa siku umepata mafanikio unamuona hajui kutumia unamtft yule mtu ambaye hajui ata izo pesa umetumia nguvu gani kuzitafuta.
Na elewa kuwa usitake Kila mwanamke akakuelewa maana Kila mtu ana aina ya mtu anayemtaka, maana ata wanaume Wana watu wanaowataka, mala namtaka mwenye kiuno mbinuko, mala namtaka mwenye wowowo, mala namtaka mwembamba na apo Kuna wengine mnawachezea tu. Anafikisha mpk 28 yrs anakusubr ww but end of the day unamkacha unaenda oa mwengine.
Hao wengine mnaumia kwasbb mliwapenda, laiti ungekuwa humpendi bs ata usingekuwa na muda wa kumkumbuka usingekuwa nao. Ni kweli Kuna wadada Wana majibu machafu ambayo si vzr kumjibu mtu km humpendi na Kuna wengine huwa wanapoteza bahati wenyewe Kwa kuwakataa hao wanaume wenye malengo nao kiukweli. Uwe unacho, uwe huna km amekukataa bs jua hakupendi na hukupangwa kuwa nae usifosi, lakini km umempata wa kupendana nae Dunia hii ni jambo la kushukuru Mungu, dumisheni penzi lenu tu lkn mambo ya kuzogoana kuhusu umri si vyema. Kila mtu ana wkt wake wa kuanzisha familia yake.
AminaHongera Sana. Na Mungu aendelee kuwabariki
Miaka 40[emoji848]Nimeshuhudia mara 2, ya kwanza ana miaka 40 kaolewa tena ndoa ya kanisani Kwa mara ya kwanza, Hana mtoto ata 1.
Mara ya 2 ndoa ni mwaka huu mwez wa 10, mwanamke ana miaka 33 Ila ana mtoto mmoja. Haya mambo hayatabiriki bhn lkn kutwa kukaa na kuwasema wanawake kuwa walipoteza bahati
Je wale ambao wanavumiliwa Toka hawana kitu, mpaka anakuja kuwa na kitu, alafu akishainuka anakuja kuolewa mtu mwengine, yule aliyevumilia tabu na shida anaonekana mchafu ananuka, Hana thamani tena. Lkn hili wanaume hawaliongelei kbs. Unamsubiri Mtu 5 to 6 yrs unavumilia shda zote lkn siku akipata mafanikio unastukia anaolewa mwenzio, tumeshuhudia sn tu izi mambo lkn si wanaume wote Wana hizi tabia.
Wanawake wengine mnawasingizia tu kuwa eti alikuacha kisa huna kitu, je? Hao wote mlikuwa na Nia ya kuwaoa jamani?, Sio mwsho wa siku umepata mafanikio unamuona hajui kutumia unamtft yule mtu ambaye hajui ata izo pesa umetumia nguvu gani kuzitafuta.
Na elewa kuwa usitake Kila mwanamke akakuelewa maana Kila mtu ana aina ya mtu anayemtaka, maana ata wanaume Wana watu wanaowataka, mala namtaka mwenye kiuno mbinuko, mala namtaka mwenye wowowo, mala namtaka mwembamba na apo Kuna wengine mnawachezea tu. Anafikisha mpk 28 yrs anakusubr ww but end of the day unamkacha unaenda oa mwengine.
Hao wengine mnaumia kwasbb mliwapenda, laiti ungekuwa humpendi bs ata usingekuwa na muda wa kumkumbuka usingekuwa nao. Ni kweli Kuna wadada Wana majibu machafu ambayo si vzr kumjibu mtu km humpendi na Kuna wengine huwa wanapoteza bahati wenyewe Kwa kuwakataa hao wanaume wenye malengo nao kiukweli. Uwe unacho, uwe huna km amekukataa bs jua hakupendi na hukupangwa kuwa nae usifosi, lakini km umempata wa kupendana nae Dunia hii ni jambo la kushukuru Mungu, dumisheni penzi lenu tu lkn mambo ya kuzogoana kuhusu umri si vyema. Kila mtu ana wkt wake wa kuanzisha familia yake.