Wanawake wanaofika miaka 30 na hawajaolewa wanajishusha sana kiasi cha kushangaza, zile nyodo na kujiona matawi zinayeyuka

Wanawake wanaofika miaka 30 na hawajaolewa wanajishusha sana kiasi cha kushangaza, zile nyodo na kujiona matawi zinayeyuka

Miss Aaliyyah . Soma huu Ujumbe hata kama utafikisha Miaka 40.... 😃😃😃

There is no reason you should feel like this
I know that I am the only one to blame
I feel your agony, it's hidden in your kiss
Ooh
I don't believe that things are said and done
I only hope there's still time to be the one
We could work it out if only you let me
Ooh
Whatever you say, whatever you do
There will be good times waiting for you
Whatever you hear, I won't disappear
I promise you that
I promise you that
I never said that I could change the world
But if you gave me the chance that I deserve
I know that in your heart
You can forgive me
Ooh
Whatever you say, whatever you do
There will be good times waiting for you
Whatever you hear, I won't disappear
I promise you that
I promise you that
We had times only a fool could miss
Still there is time to turn it around
I'm not saying it's an easy thing
Let me show you
I promise you that
Ooh, yeah
Whatever, whenever
There will be good times waiting
(There will be good times)
Whatever you hear (Whatever you hear)
I won't disappear
Whatever you say, whatever you do
There will be good times waiting for you
(There will be good times)
Whatever you hear, I won't disappear (Ooh)
Whatever you say (Whatever)
Whatever you do (Whenever)
There will be good times
(There will be good times waiting for you)
There will be good times (Whatever you hear)
I won't disappear
I promise you that
I promise you that
Whatever you hear, I won't disappear
I promise you that
I promise you that
umeamua kuwa burna boy kabisa 😂 kweli mbombo ngafu
 
Mada za kitoto tu.

Wanawake nao ni binadamu na wana uhuru kamili juu ya maisha yao. Mwanamke anayejitambua hatakubali kila mwanaume hata akivuka 30s. Tuwaache waishi maisha yao!
mwanamke ili akamilike lazma awe na kidume cha kumuongoza maishani😂 na kumpa faraja na mbegu nzuri za watoto.
 
Ndio maana mie napenda wazee wenzangu, mambo yanakuwa sio mengi.
Hivi vibinti mshakubariana muonane saa 2 usiku, utasikia oohh, baba kaja,sasakwani mie namkaza baba yako, nakutakq wewe shubamiti mie ya baba yako hayanihusu, mbona nikikuletea abaya huniambii baba yupo.😂🤣
😂😂😂😂😂😂 vipengele vingii
 
Jomba ukikataliwa na demu usikasirike. Ni wajibu wake kukataa hadi ndoa. Akisema akubali kila mtu si ndo tutamwita malaya? Halafu unawezaje kuwa na kisasi kwa miaka mingi kisa papuchi? Wewe utakuwa maskini kifikra hadi mali.

Wanawake na nyie ukimpata mtu mnapendana usimwache aende kizembe. Utakuta kujuta baadae. Hakuna ligi ya mwanamke na mwanaume halafu mshindi akawa mwanamke. Sisi hatuzeeki. Hata tukiwa na 47years bado ni vijana. Kwa mfano mimi ni kijana mdogo wa miaka 37 na mwanachama wa CCM. Ndo ninatarajia kuoa binti wa miaka 25 yaani kitu laini.
He he heeee!!! Mkuu karibu kwenye harusi yangu
Na mimi nna 37yrs naoa kabinti ka 24yrs
 
Mwanaume.........? Value ya wanaume haijawahi shuka na kama akiwa mchakalikaji ndio kabisa,mimi kuna wazee na wajua 60+ still wanagonga ngozi laini na mbichi.

Mdaa huu kama upo karibu ya TV kuna kipindi Nat - Geo,mabibi 50+ wenye hela zao jinsi wanavyopigwa na kudanganywa kupitia hizi dating applications ,wote wanalalamika upweke.
Kama unawajua wataje
 
Jomba ukikataliwa na demu usikasirike. Ni wajibu wake kukataa hadi ndoa. Akisema akubali kila mtu si ndo tutamwita malaya? Halafu unawezaje kuwa na kisasi kwa miaka mingi kisa papuchi? Wewe utakuwa maskini kifikra hadi mali.

Wanawake na nyie ukimpata mtu mnapendana usimwache aende kizembe. Utakuta kujuta baadae. Hakuna ligi ya mwanamke na mwanaume halafu mshindi akawa mwanamke. Sisi hatuzeeki. Hata tukiwa na 47years bado ni vijana. Kwa mfano mimi ni kijana mdogo wa miaka 37 na mwanachama wa CCM. Ndo ninatarajia kuoa binti wa miaka 25 yaani kitu laini.
25 kitu lain kasema nani?
 
Kama vipi babaye amlete! Ebooo, usumbufu tu 😂
Wana mawenge kinooma.. "ooh, baba karudi"
Sasa unajiuliza mie namtaka baba yake.

Ila wazee wenzangu aahh.. kibosi tu, mambo sio mengi kabiiisa, na unaenjoy laifu.
Ukipita huko ukakuta jodari, ukampelekea utalishwa supu, bado utawekewa mguu bara, mguu pwani.😂
 
Ili kuwasaidia tufanyeje sàsa maana umri unakuwa sio rafiki. Tutoe na solution.😟
 
Nimeshajionea mara kadhaa hasa hizi pisi za chini ya miaka 26 huwa wanajiona dunia ni yao na wa kupanga vigezo ni wao.

Kuwa approach mabinti wa umri huu wengi mkizinguana kidogo tu hawaoni shida ku break up, usipokuwa na gari ama vimali ni ngumu kumpata, n.k.

wafika 30 sasa ndio utaanza kuona vimbweka, ni muda ambao hata chai ya kwenye friji inalainisha andazi.

wao ndio huanza kujilengesha hapa na sio siri kwa wanaume wanaowajua wanachopitia huwageuza sehemu ya kuahidi ndoa, wakichapa wanasepa wanaenda kwa wengine.

Nina class mate wangu wa form 5 hadi tunamaliza wote degree alinipa nyodo sana maana kwakweli alikuwa mzuri na alijua hilo akaona sina nafasi kwake kwa hali yangu kiuchumi kwa enzi zile, niliwahi kutupa ndoano ila niliishia kula nyundo za mbavu. Ajabu ni kwamba baada ya miaka kadhaa kuna siku nipo whatsapp nakutana na mesej yake kunijulia hali ilinishangaza, nilishajua namna ya kuucheza mchezo nilijifanya mjinga nicheze kama alivyodhania, kimasihara kabisa kwa gharama ndogo sana nilimla na nikampiga nikampa makavu kwamba mimi nilikuwa namtamani tu, nyodo zake za zamani ndio zilinipa moto wa kumsasambua, ndoa niliyomwambia nilimpiga a,e,i,o,u nikatokomea.


Kiufupi nilipata habari baada yangu ndani ya miaka miwili hivi kuna wadau wengine wawili nawajua waliweza kupata joto na kusepa, ila jitihada zake hazikwenda bure kuna askari alimuelewa akaoana nae na sasa wana mtoto moja.
Nina mtumish mwenzangu. Dah
 
Back
Top Bottom