Wanawake wana visirani sana ila huyu wa leo kazidi

Itakua na wewe una tatizo la afya ya akili,
Aliyekwambia mtoa mada ana kosa nani?
Au wameeleweshwa waliomzonga huyo Mama kua pengine huyo Mama hakua sawa kiakili
🤣🤣🤣 Dr. Kacharukwaa..
Relaaaax, wewe twende vzr sasa, tena naanzia kwenye hii comment yako...

"NDIO" Nina tatizo la akili na umeligundua, vizuri,
Sasa ngoja niamini wewe ni dr. Kweli, Mimi ni mgonjwa wa akili na umegundua,
Nipe uhalali wako wa kunitangazia hapa..?
 
Dr. Swali linajibiwa kwa swali kweliii?
Nijibu basi swali langu kwanzaa...

Halafu baadae nikuulize umesoma uzi vizuri...?
Eeh Mwanafalsafa mmoja anasema swali kwa swali hupatikana jibu,
Umehoji kua alipona baada ya kupata pesa! na wewe ukaulizwa ulijuaje kama alipona sababu hamkua safari moja?

Kama wewe una tatizo la Afya ya Akili na ukanitukana nikikurudishia mimi nitaonekana ni kichaa kabisa niliyokosa maana,

Uzi nimeusoma na kuuelewa vema na ndio maana nikahitimisha kua huyo Mama ana tatizo la Afya ya Akili hakuna timamu angeweza kufanya hayo aliyoyafanya na nikaongezea tena kua huna uelewa wa Afya ya Akili ndio maana umechukulia kiuwepesi,

Wengi wenu mnadhani mtu mwenye tatizo la afya ya akili basi hua kichaa anayevua nguo, lakini nikwambie haipo hivyo.
 
Dr. Swali linajibiwa kwa swali kweliii?
Nijibu basi swali langu kwanzaa...

Halafu baadae nikuulize umesoma uzi vizuri...?
Niachie huyu nitembee naye, napendaga watu wana attack sana watu badala ya hoja, bahati nzuri sinaga hasira na lugha chafu,

Haya Dr. Mariposa Twende pamoja just relax ni hoja ukiwa na fact naitika.
 
Akanigeukia, "wewe ndio una akili akilituu sijui ulikua wapi wengine maboksi"

Daa nilichoka, dereva akafunga blek akaamka aje kumzibua, watu wakamzuia, tusije pata mikosi.
Alitaka uwe mshirika wa kurusha makombora Ukraine
 

Kwa kukujibu ni kua sijagundua kama una tatizo la afya ya akili sababu sijaingia kwenye session na wewe ila nimepatwa na mashaka/wasiwasi kua "itakua una tatizo la Afya ya Akili" kulingana na ulichojibu ndio mashaka hayo yalipojitokeza,

Kitendo cha kujibu "NDIO nina tatizo la akili" ni wewe ndie umejitangaza na sio mimi.
 
Oky, wewe umejuaje ya kua ana tatizo la kiafya...
NB : jibu la hili swali ni muhimu sanaa.
 
Ni Kanda maalumu au North
 
Tumefika mzee alitoa bunda akamuuliza unashuka hushuki, akasema sishukiii, Kugeuka nyuma kuona bunda iliyoshikwa, akageuka akawambia "wanangu amkeni nimechoka hizi kelele"[emoji23]
Fanya mchezo nini na bunda siyo poa kwamba nimechoka kelele. [emoji23][emoji23]
 
Niachie huyu nitembee naye, napendaga watu wana attack sana watu badala ya hoja, bahati nzuri sinaga hasira na lugha chafu,

Haya Dr. Mariposa Twende pamoja just relax ni hoja ukiwa na fact naitika.
Hahahahahaha sasa nani ameku attack? Kujibiwa hoja yako imekua nongwa!?
Basi nisamehe mimi huyo Mama hana tatizo la Akili ni jeuri, kiburi, mwenye dharau iliyopitiliza na angekutana na wewe ungemkomesha ipasavyo,

Happy??
 
Tumefika mzee alitoa bunda akamuuliza unashuka hushuki, akasema sishukiii, Kugeuka nyuma kuona bunda iliyoshikwa, akageuka akawambia "wanangu amkeni nimechoka hizi kelele"[emoji23]
🤣 hakuna mkate mgumu mbele ya chai
 
Oky, wewe umejuaje ya kua ana tatizo la kiafya...
NB : jibu la hili swali ni muhimu sanaa.
"Uzi nimeusoma na kuuelewa vema na ndio maana nikahitimisha kua huyo Mama ana tatizo la Afya ya Akili hakuna timamu angeweza kufanya hayo aliyoyafanya na nikaongezea tena kua huna uelewa wa Afya ya Akili ndio maana umechukulia kiuwepesi,"

Swali lako lilijibiwa hapo
 
Sawa Dr.
Mgonjwa kaja kwako ana dalili UNAZOAMINI ni mgonjwa wa HIV, bila vipimo
Professional yako inakuruhusu kwa mashaka yako kumtangazia ya kua ana HIV?
 
😯😯😯 yaani comment hio hio unayojibu unauliza swali liko wapi tena dr wetuu??

Anyway ngoja basi nikuwekee ???
Wewe umajuaje ya kua ana tatizo la kiafya..?
 
Watasingiziwa

 
Sawa Dr.
Mgonjwa kaja kwako ana dalili UNAZOAMINI ni mgonjwa wa HIV, bila vipimo
Professional yako inakuruhusu kwa mashaka yako kumtangazia ya kua ana HIV?
Afya ya Akili ni tofauti na Afya ya Mwili,
Afya ya Mwili ni lazima vipimo vya maabara vihusike na Afya ya Akili ina sessions zake japo kuna indicators zinaweza kutokea na ukahisi huyu ana tatizo la afya ya akili utaingia nae kwenye therapy ili kujipa uhakika.
 
Hahahahahaha sasa nani ameku attack? Kujibiwa hoja yako imekua nongwa!?
Basi nisamehe mimi huyo Mama hana tatizo la Akili ni jeuri, kiburi, mwenye dharau iliyopitiliza na angekutana na wewe ungemkomesha ipasavyo,

Happy??
Ahaaa, twende vzr, nakunukuu mwenyeweee

"wewe una tatizo la afya ya akili"

"Kwa kukujibu ni kua sijagundua kama una tatizo la afya ya akili sababu sijaingia kwenye session na wewe"

Haya tumeweka kumbukumbu vizuri, Rudia kama huja ni attack....
 
Unaweza kuta ni aina mpya ya utapeli mjini. Analeta ubishi wee akifahamu kuna abiria watakereka na kumrudishia nauli yake na posho juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…