Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.

Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.

Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.

Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.

Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.

Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.

Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.

Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.

MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
My dear kama ulikutana na gumegume basi pole sana.
Wanawake pekee ambao hawana malezi ndio wanaweza kufanya mambo kama hayo.
 
We jamaa umung'ang'ania kutaja "mama, mama,..."
Kwani unadhani kwa sababu ni mama zetu Basi inaondoa ukweli ulioletwa na mtoa mada?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa haiondoi na ndio uhalisia wa mama yako..... Tatizo mmesahau jf sio lazima ukubaliane na kilichoandikwa kwangu mimi nina mtazamo tofauti kulingana na niliyoyaona sasa ukitaka nikubaliane na ww ni kutokana na uliyo yaona kwa mama yako kwamba anamnyenyekea baba yako kwakua hana pesa na kafuata chakula....
 
Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.

Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.

Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.

Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.

Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.

Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.

Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.

Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.

MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
Yani umepita mulemule
Ndugu yangu anawiki kafukuzwa na mke kaambiwa hana maana
Kucheki nikwa mke anakipato kikubwa sana kuliko mume yani hata kodi ya anaijua mwanamke balaa
 
Bas sawa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa ukandah huo hiyo ndo kazi yao,kushinda wakipaka hina vibarazan,kujifukiza udii wakisubiria bwana aje aigeuze atakavyo,hadi kwa mpalangehh🤣ndomana shulee kwao sio muhimu
 
Back
Top Bottom