Said Bandar
Member
- Jun 3, 2022
- 83
- 211
Unatarajia nni mkuu ilhali utakuta janaume lizima linasuka kazi Yao siku hizi wanataka kupendeza tu ,majukumu hawataki ....wake nao malezi hawana ,jamii inaelekea kupotea kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashaalaah ☺️☺️☺️Kwa baba wa aina hiyo ni shida sana, father ni lazima awe fighter kutimiza majukumu ya ndani mwake!,na atakaporudi apate bashasha na pokezi Zuri la mwanamke mwenye huba mahaba na haiba la mwana mwali aliyefundwa akafundika haswaa, mashalaah....!
Lakini pia kumbuka Wanawake huwapenda sana Mario!, na hili ni tatizo za affect za udumedume kutaka wao ndio wawe walezi wa midume hiyo mijinga.Mashaalaah ☺️☺️☺️
Hapo sema mijimama Ile inayopenda kupelekwa motroooLakini pia kumbuka Wanawake huwapenda sana Mario!, na hili ni tatizo za affect za udumedume kutaka wao ndio wawe walezi wa midume hiyo mijinga.
Nadhani akiwa na kitu kinachomtambulisha kuwa yeye ni mwanamke inatosha,hayo mengine tuiachie dunia iende inavotaka huwenda ndyo wanavyotakiwa kuwa kwa nyakati hiziTunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,
Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.
#Tupige soga weekend!
Unamaanisha mmekua imara na Wababe na kupoteza haiba kwa sababu vijanaume legelege? Mario!Sasa Kama wanaume wameamua kuwa milenda zaidi ya wanawake ,wanatinda nyusi,wamevalia vinju nga,wanashikishwa ukuta wanawake tusipokaza unadhani itakuwaje?....
Mwanamke yoyote kamili ni lazima apende kupelekewa 🔥🔥🔥Hapo sema mijimama Ile inayopenda kupelekwa motrooo
Ewaaaaah!wanataka tuwahonge pesa za kuendea wavuvi camp Sasa inabidi tukaze msuli,,na ndevu zinaota automaticallyUnamaanisha mmekua imara na Wababe na kupoteza haiba kwa sababu vijanaume legelege? Mario!
😳😳😳Eeh Lahaulaah lakwata 🙆🙆🙆Mwanamke yoyote kamili ni lazima apende kupelekewa 🔥🔥🔥
Pia ni sunna!, na baraka!😳😳😳Eeh Lahaulaah lakwata 🙆🙆🙆
Duh aseeeh 🤔🤔🤔Ni halali wawe kama wanaume tu na kupoteza haiba. Maana matendo yao yote yamekuwa kama ya kiume kiasi miili yao kudhani ni midume na kuanza kumea ndevu na ubabe.
Unakuta demu linakunywa mzinga wa konyagi kama anakunywa maji. Hata sura haikunji.
Hapo akimaliza anagida safari kama anakunywa soda, kupelekea
kuwa kitambi kama gunia la mahindi.
Ni swala la muda tu, mademu wote sura na miili yao itakuwa kama Pierre Liquid sababu ya ulevi.
Mtoto wa kike anamiliki uume mkubwa wa bandia ambao hata baba yake mzazi alietungisha mimba yake hana.
Binti anapenda pesa kiasi cha kuwa na michezo kama 20 mixer vikoba bila ya kazi yeyote ya msingi. Sasa unatarajia binti asiwe kama dume ili kukidhi kipato chake.
Zamani tulizoea madalali kuwa wanaume tu. Siku hizi kina mama nao madalali na wana sound balaa. Yote kutafuta pesa za marejesho.
Uchi mmoja wa kike unaingiliwa mpaka mara 5 kwa siku na uume tofauti tofauti, sasa hapo unatarajia mwili usihisi kuwa labda ni wa kiume maana saa zote kuna tupu ya kiume ndani yake kupelekea kuji adjust ki hormone na kuanza kumea ndevu?
Ni swala la wakati tu, wataota mpaka mbo*.
Kubwa zaidi wanaume wanataka kulelewa, hawataki kufanya kazi. Sasa hapo ni lazima role zibadilike. Anaelisha familia inabidi amee ndevu na kuwa mbabe.
Mtoto wa kiume anataka alishwe na kuvishwa na mwanamke. Hii inapelekea mpaka ngono kuwa tofauti. Siku hizi si ajabu kusikia toto la kiume linatiwa midole na mwanamke kwenye kufanya mapenzi.
😅😅😅 AiseeeSasa Kama wanaume wameamua kuwa milenda zaidi ya wanawake ,wanatinda nyusi,wamevalia vinju nga,wanashikishwa ukuta wanawake tusipokaza unadhani itakuwaje?....
'wengi' ni % ngapiTunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,
Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.
#Tupige soga weekend!
By percentage siwezi kuwa sahihi, lakini ndiyo hali iliyotuzunguka katika jiji letu.'wengi' ni % ngapi
Ndo maana bugatti alilalama sana...Hawafundishiki, hawaelezeki, hawatosheki.
Ila nyie wadada wa kisasa Mungu anawaona aiseeMen were people who made shit happen!
They brought us food,
they built houses for us,
they fixed things/problems,
they fought to protect us....
Now they ain't doin shit,
They just sit and complain and watch porn all day and blame women for making shit happen
Wewe ndio umesema ukweli kabisa!! mwanamke akivaa suruali hawezi kuwa na haiba ya kike hata kidogo!! Ndio maana wanalazimisha kuvaa suruali zinazobana ili angalau wawatamanishe wanaume! Wanaume wanatutwa na tamaa tu wala siyo haiba ya kike!!Wanavaa sarawili ndio tatizo
Hao wawili wa katikati mi nabeba ni wazuri.Kama hawa?View attachment 2489614