Kuna kimoja kipo Tawi fulan la NMB huku niliko.
Nilikutana Nako mtaan muda huo Sijui kapo NMB.
Mamaeeee ,Kana dharau sana alafu utoto mwingi maana nilikasemesha kakaniangaliaa kakasepa. ( Nilikua nmevaa trakisuti ya mazoezi ). Kesho yake nikiwa sokon nikakaona kanehemea, nikakafata Tena , wakati huuu kakanpa namba Kwa shariti nisikatongoze
Basi la Haulaa, wiki ilopita kakaja Hosp, mamaeee namm ndo wakukaona,, Demu anatoka uchafu Kwa K, unatoa harufuuuuu Sijawah ona, Wala kusikia tangu nianze kazi, harufuuuuu kaliiii mpaka Nurse nlokua naye baadae alianza kutapika, Harufuuu, yaan K inatoa harufuuuuu.
Kakawa kannaishangaa shangaa tu pale, na aibu zake za kipuuzi .
Ukilichek ni Bidada Lina Matako makubwaaa, na mzuri miaka 28.
Basi, nikamwandikia Dawa paleee, Siku tatu mbele kakanitafu kakanitafuta, ohoooo Doc Ahsantee, nimeponaaa, ule uchafu na maji yalokua yanmwagika umekata, Kwa Sasa am good na ma blaa blaaah mengi .
Mara ohooooooo weee Mume wa mtu naogopa sana wanaume wa watu bila Ivo siku Moja ningekua hata dakika chache.....
Tukachat chat nikaachana Nako.
Sasa Jana kananitafuta Tena, óhooo tatizo wee ni Mume wa mtu , mamaeeee nilijawa na hasira kinoma, yaaan kenyewe ni kameza na wanaume wawili tofauti, Tena huyo wa pili ni Mume wa mtu, alafu Mimi kananiletea ujinga nikaachana laivuuu
Sitaki mazoeaaa, kafanye mambo yako .
Kamepiga simu wee, nikakublok
1
View attachment 2621069
2
View attachment 2621070
Kuna viumbe inabidi uishi navyo kichwakichwaa ,bila kuvibembelezaa .