Wanawake wengi bila urembo hawavutii! Sio wazuri

Wanawake wengi bila urembo hawavutii! Sio wazuri

Ajabu wakifanana na baba zao eti baba wabaya watoto warembo...mie sipendagi jimwanume linafanana na *****!
 
Kwema Wakuu!

Ninawaelewa wanawake katika Kupenda pesa Kwa sababu bila matunzo Kwa kweli hawafurahishi, hawavutii,
Kwa uzoefu wangu mdogo na wanawake nuliowahi kuwaona katika majiji makubwa nachelea kusema Wanawake wengi yaani 95% bila ya urembo hawavutii na wala hawaonekani kuwa wazuri.
Kuna wale wanavaa high Heel huku wamebinua kwa nyuma. Sasa siku moja umkuta katupia Ndala anatoka chooni 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom