Wanawake wengi wa nyakati hizi kutokuwa na haiba ya kike, tatizo lipo wapi

Wanawake wengi wa nyakati hizi kutokuwa na haiba ya kike, tatizo lipo wapi

Men were people who made shit happen!

They brought us food,
they built houses for us,
they fixed things/problems,
they fought to protect us....

Now they ain't doin shit,

They just sit and complain and watch porn all day and blame women for making shit happen
 
4f22e6cc-b2fe-4086-b432-ae5a7e839e61.jpg
 
Tunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,

Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.

#Tupige soga weekend!
Ni majanga sana, nadhani mojawapo ni ongezeko la interaction kati ya hizi jinsia mbili, close intimacy ya hizi gender so automatic acquisition inatokea, lack of knowledge among men how to speak differently across gender sometimes mistreatment women tend to adopt for retaliation in some places ni community general, family relations among households top figures, etc.
 
Tunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,

Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.

#Tupige soga weekend!
Mkuu kwa kweli nakuunga mkono mia kwa mia, kwa haiba ya kike mwanamke anakuwaje mbabe, mbishi, mkaidi, mkorofi kwa mumewe? lazima kuna shida kwa baadhi ya hawa wanawake.
 
Mkuu kwa kweli nakuunga mkono mia kwa mia, kwa haiba ya kike mwanamke anakuwaje mbabe, mbishi, mkaidi, mkorofi kwa mumewe? lazima kuna shida kwa baadhi ya hawa wanawake.
Malezi ya Single mama, unadhani yapoje kwa mtoto wake wa kike?
 
Tunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,

Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.

#Tupige soga weekend!
Baba mwenyewe ukute unashinda ndani unaangalia wasafi tv unadhani utazikwepa ngumi hapo
 
Tukiachana na suala la ndevu na misuli( maumbile)
Tabia za mwanamke zinaiakisi jamii, tujiulize kaziokotea wapi tabia hizo chafu?
 
Mm ni Dhani sisi wanaume hatuja Simama kwenye nafasi zetu kikamilifu kwenye Familia zetu.
Yaani kuwathibiti wake zetu na watoto wetu wa kiume na wakike.
Pia Kuna shida ya wazazi wa Sasa na wa nyuma kidogo kuwa na mapenzi yaliyo pitiliza kwa watoto.
 
Baba mwenyewe ukute unashinda ndani unaangalia wasafi tv unadhani utazikwepa ngumi hapo
Kwa baba wa aina hiyo ni shida sana, father ni lazima awe fighter kutimiza majukumu ya ndani mwake!,na atakaporudi apate bashasha na pokezi Zuri la mwanamke mwenye huba mahaba na haiba la mwana mwali aliyefundwa akafundika haswaa, mashalaah....!
 
Mkuu kwa kweli nakuunga mkono mia kwa mia, kwa haiba ya kike mwanamke anakuwaje mbabe, mbishi, mkaidi, mkorofi kwa mumewe? lazima kuna shida kwa baadhi ya hawa wanawake.
Hawafundishiki, hawaelezeki, hawatosheki.
 
Kuna kitu kinatafutwa kuzungumziwa hapa, nipo nimekaa palee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni halali wawe kama wanaume tu na kupoteza haiba. Maana matendo yao yote yamekuwa kama ya kiume kiasi miili yao kudhani ni midume na kuanza kumea ndevu na ubabe.

Unakuta demu linakunywa mzinga wa konyagi kama anakunywa maji. Hata sura haikunji.
Hapo akimaliza anagida safari kama anakunywa soda, kupelekea
kuwa kitambi kama gunia la mahindi.
Ni swala la muda tu, mademu wote sura na miili yao itakuwa kama Pierre Liquid sababu ya ulevi.

Mtoto wa kike anamiliki uume mkubwa wa bandia ambao hata baba yake mzazi alietungisha mimba yake hana.

Binti anapenda pesa kiasi cha kuwa na michezo kama 20 mixer vikoba bila ya kazi yeyote ya msingi. Sasa unatarajia binti asiwe kama dume ili kukidhi kipato chake.
Zamani tulizoea madalali kuwa wanaume tu. Siku hizi kina mama nao madalali na wana sound balaa. Yote kutafuta pesa za marejesho.

Uchi mmoja wa kike unaingiliwa mpaka mara 5 kwa siku na uume tofauti tofauti, sasa hapo unatarajia mwili usihisi kuwa labda ni wa kiume maana saa zote kuna tupu ya kiume ndani yake kupelekea kuji adjust ki hormone na kuanza kumea ndevu?
Ni swala la wakati tu, wataota mpaka mbo*.

Kubwa zaidi wanaume wanataka kulelewa, hawataki kufanya kazi. Sasa hapo ni lazima role zibadilike. Anaelisha familia inabidi amee ndevu na kuwa mbabe.
Mtoto wa kiume anataka alishwe na kuvishwa na mwanamke. Hii inapelekea mpaka ngono kuwa tofauti. Siku hizi si ajabu kusikia toto la kiume linatiwa midole na mwanamke kwenye kufanya mapenzi.
Sasa Kama wanaume wenyewe wa siku hizi wanakunywa mirinda orange na mirinda nyeusi,Unataka kiwanda Cha konyagi kife?wacha wanawake wazinywe tu
 
Tunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,

Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.

#Tupige soga weekend!
Siku hizi kwenye gym wapo,kwenye u konda wapo,kwenye kupasua mawe wapo,kwenye kuuza bidhaa wapo,makazini wapo,kwenye malori wapo,kwenye uchungaji makanisani wapo,yaani wamekaba kila kona,hapo mkuu unategemea nini,tujitahidi tu kunyanyua vyuma ili tuwazidi vinginevyo tutaendelea kulialia kila siku...
 
Wanawake wenye ndevu ni ngekewa ya utajiri, usiwapuuze mkuu
Hapa unachanganya, ndevu wanazosemaga za kismati ni ile mtu anakuwa nayo moja au mbili upande, analoongelea ni wanawake wengi kuota ndevu kama wanaume kitu ambacho kinachangiwa sana na mikorogo (zingatia wengi walio nazo), baadhi inatokana na hormones.
 
Siku hizi kwenye gym wapo,kwenye u konda wapo,kwenye kupasua mawe wapo,kwenye kuuza bidhaa wapo,makazini wapo,kwenye malori wapo,kwenye uchungaji makanisani wapo,yaani wamekaba kila kona,hapo mkuu unategemea nini,tujitahidi tu kunyanyua vyuma ili tuwazidi vinginevyo tutaendelea kulialia kila siku...
Kwa Sababu wenzenu wengi wamekimbila hayo majukumu uliyoyataja tunashinda nao saloon,wengine huko huko gym Ni baunsa Ila ndio mabingwa wa kushika ukuta,,,kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom