Wanawake wenye akili ndogo

Laiti kama jamii yetu ingekuwa na watu kama wewe. Maisha yangekuwa bora kuliko yale aliyoyaahidi kikwete.

Attitudes walizonazo hao watu ni sababu ya aina ya maisha wanayoishi, mleta mada anadhani amepewa pekeake hiyo treatment, kimsingi hata sisi wanawake wenzao wana tutreat hivyo hivyo, potea njia msimamishe umuulize uone kazi πŸ˜†

Yamkini hawajui walitendalo maana linatokea natural kwao.

Hivi watu wanajua kuwa maisha mazuri huambatana na ustaarabu?
 
Ustaarabu ni kila kitu kwenye hii dunia.
 
Binti kiziwi good analysis ntaachana na leejay sasa nikufukuzie wewe
 
Hawa wa uswahilini kama hakujui anakua na mambo mengi! Ukitaka deal na wanawake wanaopenda mpira aiseee they never disappoint, wanakuanga wapi real sana hawana mambo ya kijinga na hawana dharau.... ukutane nae akivaaa jersey na surual inamkaaaa vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…