Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Mm naona wasichana wakijiona wazuri kwenye kioo and wakisifiwa kidogo mabega yanapanda wanasahau kua nao ni wanadamu wanajisikia/dharau. ..kuna sehemu nilipanga inshu ikawakuanika nguo..cku ya kwanza tu nikazinguana nae kamba yanguo ameikuta...nikaona ushenzi nikawa naanika nguo ndani kwakua room ilikua self hakua anajua kua jua pia hupausha nguo.
 
Mm naona wasichana wakijiona wazuri kwenye kioo and wakisifiwa kidogo mabega yanapanda wanasahau kua nao ni wanadamu wanajisikia/dharau. ..kuna sehemu nilipanga inshu ikawakuanika nguo..cku ya kwanza tu nikazinguana nae kamba yanguo ameikuta...nikaona ushenzi nikawa naanika nguo ndani kwakua room ilikua self hakua anajua kua jua pia hupausha nguo.
Mtu anayejiona special sana wewe mchukulie wa kawaida tu, hatakusumbua. Hata hivyo wengi wa wanaoona kuwa wazuri sana wa sura na shape wana mapungufu mengi tu ya kimaadili. Ndio maana huwa tunaoa wanawake wenye shapes na sura za kawaida(wazuri wa asili). Tunapunguza matatizo mengi sana.
 
Huna haja ya kulipiza baya kwa baya. Just be nice to everyone, huyo dada mtakuja kuwa marafiki wenda yeye moyoni hana kinyongo kama chako. Ndo maana alikuuliza ulikuwa wapi wiki mzima? In short alikumiss.
Alimuuliza ili achukue juisi yake na nyama
 
Kuna kimoja kipo Tawi fulan la NMB huku niliko.

Nilikutana Nako mtaan muda huo Sijui kapo NMB.

Mamaeeee ,Kana dharau sana alafu utoto mwingi maana nilikasemesha kakaniangaliaa kakasepa. ( Nilikua nmevaa trakisuti ya mazoezi ). Kesho yake nikiwa sokon nikakaona kanehemea, nikakafata Tena , wakati huuu kakanpa namba Kwa shariti nisikatongoze


Basi la Haulaa, wiki ilopita kakaja Hosp, mamaeee namm ndo wakukaona,, Demu anatoka uchafu Kwa K, unatoa harufuuuuu Sijawah ona, Wala kusikia tangu nianze kazi, harufuuuuu kaliiii mpaka Nurse nlokua naye baadae alianza kutapika, Harufuuu, yaan K inatoa harufuuuuu.


Kakawa kannaishangaa shangaa tu pale, na aibu zake za kipuuzi .


Ukilichek ni Bidada Lina Matako makubwaaa, na mzuri miaka 28.



Basi, nikamwandikia Dawa paleee, Siku tatu mbele kakanitafu kakanitafuta, ohoooo Doc Ahsantee, nimeponaaa, ule uchafu na maji yalokua yanmwagika umekata, Kwa Sasa am good na ma blaa blaaah mengi .

Mara ohooooooo weee Mume wa mtu naogopa sana wanaume wa watu bila Ivo siku Moja ningekua hata dakika chache.....

Tukachat chat nikaachana Nako.


Sasa Jana kananitafuta Tena, óhooo tatizo wee ni Mume wa mtu , mamaeeee nilijawa na hasira kinoma, yaaan kenyewe ni kameza na wanaume wawili tofauti, Tena huyo wa pili ni Mume wa mtu, alafu Mimi kananiletea ujinga nikaachana laivuuu

Sitaki mazoeaaa, kafanye mambo yako .

Kamepiga simu wee, nikakublok
1
View attachment 2621069


2
View attachment 2621070


Kuna viumbe inabidi uishi navyo kichwakichwaa ,bila kuvibembelezaa .
Una jina la kindezi kumbe unaitwa Gerald
 
Kuna kimoja kipo Tawi fulan la NMB huku niliko.

Nilikutana Nako mtaan muda huo Sijui kapo NMB.

