Wanawake wengi huondoka na watoto wakidhani wanaume watawafuata. sijui nani aliwadanganya kuwa mwanaume mtego wake ni mtoto

Wanawake wengi huondoka na watoto wakidhani wanaume watawafuata. sijui nani aliwadanganya kuwa mwanaume mtego wake ni mtoto

Mwanaume anayeweza kubaka watoto (wawe wa kuzaa au siyo) atakuwa na matatizo makubwa sana ya akili na anastahili adhabu ya kifungo cha maisha. Hki kisingizio cha mwanamke kusema anaogopa kuwaacha watoto wake kwa mumewe kwa sababu ''anaogopa atawabaka'' hutumiwa sana na wanawake waliokulia kwenye maisha ''rough'' ambako hakuna ustaarabu na zinaa ni jambo la kawaida. Infact ukishaona mwanamke anawaza namna hii basi ujue yeye ana mumewe lazima kuna matatizo makubwa kabisa. Hivi baada ya wewe mama, ni nani zaidi unaweza kumwamini kulea watoto wako? Kama siyo mwanaume uliyezaa naye basi ujue kati yenu kuna mwenye matatizo sana.
Wanaume walevi linapokuja suala la bichwa la chini hamjui hao km watoto zenu…!!
 
Wasipokuelewa hapa ndio basi tena.
 
Wanaondoka na watoto zao sababu wanajua mnaweza kuwabaka… 😹

Mwanaume mlevi mbwa, malaya muda wote anawaza mbususu.. unaweza kumuachia watoto??
Ukiachika tulia Acha hasira
 
Mbona nasikia ndio mambo yenu Wakinga?. Ili kuupata utajiri, kama nikweli naomba uwe mama yangu.

Lamomy
Rumours hizo..!!
Hakuna mama wa kikinga anatembea na mtoto wake..!!

Halafu wewe na ubabu huo utakuwaje mwanangu jamani khaaa.!! 😹😹😹
 
Wanaondoka na watoto zao sababu wanajua mnaweza kuwabaka… 😹

Mwanaume mlevi mbwa, malaya muda wote anawaza mbususu.. unaweza kumuachia watoto??
Unazaaje na Mlevi mbwa, malaya, mbakaji, Mbususuman????????
Wewe ni tatizo.
 
Mwanaume anayeweza kubaka watoto (wawe wa kuzaa au siyo) atakuwa na matatizo makubwa sana ya akili na anastahili adhabu ya kifungo cha maisha. Hki kisingizio cha mwanamke kusema anaogopa kuwaacha watoto wake kwa mumewe kwa sababu ''anaogopa atawabaka'' hutumiwa sana na wanawake waliokulia kwenye maisha ''rough'' ambako hakuna ustaarabu na zinaa ni jambo la kawaida. Infact ukishaona mwanamke anawaza namna hii basi ujue yeye ana mumewe lazima kuna matatizo makubwa kabisa. Hivi baada ya wewe mama, ni nani zaidi unaweza kumwamini kulea watoto wako? Kama siyo mwanaume uliyezaa naye basi ujue kati yenu kuna mwenye matatizo sana.
Mimi atajibu maswali yangu

1. Kama nitawabaka Ina mana sio watoto wangu?
2.Mimi ni mbwa kiasi Cha kutojua huyu ni mwanangu.

Yani Binti yangu nimtamani na anawaambia watu kabisa nikimuacha atambaka

Mamaeee DNA then TALAKA.
 
Back
Top Bottom