Wanawake wanene wakideka wanaonekana kama makubwa jinga

Nimecheka kama chizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134]
 



Hiyo ni dosari ndogo katika mazuri mengi sana.
 
Kuzani kuwa unene ni neema si sawa na ni mtazamo wa kijima.


Eti ionekane kama ni mke atakuwa anapata matunzo mazuri [emoji3][emoji3]

Ni ujinga mtu mwenye mtazamo wa hivyo anatakiwa kupewa elimu ya lishe aelewe changamoto za overweight.
 
Imebidi Ni imagine mtu Kama loveness wa juakali nae akiwa anadeka cjui anafananaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu sasa anavyopenda kudeka, bas mie mbavu cna lol.
 
Nimecheka kama chizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lizurii likiwa ndani ya Nguoo...[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Lizurii likiwa ndani ya Nguoo...[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23] kuna bonge namkubali ana mdomo mzuri meno white kama anatangaza Colgate always ana smile

Hiyo point yako imenchekesha sana, likivua je [emoji28]
 
Kuzani kuwa unene ni neema si sawa na ni mtazamo wa kijima.


Eti ionekane kama ni mke atakuwa anapata matunzo mazuri [emoji3][emoji3]

Ni ujinga mtu mwenye mtazamo wa hivyo anatakiwa kupewa elimu ya lishe aelewe changamoto za overweight.
Naona unajaribu kuforce kila mwanaume apende unachopenda wewe, umeshaambiwa kila mtu ma taste yake kwa mwanamke ila bado umekomaa tu😄.

Wewe unapenda mwembamba mwingne anapenda mnene, nafikiri ibaki hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…