Wanawake wengi bila urembo hawavutii! Sio wazuri

Wanawake wengi bila urembo hawavutii! Sio wazuri

Eti ni lazima! [emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi kati nilikutana na dada hilo, lina zigo sio poa, halafu lainiiiiii! Akitembea yanatikisana ndani ya mdela! Kwa kuwa lilikuwa ni eneo la chocho, hakuna watu, ikabidi nimsimamishe, alipogeuka, nikakitana na sura ya dume shupavu! Dume kweli! Uso mweusiiiii! Mgumu balaa! Na misuli miwili ina display kwenye paji la uso! We We We!
Nilikimbia kurudi nilikotoka, chap! Yaani ungelikutana na mimi kwenye hilo chocho, ungejua labda kuna panya road nyuma yangu!
Yan mwanamke ni lazima uwe mzuri nashangaa sana mwanamke unaanzaje kuwa mbaya,
kwangu mm demu ukiwa na taco kubwa halafu sura mbovu aisee ww pita kushoto tuu tusijuane, lkn taco la kawaida halafu sura mzuri aisee ntakupendaje mie
 
Kwema Wakuu!

Ninawaelewa wanawake katika Kupenda pesa Kwa sababu bila matunzo Kwa kweli hawafurahishi, hawavutii,
Kwa uzoefu wangu mdogo na wanawake nuliowahi kuwaona katika majiji makubwa nachelea kusema Wanawake wengi yaani 95% bila ya urembo hawavutii na wala hawaonekani kuwa wazuri.

Kumkuta mwanamke mzuri bila urembo ni nadra Sana, usishangae kwenye mtaa unapoishi wazuri OG bila ya editing yoyote ukashangaa hakuna hata mmoja.

Wanawake wanaposisitiza wanaume Watafute pesa wanazungumzia kipengele hicho cha matunzo, ili wazidi kuonekana kuwa wazuri. wanawake karibia wote Duniani hawaoni uzuri wao na wengi hushangaa wanaposifiwa kuwa ni wazuri.

Mastaa wengi wa filamu au muziki huvutia wakiwa kwenye Luninga lakini ukikutana nao Live usije ukashangazwa na utakachokiona, wengi wao huvutia Kwa Editing za urembo na Teknolojia ya graphic and Design.

Ni vizuri kuwaelewa Dada na wanawake wetu kuwapa pesa za matunzo ili waweze walau kujiamini na kuyafurahia maisha.

Wapake Mafuta mazuri wawe laini,
Wajipulizie unyunyu wanukie
Wasuke na kuvaa maweaving au mawigi angalau nao waonekane.
Wavae hereni na wapake makeup wavutie na kututega.
Wavae mavazi na nguo za kuvutia ili waonekane.

Wanawake wengi bila urembo Kwa kweli wanatia huruma.
Tuwape pesa, tuwatunze, tuwapende.

Hakuna mwanamke asiyevutia Kama atahudumiwa kikamilifu.

Zingatia, wakuhudumiwa ni Mke WA ndoa tuu, MICHEPUKO isihudumiwe, Kama inataka Huduma iruhusu mke WA pili au watatu.
Wabongo ndo zaidi wanaitaji sopsop sana
 
No we're still beautiful sema tu mmeshazoea kuona wakijiremba, so ukiona asiyejiremba unamuona "anatia huruma".

Kuna mkaka majuzi aliniuliza we mbona hutengenezi kucha kama "wenzio"? I was like ndo kina nani hao wenzangu!! So mtu ashazoea kuona kucha ndefu zenye urembo urembo, akiona fupi zenye henna zinamtia huruma!!

View attachment 2236462

View attachment 2236463
Unajaribu kutuaminisha Ndevu ni make up????
ndevu sio make up bali ni natural, na pengine ukavutiwa nazo kwasababu zinaonesha masculinity features kwa wanaume
 
Yan mwanamke ni lazima uwe mzuri nashangaa sana mwanamke unaanzaje kuwa mbaya,
kwangu mm demu ukiwa na taco kubwa halafu sura mbovu aisee ww pita kushoto tuu tusijuane, lkn taco la kawaida halafu sura mzuri aisee ntakupendaje mie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani ni shidaa akiwa na sura mbovu uwezekano wa kuendelea nae baada ya kula ni mdogoo sanaa
 
Kwema Wakuu!

Ninawaelewa wanawake katika Kupenda pesa Kwa sababu bila matunzo Kwa kweli hawafurahishi, hawavutii,
Kwa uzoefu wangu mdogo na wanawake nuliowahi kuwaona katika majiji makubwa nachelea kusema Wanawake wengi yaani 95% bila ya urembo hawavutii na wala hawaonekani kuwa wazuri.

Kumkuta mwanamke mzuri bila urembo ni nadra Sana, usishangae kwenye mtaa unapoishi wazuri OG bila ya editing yoyote ukashangaa hakuna hata mmoja.

Wanawake wanaposisitiza wanaume Watafute pesa wanazungumzia kipengele hicho cha matunzo, ili wazidi kuonekana kuwa wazuri. wanawake karibia wote Duniani hawaoni uzuri wao na wengi hushangaa wanaposifiwa kuwa ni wazuri.