Mamaeeee ,Kana dharau sana alafu utoto mwingi maana nilikasemesha kakaniangaliaa kakasepa. ( Nilikua nmevaa trakisuti ya mazoezi ). Kesho yake nikiwa sokon nikakaona kanehemea, nikakafata Tena , wakati huuu kakanpa namba Kwa shariti nisikatongoze


Basi la Haulaa, wiki ilopita kakaja Hosp, mamaeee namm ndo wakukaona,, Demu anatoka uchafu Kwa K, unatoa harufuuuuu Sijawah ona, Wala kusikia tangu nianze kazi, harufuuuuu kaliiii mpaka Nurse nlokua naye baadae alianza kutapika, Harufuuu, yaan K inatoa harufuuuuu.


Kakawa kannaishangaa shangaa tu pale, na aibu zake za kipuuzi .


Ukilichek ni Bidada Lina Matako makubwaaa, na mzuri miaka 28.



Basi, nikamwandikia Dawa paleee, Siku tatu mbele kakanitafu kakanitafuta, ohoooo Doc Ahsantee, nimeponaaa, ule uchafu na maji yalokua yanmwagika umekata, Kwa Sasa am good na ma blaa blaaah mengi .

Mara ohooooooo weee Mume wa mtu naogopa sana wanaume wa watu bila Ivo siku Moja ningekua hata dakika chache.....

Tukachat chat nikaachana Nako.


Sasa Jana kananitafuta Tena, óhooo tatizo wee ni Mume wa mtu , mamaeeee nilijawa na hasira kinoma, yaaan kenyewe ni kameza na wanaume wawili tofauti, Tena huyo wa pili ni Mume wa mtu, alafu Mimi kananiletea ujinga nikaachana laivuuu

Sitaki mazoeaaa, kafanye mambo yako .

Kamepiga simu wee, nikakublok
1
View attachment 2621069


2
View attachment 2621070


Kuna viumbe inabidi uishi navyo kichwakichwaa ,bila kuvibembelezaa .
Unajianika. Hapo watu washajua jina lako
 
Hebu acha ujinga, yaani mtu awe na makalio halafu ahangaike kutafuta kuwa na heshima?
Makalio yanatosha vingine hakikisha wewe ndiyo unakua navyo.
Halafu hii story umetupiga, kwa hiyo ukala nyama na kunywa juisi yake halafu wala hakukuuliza?
Daah mkuu umeongea as if makalio ni kitu cha thamani zaid ya Oxygen.
Kwamba ukiwa nayo ni okay kuwa rude?
Huyo mdada ni very rude and ignorant.
Eti makalio yanatosha!Sasa kama makalio yanatosha mbona anateseka kwenye nyumba ya kupanga tena cheap ya maji kutoka 3 times a week tena ya kukaa wengi pamoja?
Hiyo mitako ingekua na thaman alitakiwa yeye ndo awe mama mjengo wa nyumba zaid ya moja,magari na investment.
Asipokua humble huo mtako wake utaishia kuwa kiburudisho cha wanaume wakware nothing else.

Mtoa mada nae ana roho mbaya.Unawezaje kutupa funguo ya jirani yako?

Jiran ndio ndugu zetu wa karibu,sijaona kosa mtoa mada kuomba apikiwe uji.
 
Bandiko lako linaonyesha wewe ni Mtu wa Visasi, Unalipa Ubaya wa Mtu kwa Mabaya zaidi. Utaishia kuwa maskini tuuu maaana nafsini mwako umejaza hasira za watu ambao hata huwajui.
Jifunze kuwa happy mabaya ya mtu yasikuanye uishi kifua kimevimba.
Hapo ulipo tayari utakua una vidonda vya Tumbo kwa ujinga wako.
Uokote funguo ya jiran utupe chooni ili kumkomoa???
Tafuta daktari wa saikolojia au nenda Mirembe ukatibiwe akili zako ni fyatu pia jitahidi upate muda wa kusali ufundishwe upendo.
Umepiga maumali mule mule..yaan anahila na shonde sana na hajui kusamehe ni mtu hatari sana 🔨🔨🔨🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋👋👋👋
 
Daah mkuu umeongea as if makalio ni kitu cha thamani zaid ya Oxygen.
Kwamba ukiwa nayo ni okay kuwa rude?
Huyo mdada ni very rude and ignorant.
Eti makalio yanatosha!Sasa kama makalio yanatosha mbona anateseka kwenye nyumba ya kupanga tena cheap ya maji kutoka 3 times a week tena ya kukaa wengi pamoja?
Hiyo mitako ingekua na thaman alitakiwa yeye ndo awe mama mjengo wa nyumba zaid ya moja,magari na investment.
Asipokua humble huo mtako wake utaishia kuwa kiburudisho cha wanaume wakware nothing else.

Mtoa mada nae ana roho mbaya.Unawezaje kutupa funguo ya jirani yako?

Jiran ndio ndugu zetu wa karibu,sijaona kosa mtoa mada kuomba apikiwe uji.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋
 
Mi huwa naboeka tu na zile ke ambazo zimewekwa kwenye biashara za watu na zinaleta nyodo za ajabu ajabu utazan hata anajua ni namna gani mwenye hyo biashara alivyoteseka mpaka kuifikisha hapo

Majibu ya kijinga kijinga tu afu vivivu kufanya kazi hata wateja wakiondoka kanaona sawa tu,shubamiti

Tanesco sengerema,kuna mbwa wapo mapokezi hapo wanamadharau hatari majitu yenyewe kama mafurushi tena ni mashangazi
Viwanawake vya tanesco ni vipuuz sana kudadeki... Me ilikufa meter ya umeme nikaenda vikawa kama vinataka kunitengenezea kipindi, niliviwashia moto kudadeki mpaka noma yan haviji kunisahau, nilimpigia simu na bosi wao mafundi wakaja kubadilisha siku hiyo hiyo na bosi wao aliviwakia ile mbaya... Wakiniona wanaona wameona chafu tatu...
 
Mi huwa naboeka tu na zile ke ambazo zimewekwa kwenye biashara za watu na zinaleta nyodo za ajabu ajabu utazan hata anajua ni namna gani mwenye hyo biashara alivyoteseka mpaka kuifikisha hapo

Majibu ya kijinga kijinga tu afu vivivu kufanya kazi hata wateja wakiondoka kanaona sawa tu,shubamiti

Tanesco sengerema,kuna mbwa wapo mapokezi hapo wanamadharau hatari majitu yenyewe kama mafurushi tena ni mashangazi
Kunywa maji kidogo Kiongozi..hawa Mashangazi wasikukwaze 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋👋👋
 
Daah mkuu umeongea as if makalio ni kitu cha thamani zaid ya Oxygen.
Kwamba ukiwa nayo ni okay kuwa rude?
Huyo mdada ni very rude and ignorant.
Eti makalio yanatosha!Sasa kama makalio yanatosha mbona anateseka kwenye nyumba ya kupanga tena cheap ya maji kutoka 3 times a week tena ya kukaa wengi pamoja?
Hiyo mitako ingekua na thaman alitakiwa yeye ndo awe mama mjengo wa nyumba zaid ya moja,magari na investment.
Asipokua humble huo mtako wake utaishia kuwa kiburudisho cha wanaume wakware nothing else.

Mtoa mada nae ana roho mbaya.Unawezaje kutupa funguo ya jirani yako?

Jiran ndio ndugu zetu wa karibu,sijaona kosa mtoa mada kuomba apikiwe uji.
Mkuu, usiwe serious sana😄
 
Nimegundua Hawa warembo Wanajifanya wajanja na wajuwaji kwa kila hoja ilihali %kubwa ni weupe vichwaji, kisa tu wanasifiwa barabarani kuwa ni wazuri. Kwanza wengi wao waliofaulu vyuoni kwa kuuza uchi

Kutana na kimwanamke(age 23-27), tako kubwa au hips, chenye ajira kidogo, yaani kinadhani kimemaliza kila kitu maishani.

Pale kazini kwetu Kuna mmoja ana kazi ya kujibu jibu watu hovyo na dharau, siku moja nikaona anaibiwa na wakimbizi laptop na iPhone 11, nikavunga tu. Amerudi anauliza nikala buyu tu.

Siku nilipohamia hapa ninapoishi nilimkuta huyu mdada na yeye ana figure nzuri na rangi nzuri na ajira halmashauri, Sasa kwa kuwa mwenye nyumba haishi hapa, alikabiliwa ufunguo ili mpangaji akipatikana ampe.

Picha linaanza nimeshahamia jioni hiyo, nkatoka nje nikamkuta kwenye kibaraza nikataka nipige naye story kidogo nipajuwe kwa Mwenyekiti wa mtaa na maji yanatoka Mara ngapi kwa wiki. Nashangaa mtu ananiambia "ingia ndai endele na Mambo yako". Nikamambia nilichotaka kujua Ni maji yanatoka Mara ngapi kwa wiki ili niweke ratiba yangu vizuri, anijibu "yakitoka utayaona", nikawa mpole

Weekend nikafua nguo nikaanika kwenye kamba nikaenda mtaani, narudi saa sita nakuta amekusanya nguo zangu kwenye kisehemu Cha kamba hiyo akaanika zake, kucheki nguo zangu bado mbichi.

