Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Af mbona wanaume nyie hamjisemi, kuna wengine wanakaribia umri wa kustaafu na wako single na pengine hata mtoto wa kusingiziwa hana ila kutwa kutunanga wanawake jamani sio fair mjue
Ha ha sasa unatafuta vita et umri wa kustaafu 😁😁
 
in average wasichana huwa wanaolewa wakiwa na miaka 19, na vijana huoa wakiwa na miaka 25, wangekuwa wanaoana age moja kusingekuwepo na uhitaji kwa wanawake kuolewa baada ya miaka 30,.

Nimeona pia 65% ya wasichana huwa wanakuwa wameolewa kabla ya kufikisha umri wa miaka 28, hii inamaanisha japokua 35% ni kubwa lakini hili swala mnalikuza sana,lol
Asante kwa taarifa nzuri...kumbe 35percent ni loose ball🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kipindi unamfukuzia alisumbua sana mpaka ukata taama kumuoa ikabidi uchukue mwengine. Muda wakati age ina bamba alikuwa anataka vigezo na masharti ni yupi mwanaume gani ampendaye.

Hivi vitu viwili ndivo baadae umri ukifika miaka 30 kwa wanawake wanatia huruma sana yani anaomba hata umzalishe au hawe nyumba ndogo maana hakuna wa kumsimamia kwenye maisha yake.

Ukienda makanisani wakisema watoke mbele wanaotaka maombi ya kuolewa yaani kundi litakalotoka hapo unaweza kusema msafara wa nyumbu na wote age zishakata.

Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele mbwembwe zinakuwa zimepoa sana zile za usumbufu sijui kila dakika kuomba pesa wanapompata mwanaume ili wasije kumkosa.

Umri kuanzia miaka 30 ukimwambie tuzae yani kama umefungulia mnara wa redio tanzania masafa yote ni wewe tu idadi utakayotaka ili mradi matunzo.

Umri kuanzia 30 kwenda mbele ukimtongoza cha kwanza kuna mawili kumuomba mungu sana utulie au kwenda kukupiga ban hata ya Jf ndogo ili usifurukute.

Yaani wale wote waliokukataa ukikutana nao wanitia huruma.
Miaka 30 mingi sana kwa mwanamke. Mwanamke akishafika miaka 27 tu amejichokea na mbaya zaidi ukute umri huo hajapata hata mwanaume aliyeonesha nia ya kumuoa ndo anapagwa zaidi.

Uanaume raha sana yaani age ya 30 hadi 45 huko bado unaonekana unalipa kabisa na unaweza kutafuna vibinti hata vya 18 years lakini ukaonekana ni size yako.
 
Wanawake wanaolewa mpaka 35. Mm nimeshuhudia. Wengine wanaachwa na watoto leo kesho posa mpya inapelekwa na ndoa mpya inafungwa. Maisha hayapo fixed, kila mwanamke ni unique kwa namna yake. Tusihitimishe, exceptional zipo tena za kutosha. Hao vilizi wa ndoa mnao kutana nao kila sehemu wanatakiwa kubadili fikra.

Binafsi nilikutana na mama watoto akiwa katika pilika za kukuza kipato na alikuwa mtu mzima tayari, above 30 na mm nikiwa na siasa zangu za maisha, leo tuna mitoto mikubwa na ndoa ipo imara hatuna tatizo.
 
Wanawake wanaolewa mpaka 35. Mm nimeshuhudia. Wengine wanaachwa na watoto leo kesho posa mpya inapelekwa na ndoa mpya inafungwa. Maisha hayapo fixed, kila mwanamke ni unique kwa namna yake. Tusihitimishe, exceptional zipo tena za kutosha.
Uyo mmoja ..kuna wale wengi wapo na miaka hiyo hawana mwelekeo hahaha
 
Wanawake wanaolewa mpaka 35. Mm nimeshuhudia. Wengine wanaachwa na watoto leo kesho posa mpya inapelekwa na ndoa mpya inafungwa. Maisha hayapo fixed, kila mwanamke ni unique kwa namna yake. Tusihitimishe, exceptional zipo tena za kutosha. Hao vilizi wa ndoa mnao kutana nao kila sehemu wanatakiwa kubadili fikra.

Binafsi nilikutana na mama watoto akiwa katika pilika za kukuza kipato na alikuwa mtu mzima tayari, above 30 na mm nikiwa na siasa zangu za maisha, leo tuna mitoto mikubwa na ndoa ipo imara hatuna tatizo.
Tatizo bupa zao zinakuwa zimepigika sana. Pige hesabu on average anagegedwa na dyu dyu 3 kwa mwaka forom age 22 mpa hiyo 35 sii kashaonja migegedo 39
 
Tatizo bula zao zinakuwa zimepigika sana. Pige hesabu on average anagegedwa na dyu dyu 3 kwa mwaka forom age 22 mpa hiyo 35 sii kashaonja migegedo 39
Sawa. Ila kwa upande wangu haikuwa hivi. Hata leo ukinipa binti wa miaka 20 hatonipa alichonipa mke wangu akiwa na miaka 35. Niliridhika na mwili wake, nikaridhika na IQ yake, nikaridhika na uwezo wake wa kuwa mama na mke. Sasa hivi tushakuwa watu wazima sana na sijuti kufanya yale maamuzi miaka ya nyuma. Nikirudi nyuma, nitamtongoza yeye kwa mara nyingine tuzae tena.
 
Ni kweli ndoa ni nzuri lakini ni muhimu uingie kwenye ndoa na mtu sahihi. Usioe kwasababu umri umekwenda is kwasababu uliyekutana nae ni mtu sahihi kwako.
Ila tukumbuke hakuna binadamu alie kamili. Hivyo tukiwa wakosoaji tu kwa kila mtu tunaekua nae tutashindwa kuoa na kuolewa. Kwa maana hakuna asie na mapungufu mengine kuvumiliana
 
Back
Top Bottom