Wanawake wanakusubiri kwenye finish line

Wanawake wanakusubiri kwenye finish line

Ila pia ukifikanikiwa kumpata aliye tayari kuwa na wewe kuanzia kwenye mwanzo wa marathon yako, mheshimu sana. Kwa sababu ya ugumu mkubwa ulioko kati ya starting line na finishing line mara nyingi mwanamke akiambatana na wewe kwenye safari hii lazima afike kwenye finishing line akiwa kachoka, kasahau fashions n.k. Tukumbuke tulipotoka, tuwapende na kuwaheshimu sana wanawake wema waliosimama nasi tulipokuwa hatuna kitu.
Pamoja na kwamba mwanamke alikua na wewe kuanzia ukiwa starting line je alikua na mchango gano katika iyo safari? Hoja yako umeiweka katika namna ya kuonyesha kwamba katika mahusiano mwanamke anafanya favor kuwa na mwanaume.

Umasikini wa mwanamke sio tatizo la mwanaume, mahusiano ya kimapenzi sio favor ambayo mwanamke anamfanyia mwanaume isipokua ni hitaji la wote.

Watu wengi mwanamke akiwa masikini hamuoni kama umasikini wake ni tatizo isipokua mnafikiri tatizo ni yupo kwenye mahusiano na mwanaume asiekua na hela.

Mwanaume masikini, mwanamke masikini lakini watu wanafikiri kwamba mwanamke anamfanya favor kuwa na uyo mwanaume.

Ndio maana uko juu nikasema, sawa alikua nawe kuanzia starting line mpaka finish line lakini je alikua na output ipi katika iyo safari. Alikua na mchango wa kifedha, ushauri, network, connection, faraja n.k?
 
mkuu ni miezi karibu mitatu tuu tangu nipige chini ile serious. aliporeje kwao nilifurahi sana moyoni. nilijiona ni kama nimetua mzigo vile. hivyo sijawahi kabisa kuwa na hamu nae hata ya kumfuatilia..

hakuwa na kazi yeyote, kusema ajira labda inamuweka busy au uchovu kuchoka hamna. ila hiyo kutokuwa na kazi kwangu haikuwa tatizo kabisa coz naamini majukumu rasmi ya mwanamke ni kuzaa kulea na kutunza familia sio kutafuta hela au kulisha familia. na wale wanawake mama wa nyumbani mimi ndio choice zangu izo.

wengi wa wanawake wanahesabu kali sana wanapoamua kuolewa.
wengi wa wanawake wanahesabu kali sana wanapoamua kuolewa.
 
Single mother Kuna umri ukifika ni muhimu kuwa naye , Mimi nina single mother yupo smart sana kichwani linapokuja suala pesa,nimemwacha hapo dukani anapambana nijikisikia upwiru nakula na kanipa mtoto , wife akizingua nakimbia tu huko nanyosha goti kwa amani
 
Pamoja na kwamba mwanamke alikua na wewe kuanzia ukiwa starting line je alikua na mchango gano katika iyo safari? Hoja yako umeiweka katika namna ya kuonyesha kwamba katika mahusiano mwanamke anafanya favor kuwa na mwanaume.

Umasikini wa mwanamke sio tatizo la mwanaume, mahusiano ya kimapenzi sio favor ambayo mwanamke anamfanyia mwanaume isipokua ni hitaji la wote.

Watu wengi mwanamke akiwa masikini hamuoni kama umasikini wake ni tatizo isipokua mnafikiri tatizo ni yupo kwenye mahusiano na mwanaume asiekua na hela.

Mwanaume masikini, mwanamke masikini lakini watu wanafikiri kwamba mwanamke anamfanya favor kuwa na uyo mwanaume.

