Wanawake wengi sana wanajiuza, ila namna ya kufanya biashara ndio imetofautiana

Wanawake wengi sana wanajiuza, ila namna ya kufanya biashara ndio imetofautiana

Kila kitu kipo utakavyokichukulia wewe
That's just a perception but does it bother to just let them be!
Wanauza zao si zako ingawa wanunuaji pia si ndio nyie wenyewe[emoji23]
Mkuu jina lako na comment yako ni vitu viwili tofauti.. Ni sawa na kujiita husband material halafu kumbe unapumuliwa kisogo.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Jane ni Mwanafunzi wa shule ya msingi... Anatoka na mwalimu na Anampa pesa ya pipi Juu
 
Mkuu jina lako na comment yako ni vitu viwili tofauti.. Ni sawa na kujiita husband material halafu kumbe unapumuliwa kisogo.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Hilo jina la ubatizo mkuu lisikushughulishe!
Tunauhuru wakufanya na kuamua tunachokitaka acha kila mtu apambane na hali zinatokana na choices zao!
Sasa ukiwa ndugu mkosoaji itakushughulisha mno!
 
Nijuavyo Mimi hakuna mwanamke asiyejiuza,utofauti wao ni mazingira ya kibiashara na lugha za kibiashara.
 
Back
Top Bottom