Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #81
Eti ya KUKABIA JUU
😀😀😀😀
Sasa vijana hawataki kuoa wanawake wasipobadili Mbinu hawa kina Liverpool VPN dronedrake Intelligent businessman hawataoa hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti ya KUKABIA JUU
😀😀😀😀
Sio Kila Mwanaume Ana Sifa Za Kuoa Na Sio Kila Mwanamke Anastahiri Kuolewa.
Na Ndio Maana Azz Ki Ameoa Mwanamke Asiyestahiri Kuolewa Ni Kwa Sababu Yeye Hastahiri Kuoa.
Kwa Hiyo Mbinu Zote Hizo Mbili Itategemea Kuna Watu Huu Ni Mwaka Wa Arobaini Hawajaoana.
Sio Kila Mtu Ana Faa Kuwa Na Familia.Kuoa au kuolewa ni kukubaliana kuwa pamoja Kwa lengo la kuanzisha Familia.
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKOSasa vijana hawataki kuoa wanawake wasipobadili Mbinu hawa kina Liverpool VPN dronedrake Intelligent businessman hawataoa hawa
Si ndo mpaka upewe hio nafasi ya kukabia juu😅😅
Sio Kila Mtu Ana Faa Kuwa Na Familia.
Na hii mbinu ya wadada wanaochumbiwa halafu baada ya hapo wanazaa na maisha yanaendelea inaitwaje?
😁😁😁 kukabia juu ndo imekaaje hii ?
Zuchu yupo smart , she is going to beat the odds hakuna kumuacha 🤗Mbinu ya kimedani anayoitumia Zuchu kwa Diamond
Mbinu ya kumfuata adui aliko na sio kumsubiria
Mbinu ya kuifuata Fursa ilipo na sio kuisubiria
Zuchu yupo smart , she is going to beat the odds hakuna kumuacha 🤗
Yes Mimi nimependa Sana mbinu anayotumia zuchu .Zuchu anaganda na kuhakikisha hatoi nafasi hata Moja Kwa wanawake wenzake.
Ni kama wamemshindwa
Diamond mwenyewe imefikia Hatua Hana ujanja. Unajua mbinu ya kukabiwa Juu unajikuta umeingia kwenye mfumo na haufurukuti
hii mbinu ni ya kukabia juu kwa juu, imewaondoa jamaa zangu wawili kwenye chama cha kataaa ndoa,...huyu mmoja alikuwa mwamba haswa, alipokabwa juu kwa juu, akahama geto, akamwacha mwanamke getoni ye akapotelea kwenye kutafuta maisha,.. lakini alikuwa ameshachelewa kwani, alikuwa ameshaharibu,.....kakaa miaaka mitatu msumbuji migodini, siku anarudi home kwa wazazi wake, anakutana na mtoto wake yuko hom, na akaambiwa mkeo anakusubiri hapa, toka umtoroke mtoto wa watu akiwa na mimba, akaja hapa na tunaishi nae😳..ujanja kwisha akapewa mke, na anadunda nae mpaka saizi...
Hii mbinu, mi mwenyewe naigwaya kabisa kwani sina ujasiri kabisa wa kufukuza mwanamke....hii mbinu kataa NDOA tusipoangalia, itambeba mpaka mwenyekiti wetu.....bila shaka hii mbinu imetoka kwa shetani moja kwa moja....😂😂😂
Dadeki! Huyo mwanamke kafanya umafia.
Watu kama kina Intelligent businessman Dawa Yao ni hiyo. Wataishia tuu kulalama Golo la offside oooh! Refa kawabeba lakini ubao umesoma tayari😃
Yes Mimi nimependa Sana mbinu anayotumia zuchu .
Kukabia juu ndo mbinu nzuri na ya kisasa.