Ndio maana uko juu nikasema, sawa alikua nawe kuanzia starting line mpaka finish line lakini je alikua na output ipi katika iyo safari. Alikua na mchango wa kifedha, ushauri, network, connection, faraja n.k?
You are too judgemental, labda una mapito magumu au umekuwa na mapito magumu.
 
yeah ni kweli kabisa wapo wanaoanza starting line chini kabisa unakuwa nae. point sio eti yupo nawewe ukiwa unajitafuta cha msingi sana angalia matendo yake akati upo chini anabehave vipi, kwa matendo gani kwako. bado ninajitafuta nilikuwa na binti ninampenda sana, yaani nikajiapia huyu ndio wa maisha, nitengeneze nae maisha huwa nina commitment kwa demu mmoja tu. akija geto tuishi wote ninapamba kukidhi mahitaji yake, care, kumjali kadiri niwezavyo kwa pesa iliopo. ajabu matendo yake sasa, eti anataka majukumu ya ndani tuwe tunafanya wote, eti tuishi kwa partnrship kwa kazi zake za ndani😁, kufanya majukumu yake ya ndani kama mwanamke ni mpaka ugomviugomvi tu. kukupatia chini ni mpaka umuabu, yaani kutoa K iligeuka ni kama nafanya ibada kwake.hajali hisia zako kabisa, hajitoi, ubinafsi wa hali ya juu. rekebisha kwa kila namna harekebishiki,

badae ndio nikagundua huyu yupo ivi na anatanya haya kwangu ni kwasababu sina maisha bado. hivyo anaona akijitoa kwangu na kuplay part yake kikamilifu anaona ni kama sistahili vile au anapoteza, ni ubinafsi wa hali ya juu sana. binti kama huyo unategemea life likitiki nitabaki nae. aliporejea kwao na kujaribu kuongea nae kuhusu izo mambo nikajibiwa hayo ndio maisha nataka nishi na mwanaume wangu. nilipiga chini mara moja.

since then nikikutana na dume limemuacha mpenzi wake walieanza nae chini simshangai kabisa. au nikikuta mwanamke analialia kuachwa na mwanaume aliyeanza nae chini sishangai.

pia sikatai wapo wanaume wanaowaacha bila hatia wanawake walioanza nao tangu chini.
This is maturity mindset
 
Maisha ya mwanaume ni mbio za marathoni, ukiwa unaanza kwenye starting line, wanawake hatawakuona watakaa mbali na wewe, mpaka utashangaa hivi wengine wanapata wapi mademu au wake wa kuoa.

Usivunjike moyo, focus yako iwe katika mbio za marathon, wanawake wapo kule kwenye finish line wamejipanga wanasubiri kuona nani ataibuka mshindi waanze kumgombania.

Utakapofanikiwa kukata utepe wa finish line itakua ni ngumu kwako kuwa commited kwa mwanamke mmoja, kama wewe ni dungadunga hawa wanawake waliokuumiza kichwa ukiwa kwenye start line, utawagonga mpaka utawaona kero.

Pia soma: Hivi haya yanayofanyika siku hizi ni mapenzi kweli au biashara ya mapenzi?

This is because you will find out women are cheap, are everywhere and almost all of them have just one same thing to offer(pussy).

Sasa ukifika hapo kwenye finish line usijisumbue kutafuta mapenzi ya kweli, tafuta mwanamke mwenye quality unazozitaka na akili ya kuongeza output kwenye lengo la maisha yako.

Dhumuni la kupambania mafanikio ni kuwa na uhuru wa kuchagua kilicho bora amongst the rest.

Na hapa usiwe na huruma kabisa, kwa faida ya future yako unatakiwa kuwa mbaguzi wa kiwango cha juu kabisa, no room for single mothers, retired hoes or undercover prostitutes, unless if you want to hit and run. Judge a woman harshly according to her quality, status and past.
Jamaa yangu Andika kitabu kuwasanua Wanaume tutakuunga Mkono tena kuwe na mfumo wa series kabisa season 1 kuendelea
 
Dada wa watu anaweza anza na wewe kwenye start line, ukifika kwenye finish line unaenda chagua mwenye tako,

Ukitaka kutongoza jiulize, huyu dada km ningekua kwenye finish line, ningemchukua?

Just be fair.
Umemaliza kila kitu.
 
Back
Top Bottom