Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Kibaya Zaid havina Siri Tena nishashuhudia katoto kana miaka miatatu kanamwambia mamaake mama fulan na mzee x wanafirana ambao ni majirani zao yaani ni ajabu sijui tutakuwa na kizazi Cha aina gani
Miaka mingapi sis???😳😳😳😳😳😳 Hao ukute walikafundisha hako katoto wanafanyaje hadharani hadi mtoto kujua kama huko ni kufirana uwii!!
 
Ila tatizo zaidi wanaume, wanaume tukisema hapana wao watafanyia nini? Mwanaume ni muharibifu kwasababu ya tamaa mbaya na kushindwa kumlinda mwanamke
Unasemaje hapana ilhali muhusika ndo ulevi wake? Usipomtimizia si ataenda kukata kiu kwingine? Ukisema umwache utaacha wangapi? Kwenye magroup ya wanawake ushaona wanavyosifia huo mchezo? Wanawake wenyewe wa miaka hii wanapenda kujaribu kila kitu.... Wanaume inabidi wacheze na biti, hakuna namna
 
Unasemaje hapana ilhali muhusika ndo ulevi wake? Usipomtimizia si ataenda kukata kiu kwingine? Ukisema umwache utaacha wangapi? Kwenye magroup ya wanawake ushaona wanavyosifia huo mchezo? Wanawake wenyewe wa miaka hii wanapenda kujaribu kila kitu.... Wanaume inabidi wacheze na biti, hakuna namna
Sio kweli, hakuna mwanamke siku ambae hajawai kufirana akaanza kumuambia mwanaume amfire, siku ya kwanza 99 % wanashawishiwa, wanalazimishwa
 
Vipi kama mwanamke mwenyewe anapenda huo mchezo? Utafanyaje
Anapendaje huku hajawai? Usichanganye mambo mawili hapa, kuna ambae kaisha fanya huyu kabla ya kufanya ukija fatilia wali lazimishwa, wali rubuniwa, wengi wanao filwa ukikaa nao kirafiki watakuambia mala yao ya kwanzq haikuwa hiali yao.. Wanaume ni kisababishi na chanzo cha huu uchafu
 
Back
Top Bottom