Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Hebu acha ujinga, yaani mtu awe na makalio halafu ahangaike kutafuta kuwa na heshima?
Makalio yanatosha vingine hakikisha wewe ndiyo unakua navyo.
Halafu hii story umetupiga, kwa hiyo ukala nyama na kunywa juisi yake halafu wala hakukuuliza?
 
sawa yesu
 
Hebu acha ujinga, yaani mtu awe na makalio halafu ahangaike kutafuta kuwa na heshima?
Makalio yanatosha vingine hakikisha wewe ndiyo unakua navyo.
Halafu hii story umetupiga, kwa hiyo ukala nyama na kunywa juisi yake halafu wala hakukuuliza?
Soma chote nilichoandika utaelewa
 
Sijasoma uzi wako vizuri ila nimeshawaona wengi zamani niliumia sana waliponitosa ila nilikuja kugundua ni mademu cheap Sana wala sio wakushoboka nao achana na ndoto za kuoa mwnamke mwenye tako kubwa thamani yao ni ndogo tofauti na mategemeo ya wengi

Achana na hao wasikupe tabu hao mwisho wao huishia kuwa malaya wa baba shop wengine ni viburudisho kwenye mapub,loji na grocery na mwisho huishia kwenye madanguro ya shot time

Tudili na hawa wanawake walioajiriwa kwenye viofisi vya mpesa na ofisi chache za serikalini wanapenda kujipamba sana muonekano wa juu na hili utaniamini hichi nachosema angalia nywele na wanja mdomoni

shida kubwa hawa ni viburi na kulinga wanazarau hadi hadi wateja wanajikutaga wife material lakini mwisho huishia kwenye usingo maza
 
Naunga mkono hoja halafu wako na jeuri na kiburi hawa utadhani wamepanda safina ya nuhu.
 
Mnapendana tu yanaanza hvyo mara mnajikuta ni mume na mke 😂
 
💯🙏🏿
 
Sio heshima tu, hata akili hawana.
 
Yani mtu hakutaka kukujibu siku ambazo maji hua yanatoka halafu wewe unataka akupikie Uji?

Huyo demu alikudharau coz aliona unajipendekeza sana kwake,kifupi uliishusha hadhi yako kwake mapema sana.
Sijawahi kujipendekeza kwake tangu day one. Labda yeye alitafdiri hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…