Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kwani ni kosa kisheria?Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri.
Ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza.
Raha wakati wowote, inategemea na wewe mwenyewe na vipi mnapeana utamu.Kwahiyo nikifikisha 30s nitasikia utamu og? min -me
Uko sahihi......below 25 unamlala mwanamke kama unambaka. HawajielewiWe bhana we,miaka uliyoitaja hata kufika kileleni ni shida Ila kuanzia miaka 30s ...jamani jamani ile kitu ni tamu kweli...Daah! Hii huchangia Sana wanawake kutaka kuwa nawenza wao ndani.....
Maoni yangu ......
Raha wakati wowote, inategemea na wewe mwenyewe na vipi mnapeana utamu.Kwahiyo nikifikisha 30s nitasikia utamu og? min -me
Mtu akikugusa tu tayari umefika..We bhana we,miaka uliyoitaja hata kufika kileleni ni shida Ila kuanzia miaka 30s ...jamani jamani ile kitu ni tamu kweli...Daah! Hii huchangia Sana wanawake kutaka kuwa nawenza wao ndani.....
Maoni yangu ......
Leo umechachuka sasa😂😂😂We bhana we,miaka uliyoitaja hata kufika kileleni ni shida Ila kuanzia miaka 30s ...jamani jamani ile kitu ni tamu kweli...Daah! Hii huchangia Sana wanawake kutaka kuwa nawenza wao ndani.....
Maoni yangu ......
😅😅😅😅Wanamsemo wao wakujipa moyo baada ya kupwiyanga huko ,utawasikia "good guys finish last",yaani umewachia bad boys wakichakaze then mwishoni ndio unakuja kuhangaika na good guys ambao aliwakataa mwanzoni.the
🤣🤣🤣🤣 Tulia bhana🥴Leo umechachuka sasa😂😂😂
🤣🤣Imooo 😋😘Mtu akikugusa tu tayari umefika..
Nimecheka kwa sauti balaa...aiseee eti Imooo.🤣🤣Imooo 😋😘
Hadi nizae kumbe🙄Shusha injini hata moja 🤸🤸🤸🤸ufurahie mambo matamu
Mkuu nchi hii watu wengi hupenda sana mitumba. Ni wachache sana huwa wanapenda vitu vipya.Huu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri.
Ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuri wao kwanza.
🤣🤣🤣🤸Nimecheka kwa sauti balaa...aiseee eti Imooo.
Utu uzima rahaa sana.
Wa kuwaoa wapo kwenye cycle yao sema huwa wanawekwa pending kwanza, binti mpaka amalizane na ile partying and hoing phase ndio anawakumbuka hao waoaji a.k.a nice guys.Hawakatai
Isipokuwa hawajawapata wa kuwaoa.
Kuolewa ni bahati na hawajui thamani ya mwanamke huzidi kushuka pindi umri unavopanda bila kuolewa!
Mwanamke kwenye miaka 18 mpaka 24 hivi 25 mpaka 26 ananata kichizi SMS havijibHuu ndio utafiti nilioufanya mabinti wengi wanapenda kuolewa tayari wakishakuwa wamekula ujana wao tayari hapo ndio watakuwa tayari kutulia katika ndoa umri wa miaka ya miaka 18-25 akikubali kuolewa na wewe imembidi tu kwa kushinikizwa na wazazi ukiwa uchumi upo vizuri.
Ila moyoni wengi wanapenda kuutumia uzuriaa wao kwanza.