Syo wanawake wa kichaga wote wana shida mfano wanawake kutoka rombo wale wapambanajiKuna jirani yangu hapa aliwaambia wazazi anaoa mchaga waliwaka hatari walimwambia akimuoa watamtenga ukoo mzima. haya mambo yanashangaza sana
Wakukuchagulia mke?Hao ndio wazazi sasa
Sema mademu wa kichaga mwanzo kwenye hustle mtaenda vizuri, mkisha fanikiwa .. kunaanza picha picha, na hasa kama mwanaume unaanza kazi za nje.. hapo uje upo kwenye danger zone.. ila ni wanawake wazuri kuanza nao from zeroKuna jirani yangu hapa aliwaambia wazazi anaoa mchaga waliwaka hatari walimwambia akimuoa watamtenga ukoo mzima. haya mambo yanashangaza sana
Haka katoto kazuri sasa huyu ata akisema she dnt bliv in 50/50 unasema sawa.π π Mchungaji alinizidi kete mwanawanae.. mchungaji alipendea kuliko mie.. nikaona isiwee taaabu
Hivi hapo ulipo najua huwezi kosa nama ya haka katoto nimekapendaa.. kanafaa kunidekea dekea kana sura amazingi ya mideko mideko.. hapa naweza cyber threat tu.. mbusu Wala haziniwazishi
View attachment 3175618
Yes ofcoz...wee uliona mzazi akamchagulia mtoto wake mke mbaya?Wakukuchagulia mke?
Hizo tabia wanazo kweli au ni stori za vijiweniSema mademu wa kichaga mwanzo kwenye hustle mtaenda vizuri, mkisha fanikiwa .. kunaanza picha picha, na hasa kama mwanaume unaanza kazi za nje.. hapo uje upo kwenye danger zone.. ila ni wanawake wazuri kuanza nao from zero
Kama humkubali? ulikuwa umeshapata mwajuma na matako mbinuko wakuletee Wivina flat unaona iko sawaYes ofcoz...wee uliona mzazi akamchagulia mtoto wake mke mbaya?
Kwani umeambiwa ukioa flat screen huwezi kwenda onja tv ya chogo?Kama humkubali? ulikuwa umeshapata mwajuma na matako mbinuko wakuletee Wivina flat unaona iko sawa
Hahaha unaweza lakini akiwa nyumbani unajivinjari muda woteKwani umeambiwa ukioa flat screen huwezi kwenda onja tv ya chogo?
Sasa hivi ni kuishi kwa machale tu..
Watu walio nje ya ndoa wanamalizana, walio ndani ya ndoa Wana malizana.. walio single nao wanamalizwa.. basi tafrani tu.
π π Wachungaji wa siku hizi ni problem mwanawaneee..Haka kato
Haka katoto kazuri sasa huyu ata akisema she dnt bliv in 50/50 unasema sawa.
Ka wapi haka?
Ah wee mwanawane mchungaji nae kalamba asali....π€£π€£π€£π€£
Mweee mbisush ukishaiweka ndani haina mvuto tena mke ninkwaajili ya mapozeo tuu wakati unaendelea kuwinda huku njeHahaha unaweza lakini akiwa nyumbani unajivinjari muda wote
Ni kweli kaka. Wadada wa kichaga kwenye life wapo poa . Labda uzingueHizo tabia wanazo kweli au ni stori za vijiweni
Acha kukaa kizembe na wewe ungemkula mke wa mchungajiπ π Wachungaji wa siku hizi ni problem mwanawaneee..
Haka katoto unakujua banaa wee
View attachment 3175623
π π Itakuwa machalii ya chugaAcha kukaa kizembe na wewe ungemkula mke wa mchungaji
Haka katoto aisee ni kazuri....nani anakojolea hapa
We si ushaoa lakini π
Sasa hivi jambo muhimu, ni kuhakikisha una amani na furaha Yako mwenyewe..Yaani ni vuruguvurugu tu
Nitamuacha ukinikubaliaWe si ushaoa lakini π
KabisaSasa hivi jambo muhimu, ni kuhakikisha una amani na furaha Yako mwenyewe..