Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Mimi sipo kwene kuaminishwa, nimekuuliza wewe kama weweWamekuaminisha bila urembo huwezi pendwa.
Urembo ni condition tu siku ukikukataa ina maana soko limededi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sipo kwene kuaminishwa, nimekuuliza wewe kama weweWamekuaminisha bila urembo huwezi pendwa.
Urembo ni condition tu siku ukikukataa ina maana soko limededi.
Mimi sipo kwene kuaminishwa, nimekuuliza wewe kama wewe
Sasa wwe unalazimisha kusawazisha! Jamaa kaja na hoja yenye ukweli! Mario kibao tu hawana kitu na bado Wana muonekano mzuri! Kazi kwenu nyie wadada bila urembo hamuwezi kutuvutia,na bila urembo pia hamjiaamini kabisa!!!Hata wanaume bila hela ni sawa na umbwa mzee
Lakini Mheshimiwa jokate! hayooo yooote hana!! maskini yeye nivilevile tu!! anapendeza natural!
Kweli unavutia nimekuona, Sasa toa hilo Wigi kichwani tuone Kama bado utavutia!!??Labda wako ,mi mbona navutia
Uzuri wa mwanamke ni makalio, kama hutaki andamana.
Paka maduta yako au lotion..lipstic kidogo nywele zako natural umepaka mafuta toshaHivi ni kweli hampendi wanawake tujirembe kabisa jaman ama ni kamba tu hizi mnatupiga hapa?
Haka kamsemo ka sura personal aliye kaunda namtafuta nimpe zawadiJamani[emoji3064]
Sura personal Tukale wapi?
Napaka kidogo sana na ni mara moja moja. Nywele nakata fupi kabisa na ni natural. Apo vipi?Paka maduta yako au lotion..lipstic kidogo nywele zako natural umepaka mafuta tosha
Mimi napaka kawaida sana sio kama ya Zumaridi😂😂😂😂 eti sipo weeeh unaanzaje
Hapo upo sexy mrembo yaani mia hapo ata utake ndoa kesho imoNapaka kidogo sana na ni mara moja moja. Nywele nakata fupi kabisa na ni natural. Apo vipi?
Ha ha ha ha ha ha haWatafiti wanasema tukitoa makeup na urembo wanaotumia wanawake, basi wanaume wengi ni wazuri wa sura kuliko wanawake
🤣khaaaa!!!Hapo upo sexy mrembo yaani mia hapo ata utake ndoa kesho imo
Kweli tena kwanza mie mwaname short hai tayari najua anajiamini self confidence wenyewe mnaiita hiyo.🤣khaaaa!!!
Hivi ni kweli hampendi wanawake tujirembe kabisa jaman ama ni kamba tu hizi mnatupiga hapa?
Jamani[emoji3064]
Sura personal Tukale wapi?
Umebakiza kupaka rangi ya nyumba tu.Mimi napaka kawaida sana sio kama ya Zumaridi😂
Unashangaa nn Sasa ndio bahati zenyewe Mana Zali mke wa mtu.🤣khaaaa!!!
NshawahiwaUnashangaa nn Sasa ndio bahati zenyewe Mana Zali mke wa mtu.