Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mkuu niite don sopranos au don Michael sipo tei kizembe.πππ
Dadeki! Huyo mwanamke kafanya umafia.
Watu kama kina Intelligent businessman Dawa Yao ni hiyo. Wataishia tuu kulalama Golo la offside oooh! Refa kawabeba lakini ubao umesoma tayariπ
π€£π€£π€£π€£π€£Na Mbinu ya KUKABIA JUU haijawahi kushindwa.
Diamond Platinum huoni anajaribu kufurukuta Lakini Zuchu amekamia Mechi.
Upiganaji wa Zuchu unafaa kwa Watu Aina ya Diamond na kataa Ndoa.
Yaani unakabiwa juu alafu king'ang'anizi kiasi kwamba wanawake wengine wanakosa Nafasi hata nukta kujaribu bahati yao
Kwa sheria za Tanzania ni miaka miwili.Kwa zaidi ya miezi sita tayari huyo kisheria hiyo ni Ndoa.
Kwa sheria za Tanzania ni miaka miwili.
Huyu ndiyo Alikabiwa kwa juu golini kabisa..hii mbinu ni ya kukabia juu kwa juu, imewaondoa jamaa zangu wawili kwenye chama cha kataaa ndoa,...huyu mmoja alikuwa mwamba haswa, alipokabwa juu kwa juu, akahama geto, akamwacha mwanamke getoni ye akapotelea kwenye kutafuta maisha,.. lakini alikuwa ameshachelewa kwani, alikuwa ameshaharibu,.....kakaa miaaka mitatu msumbuji migodini, siku anarudi home kwa wazazi wake, anakutana na mtoto wake yuko hom, na akaambiwa mkeo anakusubiri hapa, toka umtoroke mtoto wa watu akiwa na mimba, akaja hapa na tunaishi naeπ³..ujanja kwisha akapewa mke, na anadunda nae mpaka saizi...
Watajua wenyewe..Utashaa hapo
Kataa ndoa wao wanapiga wanapita hivi alafu wanakuja mtandaoni kuandika imeenda Kilometres
Watajua wenyewe..
Unajua sometimes most of us struggle throughout our lives by giving too many fu.cks in situations where fu.cks do not deserve to be given.
Hiyo ni Kwa wenye kuhitaji ndoa kwa wakati.
Mchezo wowote ukitaka ushinde lazima uingie uucheze