Mastaa wengi wa filamu au muziki huvutia wakiwa kwenye Luninga lakini ukikutana nao Live usije ukashangazwa na utakachokiona, wengi wao huvutia Kwa Editing za urembo na Teknolojia ya graphic and Design.

Ni vizuri kuwaelewa Dada na wanawake wetu kuwapa pesa za matunzo ili waweze walau kujiamini na kuyafurahia maisha.

Wapake Mafuta mazuri wawe laini,
Wajipulizie unyunyu wanukie
Wasuke na kuvaa maweaving au mawigi angalau nao waonekane.
Wavae hereni na wapake makeup wavutie na kututega.
Wavae mavazi na nguo za kuvutia ili waonekane.

Wanawake wengi bila urembo Kwa kweli wanatia huruma.
Tuwape pesa, tuwatunze, tuwapende.

Hakuna mwanamke asiyevutia Kama atahudumiwa kikamilifu.

Zingatia, wakuhudumiwa ni Mke WA ndoa tuu, MICHEPUKO isihudumiwe, Kama inataka Huduma iruhusu mke WA pili au watatu.
Labda wako ,mi mbona navutia
 
Kwema Wakuu!

Ninawaelewa wanawake katika Kupenda pesa Kwa sababu bila matunzo Kwa kweli hawafurahishi, hawavutii,
Kwa uzoefu wangu mdogo na wanawake nuliowahi kuwaona katika majiji makubwa nachelea kusema Wanawake wengi yaani 95% bila ya urembo hawavutii na wala hawaonekani kuwa wazuri.

Kumkuta mwanamke mzuri bila urembo ni nadra Sana, usishangae kwenye mtaa unapoishi wazuri OG bila ya editing yoyote ukashangaa hakuna hata mmoja.

Wanawake wanaposisitiza wanaume Watafute pesa wanazungumzia kipengele hicho cha matunzo, ili wazidi kuonekana kuwa wazuri. wanawake karibia wote Duniani hawaoni uzuri wao na wengi hushangaa wanaposifiwa kuwa ni wazuri.

Mastaa wengi wa filamu au muziki huvutia wakiwa kwenye Luninga lakini ukikutana nao Live usije ukashangazwa na utakachokiona, wengi wao huvutia Kwa Editing za urembo na Teknolojia ya graphic and Design.

Ni vizuri kuwaelewa Dada na wanawake wetu kuwapa pesa za matunzo ili waweze walau kujiamini na kuyafurahia maisha.

Wapake Mafuta mazuri wawe laini,
Wajipulizie unyunyu wanukie
Wasuke na kuvaa maweaving au mawigi angalau nao waonekane.
Wavae hereni na wapake makeup wavutie na kututega.
Wavae mavazi na nguo za kuvutia ili waonekane.

Wanawake wengi bila urembo Kwa kweli wanatia huruma.
Tuwape pesa, tuwatunze, tuwapende.

Hakuna mwanamke asiyevutia Kama atahudumiwa kikamilifu.

Zingatia, wakuhudumiwa ni Mke WA ndoa tuu, MICHEPUKO isihudumiwe, Kama inataka Huduma iruhusu mke WA pili au watatu.
Lakini Mheshimiwa jokate! hayooo yooote hana!! maskini yeye nivilevile tu!! anapendeza natural!
 
Haya mambo ya kufosi nimeyaona sku hizi ... Media zimefanya kazi nzuri Sana kubadilisha akili za dada zetu ili biashara zao ziende ila majuto huja baada ya umri fulani kufika na kujua wangependwa bila hayo maurembo.
#USIFATE HY MANENO
 
Watafiti wanasema tukitoa makeup na urembo wanaotumia wanawake, basi wanaume wengi ni wazuri wa sura kuliko wanawake
Dah! Umenikumbusha Mfalme Zumaridi, week mbili tu za kukaa selo yaani hata Mimi pamoja na weusi wangu ukituweka pamoja mi bado niko bomba sana kuliko Zumaridi! Ila akiwa kinisani utazani Malaika kwa jinsi anavyo waka!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya kufosi nimeyaona sku hizi ... Media zimefanya kazi nzuri Sana kubadilisha akili za dada zetu ili biashara zao ziende ila majuto huja baada ya umri fulani kufika na kujua wangependwa bila hayo maurembo.
#USIFATE HY MANENO
Hivi ni kweli hampendi wanawake tujirembe kabisa jaman ama ni kamba tu hizi mnatupiga hapa?
 
Dah! Umenikumbusha Mfalme Zumaridi, week mbili tu za kukaa selo yaani hata Mimi pamoja na weusi wangu ukituweka pamoja mi bado niko bomba sana kuliko Zumaridi! Ila akiwa kinisani utazani Malaika kwa jinsi anavyo waka!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]
 
Hivi ni kweli hampendi wanawake tujirembe kabisa jaman ama ni kamba tu hizi mnatupiga hapa?
Wamekuaminisha bila urembo huwezi pendwa.
Urembo ni condition tu siku ukikukataa ina maana soko limededi.
 
Back
Top Bottom