SatCitAnanda
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 643
- 1,099
Imagine blaming women for your depreciating orgasms!!Na sio hilo tuu hata UTAMU siku hizi hawana kabisa yaani ile Ladha niliyo kuwa naipata miaka ya 90s sahizi hakuna tena yana sijui wakoje.
Ni majanga sana, nadhani mojawapo ni ongezeko la interaction kati ya hizi jinsia mbili, close intimacy ya hizi gender so automatic acquisition inatokea, lack of knowledge among men how to speak differently across gender sometimes mistreatment women tend to adopt for retaliation in some places ni community general, family relations among households top figures, etc.Tunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,
Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.
#Tupige soga weekend!
Mkuu kwa kweli nakuunga mkono mia kwa mia, kwa haiba ya kike mwanamke anakuwaje mbabe, mbishi, mkaidi, mkorofi kwa mumewe? lazima kuna shida kwa baadhi ya hawa wanawake.Tunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,
Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.
#Tupige soga weekend!
Malezi ya Single mama, unadhani yapoje kwa mtoto wake wa kike?Mkuu kwa kweli nakuunga mkono mia kwa mia, kwa haiba ya kike mwanamke anakuwaje mbabe, mbishi, mkaidi, mkorofi kwa mumewe? lazima kuna shida kwa baadhi ya hawa wanawake.
Baba mwenyewe ukute unashinda ndani unaangalia wasafi tv unadhani utazikwepa ngumi hapoTunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,
Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.
#Tupige soga weekend!
Kwa baba wa aina hiyo ni shida sana, father ni lazima awe fighter kutimiza majukumu ya ndani mwake!,na atakaporudi apate bashasha na pokezi Zuri la mwanamke mwenye huba mahaba na haiba la mwana mwali aliyefundwa akafundika haswaa, mashalaah....!Baba mwenyewe ukute unashinda ndani unaangalia wasafi tv unadhani utazikwepa ngumi hapo
Hawafundishiki, hawaelezeki, hawatosheki.Mkuu kwa kweli nakuunga mkono mia kwa mia, kwa haiba ya kike mwanamke anakuwaje mbabe, mbishi, mkaidi, mkorofi kwa mumewe? lazima kuna shida kwa baadhi ya hawa wanawake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba mwenyewe ukute unashinda ndani unaangalia wasafi tv unadhani utazikwepa ngumi hapo
Sasa Kama wanaume wenyewe wa siku hizi wanakunywa mirinda orange na mirinda nyeusi,Unataka kiwanda Cha konyagi kife?wacha wanawake wazinywe tuNi halali wawe kama wanaume tu na kupoteza haiba. Maana matendo yao yote yamekuwa kama ya kiume kiasi miili yao kudhani ni midume na kuanza kumea ndevu na ubabe.
Unakuta demu linakunywa mzinga wa konyagi kama anakunywa maji. Hata sura haikunji.
Hapo akimaliza anagida safari kama anakunywa soda, kupelekea
kuwa kitambi kama gunia la mahindi.
Ni swala la muda tu, mademu wote sura na miili yao itakuwa kama Pierre Liquid sababu ya ulevi.
Mtoto wa kike anamiliki uume mkubwa wa bandia ambao hata baba yake mzazi alietungisha mimba yake hana.
Binti anapenda pesa kiasi cha kuwa na michezo kama 20 mixer vikoba bila ya kazi yeyote ya msingi. Sasa unatarajia binti asiwe kama dume ili kukidhi kipato chake.
Zamani tulizoea madalali kuwa wanaume tu. Siku hizi kina mama nao madalali na wana sound balaa. Yote kutafuta pesa za marejesho.
Uchi mmoja wa kike unaingiliwa mpaka mara 5 kwa siku na uume tofauti tofauti, sasa hapo unatarajia mwili usihisi kuwa labda ni wa kiume maana saa zote kuna tupu ya kiume ndani yake kupelekea kuji adjust ki hormone na kuanza kumea ndevu?
Ni swala la wakati tu, wataota mpaka mbo*.
Kubwa zaidi wanaume wanataka kulelewa, hawataki kufanya kazi. Sasa hapo ni lazima role zibadilike. Anaelisha familia inabidi amee ndevu na kuwa mbabe.
Mtoto wa kiume anataka alishwe na kuvishwa na mwanamke. Hii inapelekea mpaka ngono kuwa tofauti. Siku hizi si ajabu kusikia toto la kiume linatiwa midole na mwanamke kwenye kufanya mapenzi.
okSasa Kama wanaume wenyewe wa siku hizi wanakunywa mirinda orange na mirinda nyeusi,Unataka kiwanda Cha konyagi kife?wacha wanawake wazinywe tu
Siku hizi kwenye gym wapo,kwenye u konda wapo,kwenye kupasua mawe wapo,kwenye kuuza bidhaa wapo,makazini wapo,kwenye malori wapo,kwenye uchungaji makanisani wapo,yaani wamekaba kila kona,hapo mkuu unategemea nini,tujitahidi tu kunyanyua vyuma ili tuwazidi vinginevyo tutaendelea kulialia kila siku...Tunashuhudia katika nyakati hizi Wanawake wengi kutokuwa na haiba ya kike, wengi kuota ndevu, na pia wengi kuwa na haiba za kiume, ubaunsa, ukaidi, ubishi, baadhi utemi, kuvuta bange na N. K,
Nini chanzo cha tatizo hili, maana wanawake kwa jinsi ya uumbaji walipaswa kuwa tulizo kwetu akina baba, mjenzi wa furaha nyumbani, mlezi bora kwa watoto ndani ya familia matokeo yake Wanawake wa sasa baadhi hata kuogesha watoto ni tatizo.
#Tupige soga weekend!
Hapa unachanganya, ndevu wanazosemaga za kismati ni ile mtu anakuwa nayo moja au mbili upande, analoongelea ni wanawake wengi kuota ndevu kama wanaume kitu ambacho kinachangiwa sana na mikorogo (zingatia wengi walio nazo), baadhi inatokana na hormones.Wanawake wenye ndevu ni ngekewa ya utajiri, usiwapuuze mkuu
Kwa Sababu wenzenu wengi wamekimbila hayo majukumu uliyoyataja tunashinda nao saloon,wengine huko huko gym Ni baunsa Ila ndio mabingwa wa kushika ukuta,,,kazi kweli kweliSiku hizi kwenye gym wapo,kwenye u konda wapo,kwenye kupasua mawe wapo,kwenye kuuza bidhaa wapo,makazini wapo,kwenye malori wapo,kwenye uchungaji makanisani wapo,yaani wamekaba kila kona,hapo mkuu unategemea nini,tujitahidi tu kunyanyua vyuma ili tuwazidi vinginevyo tutaendelea kulialia kila siku...