Wanawake waliotuzunguka ni puto na sindano kwenye mafanikio ya vijana wengi wa kiume

Wanawake waliotuzunguka ni puto na sindano kwenye mafanikio ya vijana wengi wa kiume

FORTUNE JR

Member
Joined
Mar 20, 2021
Posts
83
Reaction score
512
80% ya wanawake waliotuzunguka Ni puto na Sindano kwenye mafanikio ya vijana wengi wa kiume. Imenichukua mda mrefu kuiva katika hili ila ndani ya mda mfupi ntakupa nondo zililivotukuka zitakazokujenga na kubadili maisha yako sana Let's Go....

Ilikuwa ni Asubuhi moja Murua, Nikiwa katika Maandalizi ya kwenda katika chumba cha mtihani wangu wa mwisho kabisa wa kukamilisha safari ya miaka 3 ya masomo yangu ya Chuo, ili nipate kutunukiwa rasmi Degree yangu Ya Accounting and Finance katika moja ya chuo kikubwa tu hapa nchini kwetu.

Nilijiandaa vyema huku nikimuomba Mungu sana ilihali nipate kumaliza vizuri lile nililokuwa nimelianza. Niliingia kwenye Ukumbi wa mtihani tayari kwa kusubiri mtihani ambao ungeanza punde, Mara alikuja Mrembo mmoja akiomba nimpishe nilipokaa, nikae kwa pembeni yake kidogo, nilielewa sababu ya yeye kunitoa pale, ilikuwa ni nyuma na ukutani hivyo palisapoti kucheza faulu, so nilimwacha akae then mimi nikasogea pembeni kidogo.

Baada yakunishukuru akaniuliza kijana una kifua? Nilidhani nimeelewa swali kumbe sikuelewa vizuri, hivyo nikaishia kujibu kifua kipo mama we Fanya yako(be free) nilijua tu kuna faulu anataka acheze.

Punde Mtihani ulianza, Yule Mrembo alivuta sketi yake hadi usawa wa kiuno yaani paja lote nje hadi chupi yake white naiona, Bi dada kajiandika paja zima, swala sio bidada kujiandika ila ni jinsi paja la yule mrembo lilivyo na mvuto, jeupee lina mnofu haswaa hakika kwa kijana yoyote lijali aliyekamilika lazima atetereke, nashidwa kukupa picha kamili ya hiki nachokwambia ila at least elewa ni paja hasa paja hasa ukizingatia liko njee lote hadi mitaa ya kiunoni.

Kufikia hapo nikawa nimeelewa vyema swali la awali la yule dada unakifua??. Kila nikijalibu ku concentrate kwenye mtihani lile paja linanijia kwenye fikra zangu halafu likisindikizwa na sauti "kula chuma iko😁" so naacha kufanya mtihani naendelea ku zoom uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

Bidada ananiona navomkodolea macho ila yuko busy na yake huenda alijua na mimi mtihani umenipiga so na uhitaji na nondo zake kwaio anazidi kuvuta tu gauni juu zaidi asijue ananiharibia maisha mtoto wa mwanamke mwenzie.

Nime zoom lile paja adi nasikia sauti ya Msimamizi "Pens down, time is over" looh nakuja kushtuka nime attempt swali moja tu nalo kidogo tu. Wakuu ni hivi nili supp na sikuweza ku Graduate.

Kijana yoyote mwenye kiu ya mafanikio ya kufika mbali usiendekeza Wanawake hutoboi . Uzi tayari!!!!.
 
80% ya wanawake waliotuzunguka Ni puto na Sindano kwenye mafanikio ya vijana wengi wa kiume. Imenichukua mda mrefu kuiva katika hili ila ndani ya mda mfupi ntakupa nondo zililivotukuka zitakazokujenga na kubadili maisha yako sana Let's Go....

Ilikua ni Asubuhi moja Murua, Ni kiwa katika Maandalizi ya kwenda katika chumba cha mtihani wang wa mwisho kabisa wa kukamilisha safari ya miaka 3 ya masomo yangu ya Chuo, ili nipate kutunukiwa rasmi Degree yang Ya Account and Finance katika moja ya chuo kikubwa tu apa nchini kwetu. Nilijiandaa vyema huku nikimuomba Mungu sana ilihali nipate kumaliza vizuri lile nililokua nimelianza. Niliingia kwenye Ukumbi wa mtihani tayari kwa kusubiri mtihani ambao ungeanza punde, Mara alikuja Mrembo mmoja akiomba nimpishe nilipokaa, nikae kwa pembeni yake kidogo, nilielewa sababu ya yeye kunitoa pale, ilikua ni nyuma na ukutani hivyo palisapoti kucheza faulu, so nilimwacha akae then mm nkasogea pembeni kidogo, baada yakunishukuru akaniuliza kijana unakifua? Nilidhani nimeelewa swali kumbe sikuelewa vizuri, hivyo nikaishia kujibu kifua kipo mama we Fanya yako(be free) nilijua tu kuna faulu anataka acheze.
Punde Mtihani ulianza, Yule Mrembo alivuta sketi yake hadi usawa wa kiuno yani paja lote nje hadi chupi yake white naiona, Bi dada kajiandika paja zima , swala sio bidada kujiandika ila ni jinsi paja la yule mrembo lilivyo na mvuto, jeupee lina mnofu haswaa hakika kwa kijana yoyote lijali aliyekamilika lazima atetereke, nashidwa kukupa picha kamili ya hiki nachokwambia ila at least elewa ni paja hasa paja hasa ukizingatia liko njee lote hadi mitaa ya kiunoni. Kufikia hapo nikawa nimeelewa vyema swali la awali la yule dada unakifua ??. kila nikijalibu ku concentrate kwenye mtihani lile paja linanijia kwenye fikra zangu alafu likisindikizwa na sauti "kula chuma iko😁" so naacha kufanya mtihani naendelea ku zoom uumbaji wa Mwenyezi Mungu, Bidada ananiona navomkodolea macho ila yuko busy na yake huenda alijua na mm mtihani umenipiga so na uhitaji na nondo zake kwaio anazidi kuvuta tu gauni juu zaidi asijue ananiharibia maisha mtoto wa mwanamke mwenzie.
Nime zoom lile paja adi nasikia sauti ya Msimamizi "Pens down, time is over" looh nakuja kushtuka nime attempt swali moja tu nalo kidogo tu. Wakuu ni ivi nili supp nasikuweza ku Graduate.
Kijana yoyote mwenye kiu ya mafanikio ya kufika mbali usiendekeza Wanawake hutoboi . Uzi tayari!!!!.
aisee
picha please
 
Unasema utanielewesha kwa dk 5 ila nikiangalia hilo gazeti linahitaji zaidi ya dk 5 kulisoma na kulielewa so sijalisoma
 
umeiwasilisha mada yako Kwa Akili kubwa sana ..Fasihi malidhawa !..tunaita mtindo'

kiini Cha mada n kwamba Vijana kaeni mbali (msiendekeze) wanawake Kwan wataharibu future zenu...Wanawake tokea Karne hio n gharama sna ..hasa kama kipato Cha kuunga unga...Mavijana kila kitu Kwa kiasi

Umasikini sio Mzur usiendekeze Wanawake..n kanuni hai sana..Kwa watu makini walofanikiwa kuwa 'matycon' katka nyanja mbalimbali..
 
Back
Top Bottom