Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Naendelea...

Sisi Wanaume wengi wetu tuna mahitaji madogo na machache yanayofanana linapokuja suala la Ndoa. Lakini sio kwa nyinyi wenzetu Wanawake kwakua mna mahitaji mengi tena makubwa na yanayokinzana na wengine hivyo kupeleka mchafuko na vurugu sana.

Mimi binafsi nina 36 now na sijaoa mpaka sasa. Ila ninayempenda na kutamani kumuoa na kuishi nae ana 42 na ameshaolewa na mtu mkubwa tu Serikalini kwasababu ya ushawishi wa Wazazi na Nguvu ya Fedha.

Ni miaka 14 sasa tupo kwenye Mahusiano ya Siri tena yenye Mapenzi Mazito na Makubwa Mno. Tulikutana mimi nikiwa University nna 22 na yeye akiwa na 27/28.

Tulipenda sana na hasa ukizingatia yeye alikua jamaa ya watu wa nje hawa Waarabu hawa lakini ni Full Wife Material kabisa yaani Msafi sana Aaf, yule ambaye anakua kama BiMkubwa wako full kukulea, shughuli zote za nyumbani anajituma sana alafu Mkimya sana yaani Dini kwa sana na anajua kujistiri mno na chumbani ni Motoo kama ana jini Mahaba.

Taikon nlikua sina maisha at that time... Chuo kigumu na ukizingatia home kwetu kawaida sana. Akanitangazia kuwa anatakiwa aolewe na kwao yeye ndiye 1st born kwahiyo hawezi kurukwa lazima aanze na Mzee wake keshapokea barua 3 za wenye Nia. Daah!! Ilikua habari mbaya lakini sikua na budi nikakubali tukakubaliana 'Mambo flani flani' hata uchaguzi wa nani kati ya hao wa3 nikamwambia yupi atatufaa katika misheni zetu.

Mungu Mkubwa Wajameni: 2cut the story short ni kwamba sasa hivi ana watoto 4, wawili wangu na wawili wa Jamaa na maisha na Mapenzi yanaendelea vizuri sana, kila siku ni bora kuliko jana.

Hatumuombei Jamaa mabaya ila akidanja mimi ndiyo ntachukua Mwali wangu mapema sana maana sasahivi niko Njema Alhamdulillah.

Kwenye haya Maisha kilamtu ana Kipaumbele Chake.

Tuheshimu vipaumbele vya wengine.


Nowadays she's looking like this. How would I resist the feeling of waiting.[emoji8][emoji3531][emoji257]View attachment 2204873
Mapenzi mapenzi mapenzi,,, 😂😂😂jamaa una ujasiri Sana,,

Ambacho naweza kuchangia ni kwamba kila mtu ako na taste yake katika mapenzi wengi wanaowananga above 30 humu nawaona Kama wavulana sababau hata hao 20's wanasogea kwenye 30's ingekuwa neno lao ni sheria hakika wanawake tungeteseka Sana, huku kitaa wanaume wanataka wanawake wakubwa/single mama ndo katrend kalikopo saiv,, na wanaolewa kwa Kasi kuliko mabinti wadogo,, mtu anaacha binti mbichi kwa utashi wake na kuoa mdada mwenye nzao 3-4

Ila wewe nguvu ya mapenzi yako sijawahi kukutana nayo,, mnapendana hadi mmezidi,, doh siwezi hata kutia neno japo mnamkosea mumewe
 
Maendeleo ya mtu yanakuwa defined na jamii husika

Mf.ukiwa kwenye jamii ya wamasai utajiri au mafanikio ni kuwa na ng’ombe wengi

So umasaini utajiona umetimiza life goals ukiwa umepata ng’ombe wengi

Ukiwa mjini mafanikio ni kuwa na nyumba,gari ,biashara kazi

Kwahyo ili uweze kuishi comfortable na kwa amani kwenye jamii fulani lazima uwe na mafanikio yanayoendana na jamii husika

Tunachokosea ni kutaka kuwa na maendeleo,mafanikio ambayo hayahusiani na jamii husika

Na kwa jamii ya kiafrika-Tanzania kuolewa au kuoa ni moja ya mafanikio muhimu kwahyo usipooa au kuuolewa licha ya kuwa na mali au vitu vingine bado jamii itakuona umepungukiwa kitu kikubwa

Kila mtu anataka kuheshimika na huwezi kuheshimiwa kama huna mafanikio kamq jamii inavyoona

Wanawake msitake kuishi kama mpo ulaya kwa kutojali jamii husika inahitaji nn

Kiafrika-Tanzania kuolewa ni moja ya mafanikio
Mafanikio ni dhana pana sana, inategemeana mtu ana-define vipi mafanikio yake.

