Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume shoga/anayefanywa kinyume na mwanamke anayefanywa kinyume wote ni walewale.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanafanya kinyume na maumbile.
Kuna mmoja alionekana kushindwa kukaa kwenye bodaboda baada ya kuharibiwa valve
 
Ha ha ha ha sio kusema nakupinga hapana sikupingi ila iko hivi

ukiona dini inakazana sana kukemea uovu fulani au kumsema sana shetani tafasiri nikuwa mungu kafeli katika hilo kulipa solusheni yake.

wape watu kumjua Mungu, wafundishe kwanini wanapaswa kumjua Mungu, wafundishe umuhimu wa Mungu, hayo maovu yote wao wenyewe wataacha tu, huwezi mfanya mtu akaacha uovu yeye binafsi asipoweza kuelewa kwanini anapaswa kuachana na uovu.

Msiwe kama chadema kila siku kusema ccm katika mada zao, kuwa kama ccm wao husema mikakati yao na mipango yao tu

mhubiri Mungu achana na shetani yeye mwenyewe atakimbia tu
Kuwa na adhabu kijana mungu awezi kufeli milele na daima yani afail kwa kiumbe alichokiumba mwenyewe riziki yote kinachokula anatoa yeye
 
Kuwa na adhabu kijana mungu awezi kufeli milele na daima yani afail kwa kiumbe alichokiumba mwenyewe riziki yote kinachokula anatoa yeye
Ndio shida ya nyie wafia dini mnaona kila kitu kinapangwa na mungu na mnashindwa kumuelewa mungu na mnaishi kwa kukariri na maisha yaliyojaa hofu kila leo.

Sikia bro Mungu ni wa kanuni hafagilii ujinga na mambo mengine yakipuuzi kwa mujibu wa dini hivyo usije ukawa unajipa uhakika asilimia mia kuwa kila mwanadamu anasimamiwa na Mungu huo ni uongo kabisa wala sio kweli,
Sio ukisema anamsimamia kila mtu basi kubali amefeli sasa kuwaongoza hao watu ili wawe wema,
Kama hasimamii kila mtu ndio ukubali kuwa unapaswa kuhubiri mema yake acha mambo ya shetani yaendelee na shetani nawewe ongea habari za mungu wako.
Vita nikupanga mipango yako yakukupa ushindi wala sio kuongelea madhaifu ya adui wako ndio maana nyie nyie watu wa dini dhambi mnaipa nguvu sana kwa kushinda kila siku mnaongelea maovu maovu tu.

KAMA MUNGU WAKO NI WA KANUNI ANAYETAKA WATU KUSIMAMIA KATIKA MISINGI FULANI BASI HUBIRI NENO LAKE SIO KUMUONGELEA SHETANI TU MUDA WOTE.
HUWEZI KAA NA MKEO NDANI HALAFU UNAWASEMA NA KUWAPONDA MALAYA, MSIFIE MKEO AKILI IWEKE KWA MKEO HAO WALIO NJE HATA HAMTAKUWA NA HABARI NAO

NDIO MAANA MNASHAULIWA KUSOMA ELIMU DUNIA YA SAIKOLOJIA NA NAMNA YA KUZUNGUMZA NA WATU SIO KUROPOKA ROPOKA TU
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume shoga/anayefanywa kinyume na mwanamke anayefanywa kinyume wote ni walewale.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanafanya kinyume na maumbile.
Wanalipwa MALIPO MAKUBWA hao Wanawake Kuingiliwa Nyuma ndio maana Idadi inaongezeka Pili Suala la Mimba halipo
 
1 Wakorintho 6:9
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti.
Shauri yenu Bible imesema hamuendi mbinguni,na ni wote waliotajwa hapo pamoja na wanaofanya a hivyo vitendo kwakudhamiria kabisa unafanyiwa.
Ivi kwa akili za kawaida inahitaji nguvu gani kuacha ukilinganisha na madhara yake?
Lazima akili zisiwe zako ndio eidha ufanye au ufanyiwe kitu hiki,astakafiruwallah
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume shoga/anayefanywa kinyume na mwanamke anayefanywa kinyume wote ni walewale.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanafanya kinyume na maumbile.
Kumfanya ndo Nini?
 
Back
Top Bottom