Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Ina maana umeona hilo tu na ukaona mtu amesomea ujinga?..Jitathmini nduguyou will found????
Hizi shule mlienda kusomea ujinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana umeona hilo tu na ukaona mtu amesomea ujinga?..Jitathmini nduguyou will found????
Hizi shule mlienda kusomea ujinga?
Daah pole sana ko opereshen ilihusika??Apendix.thanks babe
Kuna hoja hapaHakuna mwanaume anayeweza kumuacha mwanamke ambae amemvumilia na kumshika mkono ktk magumu.
Unakuta mwanaume hujajipata ila una mwanamke ambae anakuwa jeuri, mdangaji, n.k kisha ukijipata ndo anaanza kuwa humble kwako, hii haikubaliki.
We jamaa bwana 😂😂Sawa mke wangu, lakini sipendi hizo emoji za paka 😸😹 makopa yananitosha 💕
😂 Nongwa ndio nini ?Au sio mzee wa nongwa
Mke wako yuko wapi ?We jamaa bwana 😂😂
Ni kama kutotulia 😂😂😂😂 Nongwa ndio nini ?
Mke wako yuko wapi ?
Mbona mim nimetulia na mke wangu, unataka kuharibu familia yangu?Ni kama kutotulia 😂😂😂
kwanza pole, inakuwaje mpaka analazwa wewe hujui?Alikuja jana kaniambia
alilazwa hsp
Au nongwa ni kama mtu mwenye kiranga flani ivi cha moyoniMbona mim nimetulia na mke wangu, unataka kuharibu familia yangu?
Alikuwa hapatikan wiki nzima ko sikujuakwanza pole, inakuwaje mpaka analazwa wewe hujui?
Pole sana shemeji yangu, mbona hana mtu mwingine anakupenda pekee yako ✔Anasema anampenda nan tena mbona ataniua na nimetoka kulazwa wiki nzima jamani
Ulitaka unichomeshe jana 😂😂😂Pole sana shemeji yangu, mbona hana mtu mwingine anakupenda pekee yako ✔
Kua makini, Tuma hela sasa hivi😊Alikuwa hapatikan wiki nzima ko sikujua
Amna, afu naona kama yuko online hapo juu anagawa like😂Ulitaka unichomeshe jana 😂😂😂
Ngoja nimuagizie matunda matundaKua makini, Tuma hela sasa hivi😊
Fanya hivo, jioni tutaenda kumuona au?Ngoja nimuagizie matunda matunda
Sidhani mkuu, maana nahisi atakuwa hajisikii vizuriAmna, afu naona kama yuko online hapo juu anagawa like😂
Pole yangu imfikie popote alipoSidhani mkuu, maana nahisi atakuwa hajisikii vizuri