Mtu mwingine mafanikio kwake ni kuwa na madaraka ya kuweza kuwaongoza wengine, kwahiyo mtu huyu hata angalikuwa na pesa kiasi gani bado ataona hajafanikiwa.

Mtu mwingine mafanikio yake ni kuwa maarufu Kama akina Diamond, Obama nk, hata angekuwa na vitu vingine vingi bila ya kuwa maarufu ataona hajafanikiwa.

Na mafanikio mazuri ni yale ambayo mtu alijiwekea malengo yeye mwenyewe, na sio kufuata mitazamo ya jamii au watu wengine, lazima uwe na kipaumbele chako au dira yako inayokuongoza kufikia mafanikio yako.

Mafanikio kwa mlengo wa kuridhisha jamii fulani yanaweza yasimpe mtu furaha ya kweli.
 
Mafanikio ni dhana pana sana, inategemeana mtu ana-define vipi mafanikio yake.

Mtu mwingine mafanikio kwake ni kuwa na madaraka ya kuweza kuwaongoza wengine, kwahiyo mtu huyu hata angalikuwa na pesa kiasi gani bado ataona hajafanikiwa.

Mtu mwingine mafanikio yake ni kuwa maarufu Kama akina Diamond, Obama nk, hata angekuwa na vitu vingine vingi bila ya kuwa maarufu ataona hajafanikiwa.

Na mafanikio mazuri ni yale ambayo mtu alijiwekea malengo yeye mwenyewe, na sio kufuata mitazamo ya jamii au watu wengine, lazima uwe na kipaumbele chako au dira yako inayokuongoza kufikia mafanikio yako.

Mafanikio kwa mlengo wa kuridhisha jamii fulani
Mafanikio ni dhana pana sana, inategemeana mtu ana-define vipi mafanikio yake.

Mtu mwingine mafanikio kwake ni kuwa na madaraka ya kuweza kuwaongoza wengine, kwahiyo mtu huyu hata angalikuwa na pesa kiasi gani bado ataona hajafanikiwa.

Mtu mwingine mafanikio yake ni kuwa maarufu Kama akina Diamond, Obama nk, hata angekuwa na vitu vingine vingi bila ya kuwa maarufu ataona hajafanikiwa.

Na mafanikio mazuri ni yale ambayo mtu alijiwekea malengo yeye mwenyewe, na sio kufuata mitazamo ya jamii au watu wengine, lazima uwe na kipaumbele chako au dira yako inayokuongoza kufikia mafanikio yako.

Mafanikio kwa mlengo wa kuridhisha jamii fulani yanaweza yasimpe mtu furaha ya kweli.
Mafanikio yanareference yake
Huwezi kutamani kuwa kama diamond kama jamii inayomzunguka diamond haikumpa heshima diamond
So mafanikio hayawezi kuwa self defined purely yanainfluence ya jamii
Huwezi ukaishi kwa amani kama jamii inayokuzunguka haikupi heshima
Labda uamue kukengeuka na kutojali either kwa kushindwa kukipata kile ambacho jamii yako inaona inafaa uwe nacho au kufata kile unachokipenda
lakn ita affect sehemu kubwa ya uhuru na amani yako
 
Nyie kweli bitterness inamuumiza zaidi aliyeibeba kuliko aliyebebewa. Imagine mtu uliachwa huko zamani, umeendelea na maisha yako, Mungu kakujaalia umepata mke; hadi unaanza kufuatilia yanayoendelea kwenye maisha ya ex: upo fulfilled/contented na maisha yako kweli? Mbona ni kama pamoja na vyote ulivyonayo bado huna furaha/ kuna kitu kinamiss na ndiyo huyo ex unayekaa kumfikiria badala ya kuwafikiria watoto wako na wanao?

Ok ex alikukimbia, sasa hivi amezalishwa na hajaolewa; kwako wewe binafsi inakuongezea nini? Kwamba it makes you a better person than her? Angekuwa ameolewa, usingekuwa a better person?
Seriously mume wa mtu unasikia ex wako kazalishwa eti unatafuta kumtega ili tu akionesha kukutamania upate furaha, ujione wewe ndiyo umeyapatia maisha.... Kweli uchungu unapunguza hata uwezo wa kufikiri.

