Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kusoma stori ndefu kumbe kuna sehemu mwamba aliomba apikiwe uji 😅Hapana nakataa, watz wengi tunapenda mtelemko. Mtu hata hamjakaa jirani miezi miwili unataka mzoeane mpaka mpikiane uji?