Hasira za kimasai zikanikaba, nikamuomba Mungu utulivu wa nafsi maana huwa nikiwa na hasira naweza Kufanya lolote baya(Nina Rekodi ya kukaa jela miezi sita kwa sababu ya hasira, hivyo kwa kutambua hilo nikawa mpole tu), nikaenda hardware nikanunua binding wire nikaja kuanikia nguo zangu, siku ikapita salama.

Kuna siku nikaugua malaria na typhoid nikawa hoi Sana nikamuomba anipikie uji jioni, unga wa uji na maziwa nilikuwa nayo mimi, akanijibu kwani huna rafiki? Nikasema wapo Ila mitaa ya mbali kidogo. Akanijibu "kwani huna namba zao?" Nikawa mpole.

Siku chache baadaye nilimuona akitoka room kwake baada ya hatua chache ufunguo ukamdondoka kutoka kwenye jacket lake la traki suti, alivyoenda mbali nikauokota huo ufunguo nikauflashi shooni.

Baada ya Kama masaa mawili nasikia mtu anasema, jirani.. jirani.. jirani, kwa sauti nyororo Kama ya Mtoto wa paka aliyenyeeshewa na mvua. Nikajisemea kimoyomoyo "leo ndiyo unajua kuwa Mimi ni jirani yako?"

Nikafungua mlango, Akaniambia " nimedomdosha ufunguo, naomba niwekee hivi vitu kwako nikatafute ufunguo, nikavipokea alivyotoka ni nikafungua hayo mabahasha na magazeti nikakuta juice kubwa ya maembe na nyama choma nusu nikala na kunywa nikalala.

Mida ya saa mbili usiku nasikia mlio wa screwdriver fundi akibadilisha kitasa, manake alipokosa ufunguo akaenda kununua kitasa Cha zaidi ya elfu 65 pamoja na gharama ya fundi Ni approximately 80 elfu au zaidi plus juice na nyama choma niliyokula inaweza fika laki.

Asubuhi yake tulikuwa na seminar ya wiki nzima kwenye taasisi yetu nikawa nalala hotelini na kwa kuwa Hana number yangu tulikuja kuonana weekend, akauliza "ulikuwa wapi?" Nikamjibu " wewe ni ku** nini? Unaniuliza nilikuwa wapi kwani Mimi mume wako?" Kwa majibu hayo akajua tu amepigwa.

Sasa kwa kuwa main switch ya umeme ipo room kwake, akaanza vituko vya kuzima umeme muda ambao hayupo nyumbani au usiku baada ya kumaliza Mambo yake. Nikavizia muda anaingia ndani nikamuonya akirudia kunizimia umeme atanitambua. Kisha nikampigia Mwenye nyumba naye akamkanya, akaacha huo Ujinga.

Hivi ndivyo ninavyodili na wadada wenye nyodo kisa makalio makubwa, hips na ajira ya kijungujiko.
Hukutakiwa kuandika mengi hivi maana ukweli ni kwamba wenye makalio makubwa hawana akili kabisa wengi wao
 
Daah mkuu umeongea as if makalio ni kitu cha thamani zaid ya Oxygen.
Kwamba ukiwa nayo ni okay kuwa rude?
Huyo mdada ni very rude and ignorant.
Eti makalio yanatosha!Sasa kama makalio yanatosha mbona anateseka kwenye nyumba ya kupanga tena cheap ya maji kutoka 3 times a week tena ya kukaa wengi pamoja?
Hiyo mitako ingekua na thaman alitakiwa yeye ndo awe mama mjengo wa nyumba zaid ya moja,magari na investment.
Asipokua humble huo mtako wake utaishia kuwa kiburudisho cha wanaume wakware nothing else.

Mtoa mada nae ana roho mbaya.Unawezaje kutupa funguo ya jirani yako?

Jiran ndio ndugu zetu wa karibu,sijaona kosa mtoa mada kuomba apikiwe uji.
Nilitupa ufunguo nikala nyama na juice baada ya kuona hakuna ujirani Kati yetu nilipougua akagoma kunikorigea uji
 
Back
Top Bottom