Kuzalishwa ni mwisho wa maisha au ni ulemavu useme kwamba eeh sasa kapatikana?. Mbona mtoto ni baraka kubwa mnooo; married couples kibao wanahangaika kutafuta watoto. Nikute mume wangu anafanya huo utopolo, mbona ntamrudisha kwao akapumzike kwanza apate na akili[emoji16][emoji16][emoji16]

Tujifunze kusamehe, tusonge mbele kwa amani na maisha yetu. Otherwise tutabarikiwa wee ila hatuto-appreciate baraka zetu maana tupo busy kusubiri mabaya yawapate wale waliotuacha. Sad.
Sema dada sema. Ujue hii inaonyesha jinsi watu tuna darkness ilokithiri katika mioyo yetu. Tunafurahia kuanguka kwa mtu like seriously. Ok sawa alikudharau na shit happened lakini embu mtu ajichunguze...penye dharau ndo penye mafanikio makubwa na kupiga hatua.

Lakini we are busy searching our past enemies bila kujua they were our stepping stones. Sio poa kuchekelea mabaya ya any body...haitakusaidia rather itazidi kukufanya mbovu na mindset ya kishubwada.

Hata siku moja siwezi furahia ex wangu yeyote apatwe na mabaya....because fate haikutaka tuwe pamoja basi fresh. Kutana naye awe njema awe mbaya salimia..ongea nae..kama atahitaji msaada out of humanity fanya afu pita ivi usiendekeze communication.

Mambo kama haya they will make us better human beings and roho zetu zitapanda viwango kichizi.

Mi ata ex aniletee kadi sijui mchango, mwaliko kiroho safi naruka tyuuu. Kwani shingapi...
Life is soo simple..tupa hatred move on ukichukia dunia hutamaliza msee...
 
Baba unaangalia sura tena😂😂 si mlisema kigezo ni tabia njema?
Na sura muhimu pia na yaliyomo yamo..? Msambwanda kiasi mixer no kitambi afu usiwe mfupi saana na uwe na hekima pia usiwe mnywa pombe wala muumini wa viwanja vya starehe. Pia usiwe chibonge uwe na mwili wa size ya kati sio bonge sio mwembamba
 
Na sura muhimu pia na yaliyomo yamo..? Msambwanda kiasi mixer no kitambi afu usiwe mfupi saana na uwe na hekima pia usiwe mnywa pombe wala muumini wa viwanja vya starehe. Pia usiwe chibonge uwe na mwili wa size ya kati sio bonge sio mwembamba
Vigezo vyote hivyo mkuu, huyu ni malaika kabisa siyo binadamu 😂😂
 
Huu ni ukweli mtupu. Japo ni mchungu kwao. Kuna pisi kale niliifukuzia sana pindi tunasoma chuo ikanikatalia kabisa. Nilitumia njia zote za ushawishi ikagonga mwamba. Nikaachana naye nikaendlea na mambo mengine. Na hata tulipomaliza chuo bado aligoma kipindi hicho Sina kazi.

Mungu si athuman nikapata kazi kwenye kampuni ya kichina baada ya mwaka mmoja wa kuhitimu. Mambo yakawa sawa. Akaja akapata taarifa baada ya miaka 4 alirud kwa speed 4G. Nikawamwambia nitakukula ila sitakuoa. Akakubali. Nikagundua huyu sio wife material. Na kipnd hicho Mungu akanisaidia nikapata wife material. Leo anaelekea 35 Hana kazi na bado hajaolewa.

Kila sku ananisumbua nizae nae hata mtoto mmoja tu. Nami naruka aisee. Make nikimzalisha na Hana kazi itakula kwangu. Kila siku anabaki kunilaumu tu.

Ushauri. Mnapokua mko umri wa Sokon tumie mda huo kupata wanaumme. Mnaweka vigezo ambavyo hata kwenu havipo. Unataka mwanaume mwenye gari ili hali babako Hana hata baiskel
Kuna mmoja alinitema wakati tuko kidato cha 4. Sasa katika mishe zangu nikakutana nae mwaka jana nikamla kimasihara. Nikampa ukweli mie nimeoa Ila naona bado tu amekomaa na mimi.
 
Back
Top Bottom