Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Wala hata, napaka kidogo kufuta mafuta.Umebakiza kupaka rangi ya nyumba tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hata, napaka kidogo kufuta mafuta.Umebakiza kupaka rangi ya nyumba tu.
Ningekuwa na ID Fake ningeropoka hapa[emoji3]
Kwann usifute na kitambaa lakini 😂Wala hata, napaka kidogo kufuta mafuta.
HureeeeyNshawahiwa
Mkuu, sasa naweza kusema umeamka toka usingizini. Tunaposema uzuri ama urembo hatumaanishi mwonekano wa nje. AsanteKwema Wakuu!
Ninawaelewa wanawake katika Kupenda pesa Kwa sababu bila matunzo Kwa kweli hawafurahishi, hawavutii,
Kwa uzoefu wangu mdogo na wanawake nuliowahi kuwaona katika majiji makubwa nachelea kusema Wanawake wengi yaani 95% bila ya urembo hawavutii na wala hawaonekani kuwa wazuri.
Kumkuta mwanamke mzuri bila urembo ni nadra Sana, usishangae kwenye mtaa unapoishi wazuri OG bila ya editing yoyote ukashangaa hakuna hata mmoja.
Wanawake wanaposisitiza wanaume Watafute pesa wanazungumzia kipengele hicho cha matunzo, ili wazidi kuonekana kuwa wazuri. wanawake karibia wote Duniani hawaoni uzuri wao na wengi hushangaa wanaposifiwa kuwa ni wazuri.
Mastaa wengi wa filamu au muziki huvutia wakiwa kwenye Luninga lakini ukikutana nao Live usije ukashangazwa na utakachokiona, wengi wao huvutia Kwa Editing za urembo na Teknolojia ya graphic and Design.
Ni vizuri kuwaelewa Dada na wanawake wetu kuwapa pesa za matunzo ili waweze walau kujiamini na kuyafurahia maisha.
Wapake Mafuta mazuri wawe laini,
Wajipulizie unyunyu wanukie
Wasuke na kuvaa maweaving au mawigi angalau nao waonekane.
Wavae hereni na wapake makeup wavutie na kututega.
Wavae mavazi na nguo za kuvutia ili waonekane.
Wanawake wengi bila urembo Kwa kweli wanatia huruma.
Tuwape pesa, tuwatunze, tuwapende.
Hakuna mwanamke asiyevutia Kama atahudumiwa kikamilifu.
Zingatia, wakuhudumiwa ni Mke WA ndoa tuu, MICHEPUKO isihudumiwe, Kama inataka Huduma iruhusu mke WA pili au watatu.
Jaman 😃😃 wewe ni mchokoziKwann usifute na kitambaa lakini 😂
Mkuu, sasa naweza kusema umeamka toka usingizini. Tunaposema uzuri ama urembo hatumaanishi mwonekano wa nje. Asante
Tuwe nachuro kwani sie ni misitu jamani 🤣🤣Mwanamke awe natural hadi raha. Lakini akishaweka make-up na matakataka mengine mvuto woooote unapotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwe nachuro kwani sie ni misitu jamani 🤣🤣
🙆🏻♂️ Chilita bana 😂Tuwe nachuro kwani sie ni misitu jamani 🤣🤣
😀😀
Mwanaume ndiye anatakiwa awe Natural angalau 90%
Mtoto wa kike bila urembo bado hajakamilika
Bora utusaidie tuende wapi na sura hiz za babaSasa wale wenye sura personal wafanyaje?
Mje kwa mzabzab atawaoa jamani.Bora utusaidie tuende wapi na sura hiz za baba
Utatuweza wote😂😂Mje kwa mzabzab atawaoa jamani.
Mwendo wa kupenana zamu tuu wala usijali mtachoka nyie tuuUtatuweza wote😂😂
🤣🤣🤣Nimecheka balaaUnalala na mtu alafu ile unaamka asubuhi unakutana na sura ngeni mpaka unajiuliza huyu ni nani na kaingiaje humu?
Unabaki kujuta na kujiambia what have I done!